- Thread starter
- #61
keyboard zipo mkuu....iliyozima ni nini boss pc au hiyo keyboardMimi nahitaji keyboard ya HP 650.HALAFu imezima ghafla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
keyboard zipo mkuu....iliyozima ni nini boss pc au hiyo keyboardMimi nahitaji keyboard ya HP 650.HALAFu imezima ghafla
kama haiwaki taa yoyote hapo ni ngumu kuelewa tatizo itakubidi utafute mtaalamu aliye karibu nawe
kama haiwaki taa yoyote hapo ni ngumu kuelewa tatizo itakubidi utafute mtaalamu aliye karibu nawe
Poa. Ila 8.1 ipo km utapata 8.1.1 (8.1 update 1 install iko poa zaid)
Baada ya kuinstall window 8.1 tafuta driver pack solution offline /online installer hii itainstall driver zote ikiwemo wifi na bluetooth.
Au Driver talent.
Km utapata window 10 redstone hii utaweza kuinstall window store app nyingi ikiwemo facebook, telegram, instagram, instagram downloader, LinkedIn,twitter n.k kasoro whatsapp ndiyo haipo
kama inawaka kijani huo ndo mwanga wake inaonesha pc inawaka ila haioneshi kwenye screen kwa sababu either ram au processor hazijakaa sawaInawaka kijan
Mkuu nakuelewa kwa mbali sana seems kuna kitu cha msingi hapa hebu nieleze vizuri nn nifanye maana nimepoteza data nyingi hadi najihurumiamkuu hapo windows ten iliingia ktk mode ya UEFI wakati ubuntu imeingia ktk mbr partition hivyo ni ishu somehow technical jaribu kuinstall upya ktk uefi mode
Km inadai ui-activate lkn ukapuuza baadhi ya features utakosa km kuweka wallpaper kwa ufupi window itakuwa km demo hivi.ni madhara gani yatatokea kwenye computer endapo sito activate window?
hutapata features mpya kama upgrades na new features za baadhi ya programs za microsoft lakini kwa wale wa windows 8 na 10 security yake especially kama huna extra antivirus inahitaji kuwa updated lakini si lazima kama unahakika yaliyopo yanakutosheleza maana nazo zinatumia bundles sanani madhara gani yatatokea kwenye computer endapo sito activate window?
Asante ndugu, vp ni anti virus gani ipo strong iwe ya kununua au ya kudownlodKm inadai ui-activate lkn ukapuuza baadhi ya features utakosa km kuweka wallpaper kwa ufupi window itakuwa km demo hivi.
Tumia microsoft tool kuactivate
Yangu ni window 8 Alafu saiv inastak stak sanahutapata features mpya kama upgrades na new features za baadhi ya programs za microsoft lakini kwa wale wa windows 8 na 10 security yake especially kama huna extra antivirus inahitaji kuwa updated lakini si lazima kama unahakika yaliyopo yanakutosheleza maana nazo zinatumia bundles sana
by default ubuntu huingia ktk mbr partitions lakini waweza kubadilisha ktk bios setup procedures ntakutumia kesho ni nyingi kidogo boss nisamehe nikafunge milango na kulala natumia bundle ya wife leo ntammalizia kesho asubuhi sana au jioniMkuu nakuelewa kwa mbali sana seems kuna kitu cha msingi hapa hebu nieleze vizuri nn nifanye maana nimepoteza data nyingi hadi najihurumia
Hakuna shida kama una extra antivirusYangu ni window 8
Ninayoiamini na nilishawahi kutumia ni karspesky. Hii hata ukitumia trial inapiga kazi poa sana.Asante ndugu, vp ni anti virus gani ipo strong iwe ya kununua au ya kudownlod
Ishu ni aina kama unaweza kudownload ile inayonunuliwa zinakuwa sawa tu ila kaspersky, bitdefender and norton ndo most recommended by meAsante ndugu, vp ni anti virus gani ipo strong iwe ya kununua au ya kudownlod
Mkuuuu kesho ntakusumbua sanaby default ubuntu huingia ktk mbr partitions lakini waweza kubadilisha ktk bios setup procedures ntakutumia kesho ni nyingi kidogo boss nisamehe nikafunge milango na kulala natumia bundle ya wife leo ntammalizia kesho asubuhi sana au jioni
Asante sanaNinayoiamini na nilishawahi kutumia ni karspesky. Hii hata ukitumia trial inapiga kazi poa sana.
Nyingine ni Ashampoo antivirus. Hizi ndizo huwa nazitumia
nipe whatsapp namba yako kesho jioni ntakutumiaMkuuuu kesho ntakusumbua sana
Asante sanaIshu ni aina kama unaweza kudownload ile inayonunuliwa zinakuwa sawa tu ila kaspersky, bitdefender and norton ndo most recommended by me