Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

I am very surprised by Njombe. How is it possible kushuka chunk kiasi hicho in a span of 4 years?
Kwa kweli Sijui wametumia kigezo gani, maana huku tunazalisha mazao yanayouzwa Soko la nje,km vile Parachichi,chai(95%) ya chai inayozalishwa Njombe inauzwa nje ya nchi (Nina ushahidi huo kwasababu nimefanya field kiwanda Cha chai na nimeona kitu hicho),Pia mbao, kiasi fulani zinapelekwa nje ya nchi, Aidha wakati mwingine hata kiazi,Sasa hivi tumeanza kuzalisha vanilla.Lkn yote kwa yote sio shida hata km wakituweka wa mwisho kwa miaka yote sio tatizo kwasababu sisi ndo tunajua utamu wa ngoma,hata hivyo kuwa wa kwanza au wa mwisho haituongezei Wala kutupunguzia kitu.
 
Kanda ya ziwa inabebwa ma migodi.
Watu mnachuki na kanda ya ziwa ati inabebwa na madini! Nadhani huijui kanda ya ziwa. Na unadhani Mbuga na game reserve zote ni za Kaskazini, Unasahau Serengeti na game reserve zipo Bado kanda ya Ziwa. Kuna Mbuga ni Kisiwa tu kinaitwa Rubondo, kuna mbuga ndogo kuliko zote ni kisiwa kiko ndani ya jiji la mwanza.

Kuna misitu mikubwa ya asili maeneo ya mkoa wa geita (Amaizing), Ukifika kwanye hii misitu utapenda Geita inauoto mzuri sana wa asili. Lakini pia kuna misitu maeneo ya Sengerema na Ukerewe kwa ajili ya upasuaji wa mbao.

Kuna shughuli za Uvuvi, ukifika Kirumba kuna soko la kimataifa linahudumia nchi za Congo na zinginezo. Pia kuna viwanda vikubwa vya samaki, hawa samaki uuzwa nje ya nchi. Ndege hutu hapo na kuondoka kwenda nje.

Hii mikoa ya kanda ya ziwa ni wakulima wazuri hivyo biashara ya mazao ni kubwa si ndani ya nchi hata nchi jirani. Ukiongelea dengu, choroko na aina kama hiyo inasafirishwa kwa wingi India, asilimia kubwa inatolewa kanda ya ziwa, hapo ujagusia mchele wa shinyanga.

Lakini kumbuka Mifugo mingi, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo inatoka kanda ya ziwa. Katazame maelfu ya hao wanyama wanavyosafirishwa kwenda Dar na nje ya nchi.
Kumbuka Mwanza ni hub ya nchi za Africa mashariki, ni kiungo muhimu, miaka ya nyuma nimeishi mwanza, kuna mabasi mengi uleta watalii na hasa wanafunzi, wazazi na walimu wao. Kila wiki utaona mabasi. Niliwauliza kwa nini wanapenda kuja Mwanza. Hapo sijaongelea wafanya biashara toka Sudan kusini, Congo, Rwanda, Uganda na wengineo.

Nikupe siri tu kuna balozi toka nchi za Arabuni alifika Mwanza akitaka wapewe eneo kubwa kwa kilimo hasa maeneo ya Sengerema na Misungwi walihitaji kuwekeza, alisema kanda ya ziwa ni keki. Haya yalikuwa maneno yake.
Kanda ya ziwa ina mabilionea kibao, ila hata siku moja uwezi sikia, na matajiri wakule hawapendi sifa za kijinga kujionesha. KULE NI KAZI KAZI.
Hii ndo kanda ya ziwa, acha kuwaza madini tu. Mbona Kaskzini wana madini pia.
 
Watu mnachuki na kanda ya ziwa ati inabebwa na madini! Nadhani huijui kanda ya ziwa. Na unadhani Mbuga na game reserve zote ni za Kaskazini, Unasahau Serengeti na game reserve zipo Bado kanda ya Ziwa. Kuna Mbuga ni Kisiwa tu kinaitwa Rubondo, kuna mbuga ndogo kuliko zote ni kisiwa kiko ndani ya jiji la mwanza.

Kuna misitu mikubwa ya asili maeneo ya mkoa wa geita (Amaizing), Ukifika kwanye hii misitu utapenda Geita inauoto mzuri sana wa asili. Lakini pia kuna misitu maeneo ya Sengerema na Ukerewe kwa ajili ya upasuaji wa mbao.

Kuna shughuli za Uvuvi, ukifika Kirumba kuna soko la kimataifa linahudumia nchi za Congo na zinginezo. Pia kuna viwanda vikubwa vya samaki, hawa samaki uuzwa nje ya nchi. Ndege hutu hapo na kuondoka kwenda nje.

Hii mikoa ya kanda ya ziwa ni wakulima wazuri hivyo biashara ya mazao ni kubwa si ndani ya nchi hata nchi jirani. Ukiongelea dengu, choroko na aina kama hiyo inasafirishwa kwa wingi India, asilimia kubwa inatolewa kanda ya ziwa, hapo ujagusia mchele wa shinyanga.

Lakini kumbuka Mifugo mingi, Ng'ombe, Mbuzi, Kondoo inatoka kanda ya ziwa. Katazame maelfu ya hao wanyama wanavyosafirishwa kwenda Dar na nje ya nchi.
Kumbuka Mwanza ni hub ya nchi za Africa mashariki, ni kiungo muhimu, miaka ya nyuma nimeishi mwanza, kuna mabasi mengi uleta watalii na hasa wanafunzi, wazazi na walimu wao. Kila wiki utaona mabasi. Niliwauliza kwa nini wanapenda kuja Mwanza. Hapo sijaongelea wafanya biashara toka Sudan kusini, Congo, Rwanda, Uganda na wengineo.

Nikupe siri tu kuna balozi toka nchi za Arabuni alifika Mwanza akitaka wapewe eneo kubwa kwa kilimo hasa maeneo ya Sengerema na Misungwi walihitaji kuwekeza, alisema kanda ya ziwa ni keki. Haya yalikuwa maneno yake.
Kanda ya ziwa ina mabilionea kibao, ila hata siku moja uwezi sikia, na matajiri wakule hawapendi sifa za kijinga kujionesha. KULE NI KAZI KAZI.
Hii ndo kanda ya ziwa, acha kuwaza madini tu. Mbona Kaskzini wana madini pia.
Ila ndagu nyingi.
 
Kwa kweli Sijui wametumia kigezo gani, maana huku tunazalisha mazao yanayouzwa Soko la nje,km vile Parachichi,chai(95%) ya chai inayozalishwa Njombe inauzwa nje ya nchi (Nina ushahidi huo kwasababu nimefanya field kiwanda Cha chai na nimeona kitu hicho),Pia mbao, kiasi fulani zinapelekwa nje ya nchi, Aidha wakati mwingine hata kiazi,Sasa hivi tumeanza kuzalisha vanilla.Lkn yote kwa yote sio shida hata km wakituweka wa mwisho kwa miaka yote sio tatizo kwasababu sisi ndo tunajua utamu wa ngoma,hata hivyo kuwa wa kwanza au wa mwisho haituongezei Wala kutupunguzia

Njombe inauza biadhaa zinazofikia hata tirillion 4 kwa mwaka.sijui NBS wanatumia vigezo gani bati Kama ingekua kigezo ni uzalishaji na uuzaji wa bidhaa Njombe iko mbali sanaa
 
Njombe inauza biadhaa zinazofikia hata tirillion 4 kwa mwaka.sijui NBS wanatumia vigezo gani bati Kama ingekua kigezo ni uzalishaji na uuzaji wa bidhaa Njombe iko mbali sanaa
Kuna bidhaa gani huko mnazosafirisha za matriolion ya pesa zaidi ya maparachichi, nyie ni wajinga tu mnategemea maparachichi ndio yawainue mna akili kama fisi maji.
 
Kwa kweli Sijui wametumia kigezo gani, maana huku tunazalisha mazao yanayouzwa Soko la nje,km vile Parachichi,chai(95%) ya chai inayozalishwa Njombe inauzwa nje ya nchi (Nina ushahidi huo kwasababu nimefanya field kiwanda Cha chai na nimeona kitu hicho),Pia mbao, kiasi fulani zinapelekwa nje ya nchi, Aidha wakati mwingine hata kiazi,Sasa hivi tumeanza kuzalisha vanilla.Lkn yote kwa yote sio shida hata km wakituweka wa mwisho kwa miaka yote sio tatizo kwasababu sisi ndo tunajua utamu wa ngoma,hata hivyo kuwa wa kwanza au wa mwisho haituongezei Wala kutupunguzia kitu.
Njombe ni ya pili au tatu kwa GDP per capita. GDP per capita ndio kipimo bora zaid kwa sababu hugawanya utajiri kwa mtu mmoja mmoja.
 
Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.

Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.

Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.

Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.

Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.

Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
Enzi za jiwe ungeambiwa imeongoza Dodoma au Chato
 
Wewe nae ni mpumbavu mwenzake! Eti mihemko! Hivi kweli mji unaoongoza kwa mbali sana mapato kwa nchi hii uje kupitwa na mkoa ambao hata mapato yake sio ya 3 kitaifa?

Angalia hili hapa! Walilinganisha asilimia za makusanyo dhidi ya malengo. Na kwa kuwa namuelezea mbwiga nitatoa mfano hapa. Lengo la Dar ni kukusanya 100m na Dodoma 70m. Dodoma mwisho wa mwaka kakusanya 68m sawa na 97% Dar kakusanya 90m sawa na 90%. Ukilinganisha ufanisi utaona Dom kaizi Dar kwa 7% lakini alizokusanya Dar ni 22m zaidi!!

Ni malengo ya makusanyo ndio Dodoma alikuwa wa kwanza. Sio kiasi cha makusanyo! Ukianza kuelewa tofauti hiyo utamsaidia mwenzako.
Wewe ni mwalimu?
Hata huko kwenye ualimu siku hizi ni wachache wanaosumbuka kuelewesha kama ulivyofanya wewe. Siku hizi kila kitu kinafanywa mkato mkato tu mradi CCM iendelee kutawala.
 
Umesahau Mkuu Jambo moja la mhimu sana nalo ni, Kanda yetu ndiyo inayoongoza Kwa Kuwa na watu wengi kuliko Kanda yoyote.

Pia ni rahisi sana kutokea Kanda yetu na kufika nchi zote za Africa mashariki Kwa urahisi zaidi kuliko kutokea Kanda yoyote Ile.
Pia Kanda yetu ndiyo Kanda pekeee iliyoleta Rais jiwe.
Na Rais wa kwanza pia
 
Back
Top Bottom