Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

Wadau anyone mwenye any different breed other than muscovy anichek am interested !
 
11345_10151239978631770_1166371799_n.jpg
 
Kidogo nimeanza kushawishika. Nitaanza kufuga bata wachache
 
Eti m2 anakuja na kusema eti bata SIO WATAMU??????????????? UNAISHI WAPI? OJA UONE
 
Naombwa kujuzwa wana jamvi na kupewa darasa kuhusu elimu ya ufugaji bata
1. Wapo aina ngapi?
2. Wanalalia mayai kwa mwaka mara ngapi?
3. Soko halisi likoje kwa mfano kama naishi DSM
4. Vyakula wanavyokula kama nikitaka kuwafuga kibiashara
5. Je naweza kutotoleshea mayai yao kwa kutumia incubator?

Kama kuna mtu anawafuga naomba anipe mawasiliano yake niweze kupata ujuzi kwa vitendo kwake. Nashukuruni na nawatakia mwisho mwema wa mwaka.
Wenu katika ujenzi wa taifa.
Kifuniko
 
Naombwa kujuzwa wana jamvi na kupewa darasa kuhusu elimu ya ufugaji bata
1. Wapo aina ngapi?
2. Wanazaa kwa mwaka mara ngapi?
3. Soko halisi likoje kwa mfano kama naishi DSM
4. Vyakula wanavyokula kama nikitaka kuwafuga kibiashara
5. Je naweza kutotoleshea mayai yao kwa kutumia incubator?

Kama kuna mtu anawafuga naomba anipe mawasiliano yake niweze kupata ujuzi kwa vitendo kwake. Nashukuruni na nawatakia mwisho mwema wa mwaka.
Wenu katika ujenzi wa taifa.
Kifuniko

Bata anazaa?
 
Naombwa kujuzwa wana jamvi na kupewa darasa kuhusu elimu ya ufugaji bata
1. Wapo aina ngapi?
2. Wanalalia mayai kwa mwaka mara ngapi?
3. Soko halisi likoje kwa mfano kama naishi DSM
4. Vyakula wanavyokula kama nikitaka kuwafuga kibiashara
5. Je naweza kutotoleshea mayai yao kwa kutumia incubator?

Kama kuna mtu anawafuga naomba anipe mawasiliano yake niweze kupata ujuzi kwa vitendo kwake. Nashukuruni na nawatakia mwisho mwema wa mwaka.
Wenu katika ujenzi wa taifa.
Kifuniko

Bata halalii Mayai ..... anatamia mayai
 
Habari ya jioni wajasiliamali wenzangu,

Kamakichwa cha habari kinavyojieleza kwa mwenyetaarifa au ufahamu wakutosha kuhusu ufugaji wa mfugo huo aina ya bata pamoja na soko lake kwa kina maana nipo kwenye mchakato wa kuanza ufugaji huo kuanzia mwezi wa nane(8). Nimatarajio yangu nitapata ushirikiano wa kutosha.
 
kwa yeyote yule mwenye ujuzi na uzoefu katika ufugaji wa bata ningependa kupata utaalamu na hata ushirikiano katika uuandaji wa chakula cha bata.
(WhatsApp) 0714729460
 
Habarini wana jamvi, mwenye utaalamu zaidi kuhusu ufugaji wa bata hasahasa mahali na mazingira yapi wanapenda kutaga mayai yao. Kwa kifupi ninao bata watatu, dume na jike mbili ambao hawajaanza kutaga na nimefanikiwa katika kuwalisha na kuwatunza kwani afya zao ziko poa ila sina ujuzi na jinsi bata anavyotaga(mazingira). Je yaweza kuwa kama kuku?
 
Njia nzuri kuliko zote kupata ushauri mtafute Mtaalam wa fani husika. Mtafute Afisa mifugo aliye jirani yako atakupa Maelezo mazuri. Kama upo kijijini nenda ofisi ya Mtendaji wa kijiji au kata atakukutanisha Mtaalam husika. Kama upo mjini nenda ofisi ya Manispaa/mji husika utakutanishwa na mhusika.
 
kuna tofauti ndogo sana kati ya bata na kuku so mazingila ya kutaga ya kuku yanafanana na ya bata, weka viota ndani ya banda wanalolala na wakiona tu wataanza kuingia na wataanza kutaga humo , na jitahidi kuwawekea maji safi ya kuoga(kuogelea) ili wasiende kwenye mafimbwi ya maji machafu
 
Upo maeneo gani? Kama upo Dar nitembelee kwangu Ubungo uje ujionee. kwa mawasiliano zaidi ni PM
 
kuna tofauti ndogo sana kati ya bata na kuku so mazingila ya kutaga ya kuku yanafanana na ya bata, weka viota ndani ya banda wanalolala na wakiona tu wataanza kuingia na wataanza kutaga humo , na jitahidi kuwawekea maji safi ya kuoga(kuogelea) ili wasiende kwenye mafimbwi ya maji machafu

+ viota vya kutagia bata vinawekwa bandani sehemu yenye giza kiasi.
 
Wanajamvi nisaidieni materials zozote zinazohusu ufugaji wa bata wa kienyeji nataka kujikita kwenye sekta hiyo....please weka madude hapa tuondokane na njaa
 
Bata ni jamii ya ndege wanaopenda sana maji hivyo ukitaka wanawiri hakikisha unatengeneza bwawa japo dogo. Pia chakula chao kisiwe kikavu kama cha kuku, kama pumba changanya na maji uwe ujiuji usipike. Masalia ya chakula pia. Nimewahi kufuga bata mara chache sana wanapata magonjwa. Kama utawafuga eneo unaloishi hakikisha unaweka uzio hawa ndege wanajisaidia saaana hivyo utagombana na majirani zako. Tatizo kubwa ni soko lilinishinda.
 
Back
Top Bottom