Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

Mmh sijawahi kusikia hii kitu..! Bata wa kienyeji(pengine hawaharishi)
 
Bata wapo vizuri sana sema usafi ndio ishu
 
hebu fafanua vizuri unataka kujifunza nini, magonjwa, ulishaji, uatamishaji mayai, uleaji wa vifaranga, soko la bata au kitugani?
 
Habari great thinkers, hivi mbona sijawahi kuona ufugaji mkubwa wa hawa bata wa kienyeji na wala wakipigiwa upatu kama kuku wa kienyeji au kisasa. Ni kwamba hawana soko au lah?. Maana hata mayai ya bata sijawahi ona maali wanauza au kununua kwa udogo wa maeneo nliofika. Nikijikita katika ufugaji wa bata wa kienyeji in a mass si itakua hasara au?. Maoni yenu tafadhali
 
Binafsi nina bata 76 ila sifahamu kama kama ninawafuga au wanajifuga kwani kazi yangu ni kuwafungulia asubuhi wanaenda kujichunga wenyewe na jioni kuwafungia.nadhani hata mimi hapa nitanufaika ngoja tusubiri wataalamu.
Jamii ya aina yako ndio inasumbua kule mikoani kwa kuachia ng'ombe kula kwenye mashamba ya wakulima. Mimi nikiwa jirani yako, bata wako saa hizi ni marehemu
 
Siku ya harusi yangu bufee naweka nyama ya bata tuone watu kama wataacha kula
 
Kibiashara ni changamoto kidogo kwanza kwenye uzalishaji mayai ya bata kwenye incubator yanahitaji humidity kubwa zaidi ya mayai ya kuku nna kanga pia dume la bata halitakiwi liwe ukoo mmoja na jike. Uzuri waweza tumia kuku wa kienyeji kulalia mayai ya bata
 
Binafsi nina bata 76 ila sifahamu kama kama ninawafuga au wanajifuga kwani kazi yangu ni kuwafungulia asubuhi wanaenda kujichunga wenyewe na jioni kuwafungia.nadhani hata mimi hapa nitanufaika ngoja tusubiri wataalamu.
hahaha wanajifuga hao.
 
Bata wanapenda usafi na si wachafu kama wengi wanavyodhani kwa ww mwenye Bata 70 Hong eta sana waweze watengenezea kabwawa kadogo ka maji na kuwaongezea chakula kidogo pumba weka na dagaa kidogo na madinI kama sehemu unayofugia hakuna majani watafutie majani laini uwapi pia
 
Back
Top Bottom