Pata faida 30,000 kwa siku kwa mtaji usiozidi laki 1

Pata faida 30,000 kwa siku kwa mtaji usiozidi laki 1

Maandazi unayajua wewe?
Kuna mama hapa mtaani anapika anakandia na Nazi,mazuriiiii na matamuuuuuu na lainiiiiii lakini yanabaki.vyuma vumekaza watu wanakunywa gahawa ya sh 100/ asubuhi wanaenda mihangaikoni,wacha Mambo ndugu.
Vyuma vinakazaje wakati tupo uchumi wa kati kwa mujibu wa ccm na mataga
 
Huyu mleta uzi anastahili kukamatwa nakuzibuliwa makofi kisha afungwe jiwe zito kifuani tukamtupe katikati ya bahari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] manina mleta mada ushawahi kufanya biashara kweli kabisa Tena hasa hizo biashara za kuwapa vijana ngoja nikupe mfano mwaka 2018 nilinunua Belo la nguo la laki sita nikatafuta vijana watano wazungushe mitaani nawakodishia baiskeli kwa kutwa na kila nguo anauza elfu mbili na yeye kila nguo anayouza anachukua Mia tano hivyo kila nguo mi ananiletee buku jero mwanzoni biashara ilienda vizuri kabisa kwa muda wa wiki mbili hivi.

Wiki ya tatu niliwapa wale vijana nguo wakapita nazo mazima nilitoka kidogo jioni narudi nakuta baiskeli zimepakiwa hapo na vijana siwaoni na nguo hamna kiufupi walishindwa kuondoka na baiskeli kwa sababu nawajua ila mtaji wangu nilipigwa maneno na kalenda ila sikufanikiwa kuupata karibu hayo maadazi uonee
 
Biashara za ppt na pdf zinalipa sana, ni kama kilimo cha pdf cha ku scroll slide, kalime sasa uone
 
Biashara ya kutembeza maandazi... Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi... Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3...

Hapo akiuza yote itapatikana faida ya 6000 utampa 3000 na 3000 yako.... Imagine una vijana 10 tayari una 30000 kwa siku.. unampita hata aliyeajiriwa ofisini na 300k zao kwa mwezi 1.

Akili kichwani mwako Kama utataka wazo lengine usijali kuja Pm

Simple like that
 
Biashara ya kutembeza maandazi. Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi. Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3.

Hapo akiuza yote itapatikana faida ya 6000 utampa 3000 na 3000 yako. Imagine una vijana 10 tayari una 30000 kwa siku unampita hata aliyeajiriwa ofisini na 300k zao kwa mwezi 1

Akili kichwani mwako kama utataka wazo lengine usijali kuja PM
Biashara za karatas tamu sana ki ukwel ingia uone za uso hahs
 
Biashara ya kutembeza maandazi. Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi. Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3.

Hapo akiuza yote itapatikana faida ya 6000 utampa 3000 na 3000 yako. Imagine una vijana 10 tayari una 30000 kwa siku unampita hata aliyeajiriwa ofisini na 300k zao kwa mwezi 1

Akili kichwani mwako kama utataka wazo lengine usijali kuja PM

Wewe unafanya hivyo!?
 
Biashara ya kutembeza maandazi. Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi. Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3.

Hapo akiuza yote itapatikana faida ya 6000 utampa 3000 na 3000 yako. Imagine una vijana 10 tayari una 30000 kwa siku unampita hata aliyeajiriwa ofisini na 300k zao kwa mwezi 1

Akili kichwani mwako kama utataka wazo lengine usijali kuja PM
Napenda kujua ulikuwa mazingira gani wazo hili likipokujia?
 
Back
Top Bottom