TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Naona shingo proMax mwenyewe umeamua kujianikaWabongo wana shobo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona shingo proMax mwenyewe umeamua kujianikaWabongo wana shobo
Mzee Hatimana maarufu sanaTena Kevin Hart anao ndungu zake Kigoma pale wanafahamika kabisa,na wamefanana sana ukoo wao.
Well said MkuuWatanzania wengi, na hasa machawa, hawana akili.
Tunashindwa kuwekeza kwa watu wetu, halafu tunabakia kujibandikiza kwa watu waliofanikiwa!!
Serikali yetu imewekeza kwenye uchawa, isubirie na ifurahie mafanikio ya uchawa, angalao kwa kuweza kuweka picha ya Samia kwenye kila kitu. Hayo ndiyo mafanikio ya nchi yetu baada ya CCM kuwekeza heavily kwenye mambo ya kijinga, kama uchawa.
Uko Sahihi kabisa, kuna Yule Mtanzania wa Goba aliyepata tuzo ya Tiktok ya ubunifu kwenye mpira, HAKUNA media Yoyote imeripoti kwa uzito suala lile.Haina mantiki ya msingi na sio afya njema kuona Mwaisa amekaa Tukuyu akicheza mpira na hakuna ukurasa wa TFF wowote umewahi kumuonesha ila akibadilisha uraia akaenda Australia na kukiwasha haswa, admin wa ukurasa wa TFF kule Facebook utaona anavyosifia kuhusu kiwango chake na kuelezea kuwa ni mtanzania.
Uko Sahihi kabisa, kuna Yule Mtanzania wa Goba aliyepata tuzo ya Tiktok ya ubunifu kwenye mpira, HAKUNA media Yoyote imeripoti kwa uzito suala lile.
MTU Yule Yule angekua Nchi nyingine akapata hio fursa, basi kila media ingeandika vizuri sana sana na kwamba wanamfahamu
Zero Brainer 😔 yule jamaa angekuwa Marekani nadhani sasa hivi angekuwa anamiliki mansion yake pale California ila tumekazana na uchawa usio na msingiUko Sahihi kabisa, kuna Yule Mtanzania wa Goba aliyepata tuzo ya Tiktok ya ubunifu kwenye mpira, HAKUNA media Yoyote imeripoti kwa uzito suala lile.
MTU Yule Yule angekua Nchi nyingine akapata hio fursa, basi kila media ingeandika vizuri sana sana na kwamba wanamfahamu
Huyu mwamba 😔 angekuwa Magharibi tumeshasikia kuwa Zero Brainer mwenye asili ya Tanzania 😃Uko Sahihi kabisa, kuna Yule Mtanzania wa Goba aliyepata tuzo ya Tiktok ya ubunifu kwenye mpira, HAKUNA media Yoyote imeripoti kwa uzito suala lile.
MTU Yule Yule angekua Nchi nyingine akapata hio fursa, basi kila media ingeandika vizuri sana sana na kwamba wanamfahamu
Asili yake imetoka kwa Mama au Baba?!
View attachment 3246277
Kwa maana hiyo hapa The Citizen ndo anazungumza ukweli wa asili ya Patel kuliko wenzake!??
Mgujarati!??
I rest my case 😌 asili yake ni Mgujaratiyah asili yake ni mgujuraati, hapa TZ kuna wahindi wengi sana wenye asili ya Gujurati kama akina Ismail Jussa, wahindi wa Gujurati na Goa ndio miaka ya zamani waliokuwa wakitoka nje ya India na kuhamisha makaazi maeneo mengine.