Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu pia pata bata mzinga na bata bukini pia wanapatikana 0757662401
Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu pia pata bata mzinga na bata bukini pia wanapatikana 0757662401
Mkuu Kitomari acha upotoshaji kwenye hiri jukwaa linatumika vibaya. Hao kuku hawana sifa unazo tutajia. Ok weka ni wazto kwa kg ngapi na huo muda wa wao kutaga ni uongo wa hari ya juu, mimi nafahamu wamapo fugwa na hawana hizo sifa. Nitarudi na data za hao kuku hadi picha ili watu waone ulivyo muongo.
Jamani jaribuni ku google hao kuku muwaone
mh umeshtuka na wewe eeh? ngoja ninyamze coz nina mengi ya kusema bt hata kimya ni vema. Wanajukwaa akili za kuambiwa changanya na zenu.
ni vyema ukajaribu tukwaambialo mimi nimechukua hawa kuku kutoka kwa jamaa kuna wenye miezi miwili na nunusu majogoo utadhani wana miezi 5 usi google jaribu kufanya pia kwa vitendo ni bora zaidi
mh umeshtuka na wewe eeh? ngoja ninyamze coz nina mengi ya kusema bt hata kimya ni vema. Wanajukwaa akili za kuambiwa changanya na zenu.
mh! Nadhani umependa kujiandikia tu kama huna kazi bora ungelila tu! Tuache sisi wajasiriamali tufanye kazi
ni vyema ukajaribu tukwaambialo mimi nimechukua hawa kuku kutoka kwa jamaa kuna wenye miezi miwili na nunusu majogoo utadhani wana miezi 5 usi google jaribu kufanya pia kwa vitendo ni bora zaidi
Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu pia pata bata mzinga na bata bukini pia wanapatikana 0757662401