deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 521
Wakili,nisaidie hivi mkataba wa bank ukisaini kua utalipa mwezi wa sita(yote) muda ukifika ukapeleka nusu jee naweza shitakiwa muda ukipita huku nimeshaanza kulipa deni? Msaada tafadhari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakili naomba msaada wako. Kuna mtu nilimwachia pesa ili awape watu( yeye ni barozi wa hilo eneo) ila ile pesa hakuwapa walengwa akaitumia kwa matumizi yake.nimemuomba anirudishie hiyo pesa lakini anakwepa.Wakili,nisaidie hivi mkataba wa bank ukisaini kua utalipa mwezi wa sita(yote) muda ukifika ukapeleka nusu jee naweza shitakiwa muda ukipita huku nimeshaanza kulipa deni? Msaada tafadhari
Mkuu tathimini ya athari ya mazingira kwenye maghala( magodown) ni nini? Na inapaswa kufanywa na nani? Na je ukimiliki godown ni lazima kufanya hivyo?Mimi ni saveya aka mpima ardhi , ngoja nitoe opinion yangu akija 'Wakili Msomi ' atasahihisha vizuri Kama nimekosea
ISSUES
.i je migogoro baina ya chama cha ushirika na wanachama inatatuliwaje?..