Patrick Nyembera unakerwa na elimu kuhusu ndondi aliyo nayo Aidan Mlimila?

Patrick Nyembera unakerwa na elimu kuhusu ndondi aliyo nayo Aidan Mlimila?

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Patrick Nyembera ni mmoja kati ya wachambuzi wa michezo nchini ambaye anafanya kazi hiyo Azam Media. Na mara zote amekuwa ni Commentator wa masumbwi ambayo kwa Azam wanaita Vitasa. Katika mapambano mengi huwa wanakuwa na watu wengine kwenye kuelezea michezo hiyo na kuwapa radha watazamaji.

Mmoja wa watu ambao hivi karibuni wamekuwa wakijikita zaidi kwenye uchambuzi wa ndondi ni Aidan Mlimila, ambaye naye yupo Azam na mara zote amekuwa akielezea ndondi kwa namna ambavyo ndondi inapaswa kuwa. Yaani Aidan ni dizaini ya Kashasha alivyokuwa kwenye soka.

Katika pambano la Mei 31 ambapo Mwakinyo alikuwa main card kuna maneno ambayo Patrick aliyazungumza dhidi ya Aidan nikaona anachukia ufahamu wa Aidan kwenye ndondi. Kwa mliorekodi mapambano ya utangulizi ya siku hiyo, kaangalieni pambano la Kaoneka round ya nne, Patrick amemuita Aidan "Google".

Amemuita "Google" Kumaanisha kuwa Aidan anaisoma sana ngumi. Hata hivyo kwenye professionalism hauwezi kumuita mtu kwa jina lisilo lake. Jina lolote lisilo la mtu linamaanisha kuna kitu hakiko sawa kwa anayetumia jina hilo. Tena, jina hilo lilifuata baada ya kumlalamikia kuwa anasoma sana ngumi.

Nilisikia sauti ya Aidan ikiitikia kwa shida jina lile, na kujibu alichoulizwa ila kiukweli kitaaluma haiko sawa. Kwa wenzetu nje mtu akikutajia jina lake na ukaamua kumuita jina unalotaka wewe ni serious offence, ni disrespect kubwa inayostahili hatua za kinidhamu.

Nadhani Patrick hajazuiwa kuisoma ngumi, so badala ya kuchukia wanaoisoma ngumi, ni vyema na yeye asome. Pole sana Aidan kwa name callning uliyofanyiwa.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, langu jina ni Analogia Malenga.
 
Patrick Nyembera ni mmoja kati ya wachambuzi wa michezo nchini ambaye anafanya kazi hiyo Azam Media. Na mara zote amekuwa ni Commentator wa masumbwi ambayo kwa Azam wanaita Vitasa. Katika mapambano mengi huwa wanakuwa na watu wengine kwenye kuelezea michezo hiyo na kuwapa radha watazamaji.

Mmoja wa watu ambao hivi karibuni wamekuwa wakijikita zaidi kwenye uchambuzi wa ndondi ni Aidan Mlimila, ambaye naye yupo Azam na mara zote amekuwa akielezea ndondi kwa namna ambavyo ndondi inapaswa kuwa. Yaani Aidan ni dizaini ya Kashasha alivyokuwa kwenye soka.

Katika pambano la Mei 31 ambapo Mwakinyo alikuwa main card kuna maneno ambayo Patrick aliyazungumza dhidi ya Aidan nikaona anachukia ufahamu wa Aidan kwenye ndondi. Kwa mliorekodi mapambano ya utangulizi ya siku hiyo, kaangalieni pambano la Kaoneka round ya nne, Patrick amemuita Aidan "Google".

Amemuita "Google" Kumaanisha kuwa Aidan anaisoma sana ngumi. Hata hivyo kwenye professionalism hauwezi kumuita mtu kwa jina lisilo lake. Jina lolote lisilo la mtu linamaanisha kuna kitu hakiko sawa kwa anayetumia jina hilo. Tena, jina hilo lilifuata baada ya kumlalamikia kuwa anasoma sana ngumi.

Nilisikia sauti ya Aidan ikiitikia kwa shida jina lile, na kujibu alichoulizwa ila kiukweli kitaaluma haiko sawa. Kwa wenzetu nje mtu akikutajia jina lake na ukaamua kumuita jina unalotaka wewe ni serious offence, ni disrespect kubwa inayostahili hatua za kinidhamu.

Nadhani Patrick hajazuiwa kuisoma ngumi, so badala ya kuchukia wanaoisoma ngumi, ni vyema na yeye asome. Pole sana Aidan kwa name callning uliyofanyiwa.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, langu jina ni Analogia Malenga.
Unayakuza mambo.Kama wao wana ukaribu na utani?Acha uchonganishi.Kitu kidogo tu umekianzishia uzi wa mistari "salasini"!
 
Hao ni binadamu.Wana kuteleza.Umeanzisha uzi wakati wao wanapiga kazi na stori kiroho poa.Halafu,wanaume huwa hawana grudges za kiviiileee!Mind you!
Watu huwa wanagrudges na huwa wanasema, ila mara nyingi mnaona watu wanachukulia poa, si kweli, Haujawahi kuona watu wanalalamika "Alisema neno fulani nilimuangalia ila nikaacha tu" which means aliumia ila kibongobongo tunahisi mambo yanakwenda vizuri
 
Watu huwa wanagrudges na huwa wanasema, ila mara nyingi mnaona watu wanachukulia poa, si kweli, Haujawahi kuona watu wanalalamika "Alisema neno fulani nilimuangalia ila nikaacha tu" which means aliumia ila kibongobongo tunahisi mambo yanakwenda vizuri
Duniani usipoumizwa basi wewe si kiumbe.Let the big boys alone!
 
Patrick Nyembera ni mmoja kati ya wachambuzi wa michezo nchini ambaye anafanya kazi hiyo Azam Media. Na mara zote amekuwa ni Commentator wa masumbwi ambayo kwa Azam wanaita Vitasa. Katika mapambano mengi huwa wanakuwa na watu wengine kwenye kuelezea michezo hiyo na kuwapa radha watazamaji.

Mmoja wa watu ambao hivi karibuni wamekuwa wakijikita zaidi kwenye uchambuzi wa ndondi ni Aidan Mlimila, ambaye naye yupo Azam na mara zote amekuwa akielezea ndondi kwa namna ambavyo ndondi inapaswa kuwa. Yaani Aidan ni dizaini ya Kashasha alivyokuwa kwenye soka.

Katika pambano la Mei 31 ambapo Mwakinyo alikuwa main card kuna maneno ambayo Patrick aliyazungumza dhidi ya Aidan nikaona anachukia ufahamu wa Aidan kwenye ndondi. Kwa mliorekodi mapambano ya utangulizi ya siku hiyo, kaangalieni pambano la Kaoneka round ya nne, Patrick amemuita Aidan "Google".

Amemuita "Google" Kumaanisha kuwa Aidan anaisoma sana ngumi. Hata hivyo kwenye professionalism hauwezi kumuita mtu kwa jina lisilo lake. Jina lolote lisilo la mtu linamaanisha kuna kitu hakiko sawa kwa anayetumia jina hilo. Tena, jina hilo lilifuata baada ya kumlalamikia kuwa anasoma sana ngumi.

Nilisikia sauti ya Aidan ikiitikia kwa shida jina lile, na kujibu alichoulizwa ila kiukweli kitaaluma haiko sawa. Kwa wenzetu nje mtu akikutajia jina lake na ukaamua kumuita jina unalotaka wewe ni serious offence, ni disrespect kubwa inayostahili hatua za kinidhamu.

Nadhani Patrick hajazuiwa kuisoma ngumi, so badala ya kuchukia wanaoisoma ngumi, ni vyema na yeye asome. Pole sana Aidan kwa name callning uliyofanyiwa.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, langu jina ni Analogia Malenga.
Nilisikiliza na kufuatilia vizuri pambano hilo, we umeweka katika namna ambayo sidhani ilikuwa na utata bali ilikuwa katika kuchagiza tu na vionjo vya hapa na pale kitu ambacho ni kawaida na sio name calling

Kipengele nilichoona kilikuwa ni kuonesha mahaba ya wazi kwa yule Matumla hapo ndio niliona professionalism imekuwa zero kabisaa kwa kifupi ilishuka
 
Patrick Nyembera ni mmoja kati ya wachambuzi wa michezo nchini ambaye anafanya kazi hiyo Azam Media. Na mara zote amekuwa ni Commentator wa masumbwi ambayo kwa Azam wanaita Vitasa. Katika mapambano mengi huwa wanakuwa na watu wengine kwenye kuelezea michezo hiyo na kuwapa radha watazamaji.

Mmoja wa watu ambao hivi karibuni wamekuwa wakijikita zaidi kwenye uchambuzi wa ndondi ni Aidan Mlimila, ambaye naye yupo Azam na mara zote amekuwa akielezea ndondi kwa namna ambavyo ndondi inapaswa kuwa. Yaani Aidan ni dizaini ya Kashasha alivyokuwa kwenye soka.

Katika pambano la Mei 31 ambapo Mwakinyo alikuwa main card kuna maneno ambayo Patrick aliyazungumza dhidi ya Aidan nikaona anachukia ufahamu wa Aidan kwenye ndondi. Kwa mliorekodi mapambano ya utangulizi ya siku hiyo, kaangalieni pambano la Kaoneka round ya nne, Patrick amemuita Aidan "Google".

Amemuita "Google" Kumaanisha kuwa Aidan anaisoma sana ngumi. Hata hivyo kwenye professionalism hauwezi kumuita mtu kwa jina lisilo lake. Jina lolote lisilo la mtu linamaanisha kuna kitu hakiko sawa kwa anayetumia jina hilo. Tena, jina hilo lilifuata baada ya kumlalamikia kuwa anasoma sana ngumi.

Nilisikia sauti ya Aidan ikiitikia kwa shida jina lile, na kujibu alichoulizwa ila kiukweli kitaaluma haiko sawa. Kwa wenzetu nje mtu akikutajia jina lake na ukaamua kumuita jina unalotaka wewe ni serious offence, ni disrespect kubwa inayostahili hatua za kinidhamu.

Nadhani Patrick hajazuiwa kuisoma ngumi, so badala ya kuchukia wanaoisoma ngumi, ni vyema na yeye asome. Pole sana Aidan kwa name callning uliyofanyiwa.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, langu jina ni Analogia Malenga.
Huna akili.
 
Patrick Nyembera ni mmoja kati ya wachambuzi wa michezo nchini ambaye anafanya kazi hiyo Azam Media. Na mara zote amekuwa ni Commentator wa masumbwi ambayo kwa Azam wanaita Vitasa. Katika mapambano mengi huwa wanakuwa na watu wengine kwenye kuelezea michezo hiyo na kuwapa radha watazamaji.

Mmoja wa watu ambao hivi karibuni wamekuwa wakijikita zaidi kwenye uchambuzi wa ndondi ni Aidan Mlimila, ambaye naye yupo Azam na mara zote amekuwa akielezea ndondi kwa namna ambavyo ndondi inapaswa kuwa. Yaani Aidan ni dizaini ya Kashasha alivyokuwa kwenye soka.

Katika pambano la Mei 31 ambapo Mwakinyo alikuwa main card kuna maneno ambayo Patrick aliyazungumza dhidi ya Aidan nikaona anachukia ufahamu wa Aidan kwenye ndondi. Kwa mliorekodi mapambano ya utangulizi ya siku hiyo, kaangalieni pambano la Kaoneka round ya nne, Patrick amemuita Aidan "Google".

Amemuita "Google" Kumaanisha kuwa Aidan anaisoma sana ngumi. Hata hivyo kwenye professionalism hauwezi kumuita mtu kwa jina lisilo lake. Jina lolote lisilo la mtu linamaanisha kuna kitu hakiko sawa kwa anayetumia jina hilo. Tena, jina hilo lilifuata baada ya kumlalamikia kuwa anasoma sana ngumi.

Nilisikia sauti ya Aidan ikiitikia kwa shida jina lile, na kujibu alichoulizwa ila kiukweli kitaaluma haiko sawa. Kwa wenzetu nje mtu akikutajia jina lake na ukaamua kumuita jina unalotaka wewe ni serious offence, ni disrespect kubwa inayostahili hatua za kinidhamu.

Nadhani Patrick hajazuiwa kuisoma ngumi, so badala ya kuchukia wanaoisoma ngumi, ni vyema na yeye asome. Pole sana Aidan kwa name callning uliyofanyiwa.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, langu jina ni Analogia Malenga.
Kwenye ngumi Kwa Sasa Aidan ni Google ya Nchi hii. Ubaya wa Patrick uko wapi?
 
Patrick Nyembera ni mmoja kati ya wachambuzi wa michezo nchini ambaye anafanya kazi hiyo Azam Media. Na mara zote amekuwa ni Commentator wa masumbwi ambayo kwa Azam wanaita Vitasa. Katika mapambano mengi huwa wanakuwa na watu wengine kwenye kuelezea michezo hiyo na kuwapa radha watazamaji.

Mmoja wa watu ambao hivi karibuni wamekuwa wakijikita zaidi kwenye uchambuzi wa ndondi ni Aidan Mlimila, ambaye naye yupo Azam na mara zote amekuwa akielezea ndondi kwa namna ambavyo ndondi inapaswa kuwa. Yaani Aidan ni dizaini ya Kashasha alivyokuwa kwenye soka.

Katika pambano la Mei 31 ambapo Mwakinyo alikuwa main card kuna maneno ambayo Patrick aliyazungumza dhidi ya Aidan nikaona anachukia ufahamu wa Aidan kwenye ndondi. Kwa mliorekodi mapambano ya utangulizi ya siku hiyo, kaangalieni pambano la Kaoneka round ya nne, Patrick amemuita Aidan "Google".

Amemuita "Google" Kumaanisha kuwa Aidan anaisoma sana ngumi. Hata hivyo kwenye professionalism hauwezi kumuita mtu kwa jina lisilo lake. Jina lolote lisilo la mtu linamaanisha kuna kitu hakiko sawa kwa anayetumia jina hilo. Tena, jina hilo lilifuata baada ya kumlalamikia kuwa anasoma sana ngumi.

Nilisikia sauti ya Aidan ikiitikia kwa shida jina lile, na kujibu alichoulizwa ila kiukweli kitaaluma haiko sawa. Kwa wenzetu nje mtu akikutajia jina lake na ukaamua kumuita jina unalotaka wewe ni serious offence, ni disrespect kubwa inayostahili hatua za kinidhamu.

Nadhani Patrick hajazuiwa kuisoma ngumi, so badala ya kuchukia wanaoisoma ngumi, ni vyema na yeye asome. Pole sana Aidan kwa name callning uliyofanyiwa.

Nayeyuka huku nikiweweseka kiwendawazimu, langu jina ni Analogia Malenga.
Wote walikuwa kuwa wana masumbwi ua waliwahi kupigana ulingoni? Au waliwahi kufundisha ngumi? Ni Bongo tu ndiyo unakuta muuza samaki mstaafu amegeuka kuwa mtaalam na mchambuzi wa ngumi au kandanda kwenye TV
 
Back
Top Bottom