Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Number zakoUpo maeneo gani? Kama upo Dar nitembelee kwangu Ubungo uje ujionee. kwa mawasiliano zaidi ni PM
Umeshanza ufugajiHabari ya jioni wajasiliamali wenzangu,
Kamakichwa cha habari kinavyojieleza kwa mwenyetaarifa au ufahamu wakutosha kuhusu ufugaji wa mfugo huo aina ya bata pamoja na soko lake kwa kina maana nipo kwenye mchakato wa kuanza ufugaji huo kuanzia mwezi wa nane(8). Nimatarajio yangu nitapata ushirikiano wa kutosha.
Kwa mawazo hayo, HUTAOLEWASiku ya harusi yangu bufee naweka nyama ya bata tuone watu kama wataacha kula
Vipi hujaanza kufuga tu bata nataka sehemu ya kuwa na nunua mayai ya bata kwa ajili ya kutotoresha ila awe Dsm tuwasiliane kupitia 0766559496/0656320899MORIA... upo wapi .... I have the same idea ya kufuga in large scale kwa matunzo ya kisasa zaidi .... nimejaribu kuwatunza watoto 11 wa bata walioanguliwa mwezi wa 7 kwa kuwapa broiler starter in first three weeks na baade kuwapa growers mash ikichanganywa na portion ya pumba za mahindi na matokeo ni mazuri sana ... watoto hawa sasa ni wakubwa sana with a high yield in growth
ninachotaka kufanya sasa hivi ni kununua mayai ya bata kwa wafugaji mbalimbali na kuyapeleka kuanguliwa kwa incubator machine .... naanza na mayai 50 ... then from there I can propel the project well
kumbuka bata wanakuwa vizuri kwa malisho ya majani (grazing) na maji kwa ajili ya spreening
Nilikua cjuiKibiashara ni changamoto kidogo kwanza kwenye uzalishaji mayai ya bata kwenye incubator yanahitaji humidity kubwa zaidi ya mayai ya kuku nna kanga pia dume la bata halitakiwi liwe ukoo mmoja na jike. Uzuri waweza tumia kuku wa kienyeji kulalia mayai ya bata
Ingawa wana pakulalahahaha wanajifuga hao.
HahahahahahaBinafsi nina bata 76 ila sifahamu kama kama ninawafuga au wanajifuga kwani kazi yangu ni kuwafungulia asubuhi wanaenda kujichunga wenyewe na jioni kuwafungia.nadhani hata mimi hapa nitanufaika ngoja tusubiri wataalamu.
Nina miaka lukuki sijamla bata kama navyowala madada wa mujiniNilikua nauliza namna/ jinsi ya kuzuia vifo vya viranga wa bata.. Ni chanjo gani inafaa? Nilikua na vifaranga 39 nimebakiwa na 8 tu.. Na budo siko sure kama wata survive hawa walio bakia help please
Kwani kuna ufugaji rahisi?Duh kumbe ufugaji wa Bata ni mgumu fulani ivi