Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Kwa hiyo waganda ni mhimu kuliko wasukuma? Yaani nyinyi mshabaki utaahiara tu hamna lolote kazi yenu umalaya basi!
Ni muhimu mara mia maana wenyewe wanakuja kufanya biashara ila wasukuma wanakuja kujenga nyumba za tembe huku na kutuharibia mandhari na kututia aibu
 
Wew tumia akili yako linganisha umaskini uliopo huko shinyanga vijijini na hiyo GDP yao ndo uje kujisifia hapa.

Cha muhimu wew na ukoo wako muwe na hela Mambo ya mikoa haya ni kupika kupika tu. We huoni hata ramani inawashinda kuchora Mara katavi Mara Rukwa
Wale familia nying wanamilik ngo'mbe za kutosha unazungumzia umaskin gan?
Ng'ombe 1000 hat wew huwafikii
 
Mwanza imebebwa na jiji, ila huko vijijini ni njaa tupu, anzia sengerema, kwimba, ukerewe n.k. Na kama jiji ndo limebeba mkoa usifikir ni wasukuma, wageni ndo wanaendesha jiji wasukuma wamebaki kuwa vibarua
Mbona Bukoba imeshindwa kuzibeba wilaya nyingine kama ilivyo Mwanza?

Kagera ni choka mbaya, anzia nyakanazi, lusahunga, nenda hadi benaco, puta njia ya porini utokee misenyi hadi bukoba kote huko ni njaa tupu. Pitia Biharamulo, Muleba na kwingineko kote huko ni njaa tupu.

Kagera hunidanganyi kitu, nimezunguma Kagera yote hadi vijijini, kote ni hovyo.
 
Usukumani kuna umaskini wa kutisha, nyumba za tembe ziko kwa wingi kama ilivyo kwa Dodoma na sehemu zingine zenye hali duni ya maisha.

Ingekuwa busara hizi tarumbeta mnazopiga hapa mngezipiga kwenye takwimu za pato la mtu mmoja mmoja, hiyo ndio inayoakisi maendeleo halisi ya mahali. Adios
Huo umaskin wa kutisha wa nyumba?
Wale wanamiliki ng'ombe za kutosha huko vijijin wewe huoni ndan
 
Hivi hujui Kigamboni inawasukuma wengi sana na wanamageto ya maana sana hawana kelele kama wahaya!
Naamini wasukuma tunaongoza kuwa na mabilionea wengi hapa tanzania na afrika mashariki baada ya Congo, soko la madini pale kahama kuna wasukuma wana balaa kubwa ila wapo kimya hakuna kelele.
 
Usukumani kuna umaskini wa kutisha, nyumba za tembe ziko kwa wingi kama ilivyo kwa Dodoma na sehemu zingine zenye hali duni ya maisha.

Ingekuwa busara hizi tarumbeta mnazopiga hapa mngezipiga kwenye takwimu za pato la mtu mmoja mmoja, hiyo ndio inayoakisi maendeleo halisi ya mahali. Adios
Acha kulinganisha jamii kubwa yenye nguvu afrika mashariki na tujamii tudogo tudogo, sisi ni wakoloni hamuoni tunavyo sambaa nchi yote hii.
 
Mbona Bukoba imeshindwa kuzibeba wilaya nyingine kama ilivyo Mwanza?

Kagera ni choka mbaya, anzia nyakanazi, lusahunga, nenda hadi benaco, puta njia ya porini utokee misenyi hadi bukoba kote huko ni njaa tupu. Pitia Biharamulo, Muleba na kwingineko kote huko ni njaa tupu.

Kagera hunidanganyi kitu, nimezunguma Kagera yote hadi vijijini, kote ni hovyo.
Mwanza ni makao makuu ya kanda ya ziwa ndugu, hivi unajua ni uwekezaji kiasi gani unafanywa na serikali kwa kigezo hicho?? Uchumi wa jiji la Mwanza huwezi kuuita wa wasukuma. Nani kakwambia biharamulo na ngara ni Wahaya alafu mbaya zaidi huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini. Mwanza hakuna wilaya ya kulinganisha na misenyi au muleba ukiacha jiji
 
Mbona Bukoba imeshindwa kuzibeba wilaya nyingine kama ilivyo Mwanza?

Kagera ni choka mbaya, anzia nyakanazi, lusahunga, nenda hadi benaco, puta njia ya porini utokee misenyi hadi bukoba kote huko ni njaa tupu. Pitia Biharamulo, Muleba na kwingineko kote huko ni njaa tupu.

Kagera hunidanganyi kitu, nimezunguma Kagera yote hadi vijijini, kote ni hovyo.
Sawa...mtu ukitembelea sehemu ukiwa na mentality ya wivu na roho mbaya huwezi ona uzuri wa mahali.
 
anayeongoza angepatikana kwa kutumia formular ya 'per capita income' ... mkoa kama kilimanjaro ni mdogo na watu wachache hawezi ulinganisha na morogoro au mwanza ... pato ligawanywe kwa idadi ya watu
 
Kama mkoa mzima mnategemea zao la parachichi liwainue kweli mtaacha kushika mkia!?😁😁😁
Ukilima parachichi lazima uwe Tajiri ..Tuna kila mazao na misitu na viwanda juu.

Kama hivi 👇

Screenshot_20211010-081336.png


Screenshot_20211010-082015.png
 
Hayo ni maamzi ,
Sio ajabu kwa kule ng'ombe 1000 hat wew mweny nyumb huwafkii
Kajifunzeni sedentary farming huko bukoba vijijini.
Watu wanafuga ng'ombe wa maziwa huko vijijini kisasa. Sio kumiliki ng'ombe wengi na kuharibu mazingira.

We huoni bukoba kulivyo na uoto mzr na hali ya hewa nzr kuliko sehemu yoyote kwa sababu ya utunzaji wa mazingira
FB_IMG_16326318907464156.jpg
1980136_13201.jpg
 
Mwanza ni makao makuu ya kanda ya ziwa ndugu, hivi unajua ni uwekezaji kiasi gani unafanywa na serikali kwa kigezo hicho?? Uchumi wa jiji la Mwanza huwezi kuuita wa wasukuma. Nani kakwambia biharamulo na ngara ni Wahaya alafu mbaya zaidi huko ndo mmejazana mnaeneza umaskini. Mwanza hakuna wilaya ya kulinganisha na misenyi au muleba ukiacha jiji
Wadanganye wajinga na mashoga wenzako huko ambao hawaijui kagera. Muleba na misenyi nazijua kila kijiji hunidanganyi kitu. Kote huko ni choka mbaya, ni migomba tu.

Ngara na Biharamulo hakuna wasukuma, ngara ni warudi na wanyarwanda na hata Biharamulo pia, Misenyi.

Kwa kukusaidia ili usije kudhani nina exposure ndogo kama yako ni kwamba, Tanzania nzima nimefika kila wilaya na karibu 80% ya vijiji vyote kwa muda wa zaidi ya miaka 10 ambayo imenifanya nizunguke nchi mzima.
 
Mbona mnazidiwa na kahama huk mnafanya kilimo cha kisas namna hiyo.
Kanda ya ziwa ilifanya kilimo mpaka pamba ikaitwa dhahabu nyeupe mnakwama wapi mkuu?
Kahama inatuzidi nini? Mil.400? Mwaka huu tunawachapa ..

Watu wenyewe mumerundikana kama sisimizi afu mnatuzidi mil.400 ndio unajipiga kifua?🤭🤭

Your popn is twice ours afu mnajipiga kifua? 🤣🤣

Screenshot_20210819-135201.png
 
Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.

GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..

Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.

Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.

Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
Umeongea.kwa kifupi tukisema tuangalie umasikini wa mtu mmoja mmoja takwimu zitageuka upside down
 
Back
Top Bottom