Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Kama hizo trioni zote zipo huku mikoani....mbona mifukoni hatuna kitu? Au ni Mimi tu nisiye na kitu mfukoni?
 
Wewe lete ngonjera hapa! Bila hao wasukuma ungekuwa unakula nyama? Unafikiri sekta ya mifugo haina mchango hao wasukuma wanazunguka na mifugo ni wote? Lini umekuja ukakuta wasukuama wote hawapo mwanza simiyu shinyanga na geita? Unarusha vi picha sisi tunaifahamu kagera nyinyi mlishachuja kitambo! Hamna la maana hapo hata mji wenu mi ujingaujinga tu! Hata geitai awazidi mda si mrefu!
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani wewe bado unadhihirisha kwamba hujui kitu. Hakuna ng'ombe anaetoka usukumani kuja uhayani
 
Kiuhalisia Dodoma walikua wanaipamba tu lakini hakuna kitu
usichangie Kama hujui au hujaelewa mkuu!! kunatofauti makusanyo ya halm(kuvuka lengo lao),na utajili wa mkoa(raslimali ). nimeona nikusaidie ili twende pamoja kwenye mada !!
 
Kwa kuongezea Kuna yule mwanamke wa Mara alimnyang'anya jambazi smg kabisa ikiwa na risasi zimejaa kwa magazine.
Yaani ulivyoipamba lake zone.
Wangekuwa ndugu zetu ukanda Fulani wangekomaa wajitenge Mana wananyonywa na wakanda wengine.
Na ndo Mana wanataka kuleta Sera ya ukanda.
Jana nacheki itv Siro Mara,mabeyo simiyu wote walikuwa wanaongea sijui Nini.
Lake zone Askari wengi ndio wametokea huku ,tukidai nchi yetu nadhani wengine mtakufa njaa Mana chakula kingi kinatokea huku
Chakula kingi kinatoka nyanda za juu kusini mbeya,njombe,iringa,songea,songwe
 
Nilishangaa sana ile taarifa ya kiwendawazimu, eti kuna wakati Dodoma ilikuwa juu kimapato.
Hata mtoto wa std 3 hawezi kukubali.
 
Licha ya hizo takwimu hizi mikoa hazinufaiki na ha hayo makusanyo mfano Geita!,
Iko na miundo mbinu mibovu tofauti kabisa na utajiri wake, barabara mbovu za vumbi mfano Geita-Kahama!

Maji ya shida, barabara za mitaa ndio usiseme
 
Ilikua makusanyo ya ndani, ya halmashauri na sio makusanyo ya kodi.

Sasa kwa makusanyo ya halmashauri walifanya vizuri kuzidi malengo, yaani walikusanya zaidi ya 100% ya malengo ndio maana wakashika namba moja.

Hizo takwimu ni takwimu za utajiri wa mkoa, rasilimali zilizopo na potentiality zake.
Umehitimisha sivyo. GDP ni jumla ya huduma na bidhaa zinazozalishwa, kuimport, kuexport na uwekezaji katika eneo husika ikielezewa katika sarafu ya eneo au nchu husika au Dola ya Kimarekani.
 
I am very surprised by Njombe. How is it possible kushuka chunk kiasi hicho in a span of 4 years?
 
Wakati naenda huko ilikuwa ni wilaya ya Bukoba. It was 2008, kabla wilaya ya Misenyi haijazaliwa.
Hizo sehemu hujawahi kufika tangu lini kanyigo ikawa bukoba [emoji23][emoji23]

Yaan muongo njia yake fupi
 
Acha kudanganya njoo nikupeleke Sengerema, Buchosa na Geita vijijini uone nshomile walivyojaa na ukiwaambia warudi Kagera wanakupiga mawe.
Mhaya hawezi kutoka Bukoba akaja misungwi, ngudu au sijui geita vijiji huko maana kuna maisha magumu. Wahaya wapo Mwanza mjini maofisini au wanafanya biashara, wasukuma ndo wanatoka huko vijijini wanakimbia njaa na ukame
 
Huo ndio ukweli mchungu
Humu naona mnabishana tu
Ngoja mimi nitoe views zangu
Kiuhalisia ikitoka jiji la Dsm basi jiji linalokaribia na Dar ni Mwz.
Nimewahi kuishi dar,mwanza,dodoma,mbeya,arusha isipokuwa tanga tu ndo sijaishi ila katika majiji yote hayo linaloongoza kwa kuwa na mzunguko mkubwa wa pesa ni Dsm ikifuatiwa na mwz.
Na katika majiji niliyokaa jiji linaloshika mkia kwa upande wangu ni dodoma liko overrated sana sio kama yalivyokuwa matarajio yangu.
Mwz kuna mitaaa imechangamka kama vile dar.

Views zangu ni kwamba ukiitoa dar kwa hapa tz hakuna jiji lingine linaloikaribia mwz, tena kama huko juu nimeona members wanafananisha jiji la mwanza na mbeya kwakweli sio sahihi kabisa mwz inakua kwa kasi sana jamani tembeeni Tanzania muone.
Kama kuna mtu amewahi kutembelea hayo majiji yote basi atakuwa anajua nachokiongea.

NB. Hakuna jiji kubwa kwa kila kitu kama Dar kwa hapa Tz.
 
Baaadhi ya wahaya mataahira sana! Mara wanajilinganisha na wachaga mara masukuma! Yaani watu mliokalia kusoma tu bila kujiongeza mtakuja kuwafikia hao watu? Maisha ni zaidi ya kusoma Street education!
Khaaaa, wape vidonge vyao hawa jirani zetu mimi nawapenda sana ila huwa wanajiinua sana tu
 
Hakuna kitu msingekimbilia Rocky City na Gold City. Wahaya walikuwa zamani sasa hivi wakifa wengi tunazika huku huku sukumaland
Ndio mkuu, utajiri wa Mwanza ni wa jiji ambapo kimsingi huwezi kuuita utajiri wa wasukuma. Ukienda Shinyanga na geita ni utajiri wa migodi ambao impact kwa raia ni kidogo. Bora Wahaya wanalima kahawa, miti, vanilla, parachichi n.k pesa inaenda kwa wananchi
 
Back
Top Bottom