Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Huyu Katambi alivyokuwa anahangaika na maombi ya Tundu Lissu ile 2017 [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kumbe alikuwa afisa kipenyo wa CCM TISS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
fata hiyo link ucheki scenario nzima
duh...tufwile nyambeleAfsa kipenyo chawa
mkuu, sema watu wa hovyo wanapewa madarakaViongozi wa HOVYO wanapata madaraka. Ndiyo matokeo yake hayo.
I rest my case. umegonga penyewe mkuuHakuna chochote zaidi ya kuwafanya wapinzani waone ccm kuna fursa
Kweli Mkuu, kuna watu wengi wa hovyo wameshika madaraka. Naamini zaidi ya nusu ya Wabunge siyo tu hawakustahili kuwa hapo kwa vile hakuchaguliwa kihalali ali hawana sifa za kuwa Wabunge. Mawazili wengi ama hawana uwezo au hawana ubunifu kabisa. Wapo pale kwa ajili ya matumbo yao tu!mkuu, sema watu wa hovyo wanapewa madaraka
Kana utovu wa nidhamu.rais aliona nini ndani ya haka katoto hata akakapa uwaziri?
Jamani nashindwa view attachmentWatu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".
Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.
Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.
View attachment 1861876
africa kuna shida kubwa. Ni bara pekee ambalo watu hawawi matajiri na mamilionea kwa kufanya kazi kwa bidii bali kwa kuwa wanasiasa. ukisema idadi, watakwambia mbona uganda ni nchi ndogo na ina wabunge 529?Kweli Mkuu, kuna watu wengi wa hovyo wameshika madaraka. Naamini zaidi ya nusu ya Wabunge siyo tu hawakustahili kuwa hapo kwa vile hakuchaguliwa kihalali ali hawana sifa za kuwa Wabunge. Mawazili wengi ama hawana uwezo au hawana ubunifu kabisa. Wapo pale kwa ajili ya matumbo yao tu!
Ili kupata wabunge wa maana, nafikiri vigezo inabidi vibadilishwe na idadi ipunguzwe .....!!
Huyu naye waziri????Watu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".
Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.
Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.
View attachment 1861876