Kama Ni kazi zako, why inaonesha finishing ya elevations tu. Mbona hakuna floor plans.Mkuu unacho ongea ni kweli kabisa lakini kwetu sisi hizi ni kazi zetu wala usiwe na shaka karibu sana
Kwa nini hamruhusiwi na ninyi ni registered company? Biashara ni matangazo, otherwise you might have a hidden agenda.Iko registered huku haturuhusiwi kuweka majina ya kampuni
Karibu sana kiongozi
I mean, unatakiwa kuuza identity yako (jina la kampuni).Kwa nini hamruhusiwi na ninyi ni registered company? Biashara ni matangazo, otherwise you might have a hidden agenda.
Post hapa kama ulivyofanya za contemporary,nifanye machaguoKaribu kwa ramani ya nyumba yoyote unayo ihitaji tutskufanyia kazi yako
Anayo trauma fulani may be chuki or anything behind her subconscious mindUmejuaje kama ni msukuma? Bei ni negotiable mkuu kwa sbb ramani haziko uniform so ukiwa interested unamfuata inbox kumweleza nn exactly unahitaji then mtaongea na bei.
Kwenye hizi picha ungekuwa unaweka brand name yako na mawasiliano.... Ingekaa poaChora nasi sasa kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 2726412
Kama Ni kazi zako, why inaonesha finishing ya elevations tu. Mbona hakuna floor plans.
Yaani finished elevations tu bila kufahamu partitions? Huoni kama unaanisha watu kuwa siyo kazi kweli ako, Ni utapeli tu?
Binafsi naelewa why hutaki kuweka, lakini huko ni kuuza mbuzi kwenye gunia🤣🤣🤣
Asantee sanaa mkuu...
Sorry kwa usumbufu...sijakuelewa kwanini hamruhusiwi kati mnafanya biashara na mnalipa kodi...
Mkuu sorry kuna haya maswali bado haujayajibu....majibu yako yanaweza yakatufanya kabla mwaka hujaisha tununue ma ramani kwako...Kwa nini hamruhusiwi na ninyi ni registered company? Biashara ni matangazo, otherwise you might have a hidden agenda.
Karibu bossKuna ramani hapa, unaweza kuifanyia update?
Karibu boss
picha zaidi za hii
Hili kanisa na wewe umepost? Kuna member kawahi post akudai yeye ndio kachora, kuweni makini. Acheni janja janjaChora nasi sasa kwa gharama nafuu kabisa
Piga:0678195114
Piga:0689993661
Wasap:0766195115
Email: sirajimsilanga55@gmail.com
Ramani za kanisa zenye ubora wa hali ya juu na zenye hadhi ya kisasa karibuni.
View attachment 2818461View attachment 2818463View attachment 2818465View attachment 2818466View attachment 2818467View attachment 2818468
Chora nasi sasa kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 2818814
Amna janja janja kaka michoro yote ipo nawe ukihitaji karibuHili kanisa na wewe umepost? Kuna member kawahi post akudai yeye ndio kachora, kuweni makini. Acheni janja janja
Karibu sana tena kutoka bukindo kwa mtemi lukumbuzya. Yego karibuMsilanga kutoka ukerewe sio? Nitawatafuta muda si mrefu