The Great Haya
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,773
- 1,660
Ni muhimu mara mia maana wenyewe wanakuja kufanya biashara ila wasukuma wanakuja kujenga nyumba za tembe huku na kutuharibia mandhari na kututia aibuKwa hiyo waganda ni mhimu kuliko wasukuma? Yaani nyinyi mshabaki utaahiara tu hamna lolote kazi yenu umalaya basi!
Wale familia nying wanamilik ngo'mbe za kutosha unazungumzia umaskin gan?Wew tumia akili yako linganisha umaskini uliopo huko shinyanga vijijini na hiyo GDP yao ndo uje kujisifia hapa.
Cha muhimu wew na ukoo wako muwe na hela Mambo ya mikoa haya ni kupika kupika tu. We huoni hata ramani inawashinda kuchora Mara katavi Mara Rukwa
Mbona Bukoba imeshindwa kuzibeba wilaya nyingine kama ilivyo Mwanza?Mwanza imebebwa na jiji, ila huko vijijini ni njaa tupu, anzia sengerema, kwimba, ukerewe n.k. Na kama jiji ndo limebeba mkoa usifikir ni wasukuma, wageni ndo wanaendesha jiji wasukuma wamebaki kuwa vibarua
Huo umaskin wa kutisha wa nyumba?Usukumani kuna umaskini wa kutisha, nyumba za tembe ziko kwa wingi kama ilivyo kwa Dodoma na sehemu zingine zenye hali duni ya maisha.
Ingekuwa busara hizi tarumbeta mnazopiga hapa mngezipiga kwenye takwimu za pato la mtu mmoja mmoja, hiyo ndio inayoakisi maendeleo halisi ya mahali. Adios
Naamini wasukuma tunaongoza kuwa na mabilionea wengi hapa tanzania na afrika mashariki baada ya Congo, soko la madini pale kahama kuna wasukuma wana balaa kubwa ila wapo kimya hakuna kelele.Hivi hujui Kigamboni inawasukuma wengi sana na wanamageto ya maana sana hawana kelele kama wahaya!
Ng'ombe 1000 alafu wamepauka huko porini, kuharibu mazingira na watoto hawaendi shule huo ndo utajiri??Wale familia nying wanamilik ngo'mbe za kutosha unazungumzia umaskin gan?
Ng'ombe 1000 hat wew huwafikii
Acha kulinganisha jamii kubwa yenye nguvu afrika mashariki na tujamii tudogo tudogo, sisi ni wakoloni hamuoni tunavyo sambaa nchi yote hii.Usukumani kuna umaskini wa kutisha, nyumba za tembe ziko kwa wingi kama ilivyo kwa Dodoma na sehemu zingine zenye hali duni ya maisha.
Ingekuwa busara hizi tarumbeta mnazopiga hapa mngezipiga kwenye takwimu za pato la mtu mmoja mmoja, hiyo ndio inayoakisi maendeleo halisi ya mahali. Adios
Sasa si mjenge nyumba Bora vijijini.Wale familia nying wanamilik ngo'mbe za kutosha unazungumzia umaskin gan?
Ng'ombe 1000 hat wew huwafikii
Mwanza ni makao makuu ya kanda ya ziwa ndugu, hivi unajua ni uwekezaji kiasi gani unafanywa na serikali kwa kigezo hicho?? Uchumi wa jiji la Mwanza huwezi kuuita wa wasukuma. Nani kakwambia biharamulo na ngara ni Wahaya alafu mbaya zaidi huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini. Mwanza hakuna wilaya ya kulinganisha na misenyi au muleba ukiacha jijiMbona Bukoba imeshindwa kuzibeba wilaya nyingine kama ilivyo Mwanza?
Kagera ni choka mbaya, anzia nyakanazi, lusahunga, nenda hadi benaco, puta njia ya porini utokee misenyi hadi bukoba kote huko ni njaa tupu. Pitia Biharamulo, Muleba na kwingineko kote huko ni njaa tupu.
Kagera hunidanganyi kitu, nimezunguma Kagera yote hadi vijijini, kote ni hovyo.
Hayo ni maamzi ,Sasa si mjenge nyumba Bora vijijini.
Mbona kumejaaa tembe na nyasi tupu
Sawa...mtu ukitembelea sehemu ukiwa na mentality ya wivu na roho mbaya huwezi ona uzuri wa mahali.Mbona Bukoba imeshindwa kuzibeba wilaya nyingine kama ilivyo Mwanza?
Kagera ni choka mbaya, anzia nyakanazi, lusahunga, nenda hadi benaco, puta njia ya porini utokee misenyi hadi bukoba kote huko ni njaa tupu. Pitia Biharamulo, Muleba na kwingineko kote huko ni njaa tupu.
Kagera hunidanganyi kitu, nimezunguma Kagera yote hadi vijijini, kote ni hovyo.
Ila huko lake zone wamezidi,ndio wanaifanyia Tzn kuonekana ya kishamba sababu yenu.Hivi wewe kumbe ni mpuuzi hakuna sehemu isiyo kuwa na masikini hata marekani wapo! Ila kubali tu kanda ya ziwa sio level yenu!
Yale mazingombwe ya tapeli la Chato ulikuwa ukiyaamini?
Ukilima parachichi lazima uwe Tajiri ..Tuna kila mazao na misitu na viwanda juu.Kama mkoa mzima mnategemea zao la parachichi liwainue kweli mtaacha kushika mkia!?πππ
Kajifunzeni sedentary farming huko bukoba vijijini.Hayo ni maamzi ,
Sio ajabu kwa kule ng'ombe 1000 hat wew mweny nyumb huwafkii
Wadanganye wajinga na mashoga wenzako huko ambao hawaijui kagera. Muleba na misenyi nazijua kila kijiji hunidanganyi kitu. Kote huko ni choka mbaya, ni migomba tu.Mwanza ni makao makuu ya kanda ya ziwa ndugu, hivi unajua ni uwekezaji kiasi gani unafanywa na serikali kwa kigezo hicho?? Uchumi wa jiji la Mwanza huwezi kuuita wa wasukuma. Nani kakwambia biharamulo na ngara ni Wahaya alafu mbaya zaidi huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini. Mwanza hakuna wilaya ya kulinganisha na misenyi au muleba ukiacha jiji
Kahama inatuzidi nini? Mil.400? Mwaka huu tunawachapa ..Mbona mnazidiwa na kahama huk mnafanya kilimo cha kisas namna hiyo.
Kanda ya ziwa ilifanya kilimo mpaka pamba ikaitwa dhahabu nyeupe mnakwama wapi mkuu?
Umeongea.kwa kifupi tukisema tuangalie umasikini wa mtu mmoja mmoja takwimu zitageuka upside downTunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.
GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..
Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.
Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.
Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
Pato la mkoa linajumuisha mapato ya halmashauri.hivi kweli unajua maana ya pato la mkoa?