Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Wasukuma si waenda.hapo kwenu sikonge wabadili hizo tembe mnazoita nyumba si Wana pesa hai 🤣🤣
Nyumba za tembe zipo Mkoa wa dodoma ndo asili yao toka enzi, msukuma hana asili ya kujenga nyumba za tembe acha upumbavu.
 
Leta data tuone huo umaskin.
Mbona hizi wameleta
Mbeya per Capita 3,700,,Njombe 3100 vs Mwanza 2600 ..😝😝

Hizi hapa as per NBS

Screenshot_20211010-093855.png
 
Nyumba za tembe zipo Mkoa wa dodoma ndo asili yao toka enzi, msukuma hana asili ya kujenga nyumba za tembe acha upumbavu.
Kwa hiyo vile vijumba vingi vingi vya nyasi huku mmezungukwa na nzi sababu ya ng'ombe na punda ndo utajiri [emoji23][emoji23]!!!
 
Nyumba za tembe zipo Mkoa wa dodoma ndo asili yao toka enzi, msukuma hana asili ya kujenga nyumba za tembe acha upumbavu.
Mwambie huyo! Hao ni wale mazezeta walishakaririshwa wasukuma si kitu! Lakini mtu yeyote makini anajua wasukuma mziki wao si wakitoto! Wahaya kelele sana!
 
Kwa hiyo vile vijumba vingi vingi vya nyasi huku mmezungukwa na nzi sababu ya ng'ombe na punda ndo utajiri [emoji23][emoji23]!!!
Napenda sana kusafiri lakini hizo nyumba za nyasi usukumani sijawahi kuziona nikiwa napita barabarani kuelekea mikoani.
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
Mpangilio wa Rukwa na Katavi unaleta shaka.
 
Leta gdp ya mikoa yote nikuoneshe simiyu ilipo unakuwa na jinga fulani hivi una ubishi wa kisen%& sana.
Huna akili ,GDP ya mikoa yote niitoe wapi wakati wenye Kazi hiyo hawajaiweka ? Wameona Simiyu ichangie Shinyanga na Mwanza 😄😄
 
Mikoa ya Mbeya na Songwe, Arusha na Manyara, Iringa na Njombe kabla haijatengwa ilikuwa vizuri.
 
Napenda sana kusafiri lakini hizo nyumba za nyasi usukumani sijawahi kuziona nikiwa napita barabarani kuelekea mikoani.
Hata ukianzia tinde mpaka mwanza harafu mwanza mpaka katoro huyu atuambie sehemu gani kuna tembe. Yaani senta zote maganzo, nhunumalwa,usagara, kasamwa mpaka katoro! Ukija kahama kagongwa isaka mpaka segese kuna nyumba ya tembe? Huna hoja kubali matokeo nyinyi wahaya ilikuwa zamani!
 
Back
Top Bottom