Savannah,twitange, kiseke, Masaka sekondary school, Ngaseco. hapo geita **** Makoye hospital n.kHebu nitajie hospital au shule moja tu inayomilikiwa na msukuma hapa nchini[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Savannah,twitange, kiseke, Masaka sekondary school, Ngaseco. hapo geita **** Makoye hospital n.kHebu nitajie hospital au shule moja tu inayomilikiwa na msukuma hapa nchini[emoji23][emoji23]
💉💉💉💉Soma hiyoo 👇Kijana unatumia blog kama source ya taarifa kweli??
Hebu nitajie hata msukuma mmoja aliyewahi ingia top ten ya matajiri bongo hii[emoji23]Nani kakataa! Hao wahaya waomiliki shule hixo chache ndo unawalinganisha na wasukuma waliojaa kila sekta yenye uchumi nchi hii?
Niko hapa shida iko kwaniInstanbul ukuje hukuuuuuuuuuuuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usukumani hakuna kitu jamani, labda kama baiskeli ndo utajiri hapo nakubaliNani kakataa! Hao wahaya waomiliki shule hixo chache ndo unawalinganisha na wasukuma waliojaa kila sekta yenye uchumi nchi hii?
Baaadhi ya wahaya mataahira sana! Mara wanajilinganisha na wachaga mara masukuma! Yaani watu mliokalia kusoma tu bila kujiongeza mtakuja kuwafikia hao watu? Maisha ni zaidi ya kusoma Street education!Instanbul ukuje hukuuuuuuuuuuuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unaujua ukweli endelea kupiga ngonjera hapa!Usukumani hakuna kitu jamani, labda kama baiskeli ndo utajiri hapo nakubali
Taratibu mkuu, unamfanya Oppotunity Cost afule kama mbogo [emoji3]Kwenye suala na maendeleo Mwanza inakimbia kwa kasi sana, nilikua na miezi kadhaa sijafika Mwanza leo nina wiki niko Mwanza kuna mabadiliko ya kimaendeleo makubwa sana yanayo onekana kwa macho si yakufikirika kuanzia barabara, hudumaza afya na makazi. Kati ya mikoa niliyowahi kufika Mwanza ndio mkoa wananchi wake wana makazi bora sana japo yapo maeneo yenye makazi duni kama Igogo na mabatini tena nahisi hizo tu ndio sehemu zenye makazi duni.
Kwenye afya kuna zaidi ya hospital 5 za kisasa ukianzia bugando ,sekou toure, kamanga hospt aghakan, Tanzanite hospt dispensary karibu kila mtaaa clinic za madactari bigwa zipo za kutosha.
Mwanza mjini watu wako busy na kazi wizi wa kishenzi shenzi wa kuchomoleana upo kwa kiasi kidogo sana, watu wako busy na maisha .
Anyway Mwanza imekua kiuchumi.
Vitu gan unataja hapa[emoji23][emoji23]Savannah,twitange, kiseke, Masaka sekondary school, Ngaseco. hapo geita **** Makoye hospital n.k
Unaelew maana ya blog?
Tulia upewe dozi wewe, alafu uwe unasoma vizuri hakuna Mhaya anayejilinganisha isipokuwa Mhaya akipost kitu humu kujadili maendeleo na mipango ya Wahaya ndo low life wanakuja kujilinganisha wenyeweBaaadhi ya wahaya mataahira sana! Mara wanajilinganisha na wachaga mara masukuma! Yaani watu mliokalia kusoma tu bila kujiongeza mtakuja kuwafikia hao watu? Maisha ni zaidi ya kusoma Street education!
Wewe si unataka shule? Au mpaka uijue wewe ndo iwe shule au hospital!Vitu gan unataja hapa[emoji23][emoji23]
Shule Kama hizo zipo vijijini huko muleba. Ni vitu vya kawaida.
Mimi ninaongelea institution zilizoshiba zenye matawi mengi nchini...
Vitu Kama Tusiime, vitu Kama kaizirege, vitu Kama kairuki sio hizi medium school ambazo hata huko kyerwa zipo kibao
Hiv ni wahaya wanaojilinganisha au ni nyie na shobo zenu mnaojilinganisha na wahaya ambao hawana time na nyie.... Mshawahi ona muhaya anaanzisha Uzi kuponda makabila ya watu.Baaadhi ya wahaya mataahira sana! Mara wanajilinganisha na wachaga mara masukuma! Yaani watu mliokalia kusoma tu bila kujiongeza mtakuja kuwafikia hao watu? Maisha ni zaidi ya kusoma Street education!
Ndio mkuu, utajiri wa Mwanza ni wa jiji ambapo kimsingi huwezi kuuita utajiri wa wasukuma. Ukienda Shinyanga na geita ni utajiri wa migodi ambao impact kwa raia ni kidogo. Bora Wahaya wanalima kahawa, miti, vanilla, parachichi n.k pesa inaenda kwa wananchiWewe unaujua ukweli endelea kupiga ngonjera hapa!
Sielewi nachoelewa ni hiki hapa 👇Unaelew maana ya blog?
Hebu angalia huu Uzi tangu mwanzo.Wewe si unataka shule? Au mpaka uijue wewe ndo iwe shule au hospital!
Hiyo ni blog hata mim naweza tengeza ni kapost chochote tuletee taarifa kutoka kweny vyanzo vya kuaminnikaSielewi nachoelewa ni hiki hapa 👇
View attachment 1970027
View attachment 1970028
View attachment 1970029