Patel sio Mtanzania, media za Tanzania acheni kupotosha umma

Wabongo watu wa ajabu sana hao watu wakipita Tanzania wanapita kwenye matanki ya mafuta kwa kujificha wakifanikiwa huko tunawaita Watanzania Nchi yenyewe haina uraia pacha ni kuwaaribia kazi zao huko...mnawaita majina mara wahamiaji haramu baadae mnasema wana asili ya Tanzania ya wapi?
 
Wabongo mtu anastrago mwenyewe akitoboa kimataifa wanakuja na shobo nyingi kuwa ni mtu wao. Wanatakiwa kutengeneza watu wao washaini kimataifa na sio kuja kuleta shobo mtu anapofanikiwa kwa jitihada zake binafsi kujitokeza kimataifa
 
Ila kuna jamaa ni waziri katika serikali ya ujerumani anaongea kiwashili kama mimi na wewe, sijaona akishobokewa kama huyo wa Marekani.
Na wewe ukiongea Kiingereza unakuwa Muingereza?.

Watanzania vichwa vimejaa kamasi. Lugha si unasomea tu. Mbona Kuna weusi wanajua kiarabu na kichina utasema na wao wanatokea china au uarabuni
 
Inakera sana
 
Huko kwao India wanamreport kama muhindi ambae familia yake ilihamia Uganda. Na wakaja kufukuzwa na Idd Amin ila waliomba Asylum Marekani.



Halafu Leo mapumbavu ya Tanganyika yanajitweza eti ni mtanzania.
 


Tanzania ni nchi ya Tanganyika imejibadilisha baada kuivamia Zanzibar na kuiweka kwenye himaya yake
 
Tanzania ni Tanganyika iliyobadilishwa jina na Nyerere baada uvamizi wa Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…