Pre GE2025 Paul Christian Makonda ni chaguo lao kwenye nafasi ya Waziri Mkuu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aisee, akili na ufahamu wako uko corrupted na umejengwa ktk mfumo hatari wa uchafu...

Kwa hili, kama mimi ni mjinga (ufikiriavyo wewe), basi wewe ni mpumbavu kabisa...!!

Hawarudii shule kwa kutumia jina la mtu mwingine....

Kama hukufanikiwa kupenya ktk level fulani ya elimu, sheria na mfumo wetu unakuruhusu kirudia tena mitihani kwa jina lako halisi hilohilo...

Paul Christian Makonda, hakupitia mfumo huu bali alinunua cheti cha mtu mwingine aliyefanya vizuri. Jina lake halisi la familia na ukoo wake ni ALBERT BASHITE MALYANGILI...

Hili jina la PAUL CHRISTIAN MAKONDA ni la cheti cha kidato cha nne cha kununua. Nenda kijijini kwao KOLOMIJE, wilaya ya MISUNGWI mkoa wa MWANZA, tafuta baba na mama yake na ndugu zake na ukoo wao wote hawako kwenye ukoo wa kina "MAKONDA....!!"

Hii kisheria na kwa sheria za Tanzania ni kosa kubwa la jinai linaloangukia kwenye makosa ya "impersonation" yaani kutumia jina la mtu mwingine kujinufaisha. Huyu hana tofauti na mwizi wa mitihani...!!

Kama umeelewa, sema kwa sauti kubwa kuwa "...nimeelewa, mimi sio mjinga wala mpumbavu tena...!!"

Sema kabla sijakuchapa hamsa 25 matakoni..😄😄🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
 
Apewe anaweza nafasi hiyo
 
😂😂😂toka ndoto...unaota ujinga uchafu... MAKONDA hawezi kuwa pm ever never ....hata mkewe awe Rais.
Makondakta kuwa PM na sir-hundred kuwa namba moja wapi Kuna nafuu? Kwangu ni bora makondakta kuwa PM..
 
Naomba unipigie picha ya matokeo yake ya darasa la nne huyo Albert Bashite Malyangili na Paul Christian Makonda...halafu naomba unipigie picha ya matokeo yake ya darasa la kwanza huyo Albert Bashite Malyangili na Paul Christian Makonda...halafu halafu vyet vyote vya taaluma+NIDA zao...kushindwa kufanya hvo kutakufanya uonekane na chuki bifsi..nakutakia mawasilisho mema.
 
Mwamba aseme hivii huyo kamwaga fweza ya kutosha kutengeneza chawa machalii,ila hivi sasa hazipo tena kwani gapu alilotengeneza babu ni kubwa kinyama,hivyo porojo nyingine ni kuonyesha kama kazi imefanywa ila bado mziki ni mnene kwani uwezo wa kuendelea kuwaweka sawa chawa machalii haupo huku safari bado ndefu.
 
Weer utaj

Wewe utakuwa kijana wa Gwajima na ndie kakutuma
Wala, siyo kabisa...

Nimesoma na Albert Bashite Malyangili darasa moja...


Tunatoka kijiji kimoja Kolomije, Misungwi - Mwanza...

Nawajua baba zake, mama zake, wanaukoo wake, ni jirani na ni wanakijiji wenzetu..

Nashangaa mwenzetu huyu ghafla bin vuu akabadilisha majina yote matatu mpaka la ukoo lakini sura na umbo ni yuleyule Albert Malyangili...

Kumbe mwenzetu huyu ni jambazi na fisadi wa kielimu🤔🤔🤔🤔🫣
 
Makonda Waziri Mkuu? Kweli CCM wameichoka hii nchi
 
Labda awe PM kwenye serikali ya mataahira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…