Tatizo la pc kujizima kama imewaka vizuri na kukaa kwa muda kidogo mostly linatokana na pc kuwa overheated sasa hii hutokana na
1. pc kuwa na vumbi jingi kwenye feni na sink especially katikati ya feni na heat sink hivyo pc kushindwa kuondoa joto ndani
2. feni kutofanya kazi kabisa
3. heat sink compound kuisha wenye pc hii ni mara chache
Unaweza kufungua pc yako na kufuta vumbi lote ndani ya pc maeneo hayo kisha rudishia kama kawaida, kama feni haizungui kabisa hapo utahitaji utaalam zaidi...
kufungua pc just google how to disassemble.... hapo mbele uta-type model ya pc yako