Patel sio Mtanzania, media za Tanzania acheni kupotosha umma

Patel sio Mtanzania, media za Tanzania acheni kupotosha umma

Tunanzie hapo! Huyu Bi Mkubwa ana utanzania upi!? Wakati ni Mgujarati mtupu!
View attachment 3246107
Utanzania kwako ni nini? Rangi?

Serikali iliyokuwa chini ya mwalimu nyerere unaikumbuka? Unakumbuka viongozi kwa majina na rangi zao?

Historia za wakina Sykes? Karume? Pamoja na rangi zao kuwa kama yangu maana ya kwako siwezi fahamu ilivyo kwa kuwa sikufahamu.
 
Yusuf yurary ni mtanzania hapa Tanga anakuja sana ,mwaka juzi kama sijakosea alikuja kumzika bibi yake ... Huyo ni mdigo kabisa anakuja sana Tangq ilq sio mtu wa media tangu akiwa mdogo.
Kijana anashida anataka uraia pacha, hivyo Anafosi mambo kwa jazba

Sasa tukiwa na uraia pacha hao wazungu kwa rangi zao tutawaita watanzania? Maana anashangaa rangi Patel ila ya Dewji na wengine kwake sio tatizo kabisa
 
Ukiachana na The Citizen je kuna gazette jingine ambalo limeonesha kuwa Patel asili yake ni Mtanzania!??
Screenshot_20250223_100627_Chrome.jpg
 
Kijana anashida anataka uraia pacha, hivyo Anafosi mambo kwa jazba

Sasa tukiwa na uraia pacha hao wazungu kwa rangi zao tutawaita watanzania? Maana anashangaa rangi Patel ila ya Dewji na wengine kwake sio tatizo kabisa
Patel alikaa sehemu gani!?? Mama yake alikaa sehemu gani Tanzania!? Utetezi wako kuwa mtu akiharibu lazma asemwe je, akishikwa mtu Uchina na kusema yeye ana asili ya Tanzania unadhani Mawaziri wanaohusika watamuunga mkono!?
Ukiachana na Patel, je Malikia ana utanzania upi!? Ameanza harakati zake tupo kimya! Amekwenda IAAF tupo kimya! Ila alipochukua tu medali Olympic tukadandia treni!
 
Tunanzie hapo! Huyu Bi Mkubwa ana utanzania upi!? Wakati ni Mgujarati mtupu!
View attachment 3246107
kama ni hivyo hao wote ni wahindi,haimake sense kuwaita watanzania.
Yaani ni sawasawa mimi leo niamue kwenda kuishi
Tunanzie hapo! Huyu Bi Mkubwa ana utanzania upi!? Wakati ni Mgujarati mtupu!
View attachment 3246107
Basi kama ni hivyo hao ni wahindi sio Watanzania,yaani ni sawasawa leo hii mimi mbantu niamue kwenda kuishi Dubai halafu uniite mwarabu
 
kama ni hivyo hao wote ni wahindi,haimake sense kuwaita watanzania.
Yaani ni sawasawa mimi leo niamue kwenda kuishi

Basi kama ni hivyo hao ni wahindi sio Watanzania,yaani ni sawasawa leo hii mimi mbantu niamue kwenda kuishi Dubai halafu uniite mwarabu
Qatu wanakaza vichwa kutaka spotlight kupitia mtu mwingine
 
Tukomae na viongozi wetu wenye ubunifu wa kuanzisha matamasha na tunzo, tuwaelemishe kama wanahitaji na wao wanonekana duniani.

Tatizo tumewekeza kwenye uchawa alafu tunaamini tutakuja kutengeneza watu wa kueleweka, hakuna hiyo kitu.

Yule Fernandes wa NALA tu alibaniwa kinoma hapa bongo.
 
Kama jamaa mama yake alikuwa/aliwahi kuishi Tanzania na baba yake alikuwa/aliwahi kuishi Uganda tukisema asili yake ni Tanzania au Uganda tupo sawa kwa level ya kimataifa, lakini tukizungumzie Uraia ni RAIA wa marekani na sio Uganda wala Tanzania ,pia tukizungumzia "racism" ambayo kimsingi tuna uzungu, uafrika, uuhindi, uarabu na uajemi basi jamaa ni mhindi haya ni maoni yangu tu
 
Kash Patel siyo Mtanzania.

Angekuwa Mtanzania asingeteuliwa kuwa mkurugenzi wa FBI.

Ila, mfano angekuwa na asili ya Tanzania, then what?

Hivi kwa mfano angeteuliwa kuwa mkurugenzi wa FBI ya Comoro, Watanzania [baadhi yao] wangembabaikia kama ilivyo hivi sasa?
Mkuu Comoro na USA ni mbali mbal wapo Watanzania kabisa huko Hwange ni RPC na kaka yake General wa Jeshi SA na wanajulikana kuwa ni Watanzania ila hakuna media utasikia imeongea kwa sababu wapo kwenye Nchi ndogo wametokea Mbozi hapo..
 
Kama jamaa mama yake alikuwa/aliwahi kuishi Tanzania na baba yake alikuwa/aliwahi kuishi Uganda tukisema asili yake ni Tanzania au Uganda tupo sawa kwa level ya kimataifa, lakini tukizungumzie Uraia ni RAIA wa marekani na sio Uganda wala Tanzania ,pia tukizungumzia "racism" ambayo kimsingi tuna uzungu, uafrika, uuhindi, uarabu na uajemi basi jamaa ni mhindi haya ni maoni yangu tu
Asili inatoka kwa wazazi asili haitoki kwa mzazi kupita Nchi fulani au kuishi huko hakuna asili hapo kama hana uraia wa hiyo Nchi.
 
Back
Top Bottom