Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

Mbona sekta zote kwenye hili bara ndio tulivyo; kahawa, nyanya, dhahabu , cocoa, yaani hadi mafuta (nchi kama Nigeria inauza mafuta ghafi yanaenda kufanyiwa refinery yanarudishwa)
 
Mbona sekta zote kwenye hili bara ndio tulivyo; kahawa, nyanya, dhahabu , cocoa, yaani hadi mafuta (nchi kama Nigeria inauza mafuta ghafi yanaenda kufanyiwa refinery yanarudishwa)
Viongozi wa Afrika ni ubinafsi umewajaa yule bwanamdogo wa Burkina Faso anawaonesha njia lakini Wana macho lakini vipofu.1
 
Viongozi wa Afrika ni ubinafsi umewajaa yule bwanamdogo wa Burkina Faso anawaonesha njia lakini Wana macho lakini vipofu.1
Huyo naye ni wale wale tu, kama uongozi ni ndoa basi Traole ndoa yake iko steji ya honeymoon; ana substitute ukoloni wa Ufaransa na kuingiza ukoloni wa Mrusi
 
Huyo mshamba wako alikuwa na maono gani, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Yule alikuwa mshamba katili, Na huyo lofa skeleton maono yake ni kuua wakongomani na kuwaibia madini yao? We kwl ni bwege
You sound exactly like those frustrated mentally deranged folks who were dismissed from public posts in magufuli era owing to certificates forgery....!!

Kwa hii comment iliyojaa uchungu inaonekana wewe ulikuwa ni mchepuko wa mafisadi yaliyotumbuliwa na Magufuli.

Na huu uchungu utakufa nao.
 
Frankly speaking Paul Kagame is the smartest president in Africa.

Huwa natamani sana hata sisi tungekuwa na kiongozi makini na mwenye talanta ya hali ya juu ya kiouongozi kama Kagame.

Lile tusi alilomwambia Kikwete kwamba yeye angekuwa na bandari tu hii ya dar es salaam basi angeendesha nchi bila kuomba omba misaada bado linaijia akilini kila nikuona.
 
Baada ya Kifo cha John Magufuli Africa ya mashariki kiongozi imara na mwenye maono aliyebaki ni Paul Kagame Rais wa Rwanda.

Akihojiwa na mwandishi wa habari Mario Nawfal hivi karibuni kagame amesikitishwa na kitendo cha Afrika mashariki kuendelea kuingiza nguo zilizotumika maarufu kama mitumba kutoka nchi za nje wakati nchi hizo zinalima pamba na kuuza Nje.

Anasema walikaa kikao kama viongozi wa Afrika mashariki na wakakubaliana kusitisha biashara ya kuagiza nguo chakavu kutoka nje na kuanzisha pamoja na kuendeleza viwanda vya nguo katika ukanda wa mashariki ya afrika. Anasema marekani ilipopata habari hizo walitoa taarifa kwa nchi za afrika mashariki ni marufuku kuzuia uagizaji wa nguo chakavu kutoka marekani. Viongozi wetu baada ya kuelezwa hayo walinywea na kukubaliana na masharti ya Marekani.

Viongozi wetu wakishindwa kufanya maamuzi magumu tutaendelea kutawaliwa na mataifa haya yenye nguvu hata kufikia kutwezwa utu wetu kwa mambo ambayo tunayaweza sisi wenyewe.
Kuna viwanda vingapi vya nguo Rwanda?..tuwapelekee pamba yote?
 
Frankly speaking Paul Kagame is the smartest president in Africa.

Huwa natamani sana hata sisi tungekuwa na kiongozi makini na mwenye talanta ya hali ya juu ya kiouongozi kama Kagame.

Lile tusi alilomwambia Kikwete kwamba yeye angekuwa na bandari tu hii ya dar es salaam basi angeendesha nchi bila kuomba omba misaada bado linaijia akilini kila nikuona.
Kuna viwanda vingapi vya nguo Rwanda?
 
Baada ya Kifo cha John Magufuli Africa ya mashariki kiongozi imara na mwenye maono aliyebaki ni Paul Kagame Rais wa Rwanda.

Akihojiwa na mwandishi wa habari Mario Nawfal hivi karibuni kagame amesikitishwa na kitendo cha Afrika mashariki kuendelea kuingiza nguo zilizotumika maarufu kama mitumba kutoka nchi za nje wakati nchi hizo zinalima pamba na kuuza Nje.

Anasema walikaa kikao kama viongozi wa Afrika mashariki na wakakubaliana kusitisha biashara ya kuagiza nguo chakavu kutoka nje na kuanzisha pamoja na kuendeleza viwanda vya nguo katika ukanda wa mashariki ya afrika. Anasema marekani ilipopata habari hizo walitoa taarifa kwa nchi za afrika mashariki ni marufuku kuzuia uagizaji wa nguo chakavu kutoka marekani. Viongozi wetu baada ya kuelezwa hayo walinywea na kukubaliana na masharti ya Marekani.

Viongozi wetu wakishindwa kufanya maamuzi magumu tutaendelea kutawaliwa na mataifa haya yenye nguvu hata kufikia kutwezwa utu wetu kwa mambo ambayo tunayaweza sisi wenyewe.
Watu wenyewe ukiwawekea nguo za nje na za kutengenezwa Afrika Mashariki watachagua zipi?
 
Huyo mshamba wako alikuwa na maono gani, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Yule alikuwa mshamba katili, Na huyo lofa skeleton maono yake ni kuua wakongomani na kuwaibia madini yao? We kwl ni bwege
Za uso bila kupepesa macho. Skeliton ni muuwaji tu
 
Sisi hata kuongeza Kodi hatuwezi licha ya kuwa bidhaa tunazoruhusu kuingia zinadhalilisha utu wetu watu wanavaa mpaka chupi , soksi na sidiria za mitumba.
Mbona mchina anaingiza nguo na zimejaa nchi nzima. Kuna mtu analazimishwa kununua za mtumba?. Pili jinsi og ya mzungu zingekua zinaingia watavaa wakubwa na watoto wao. Mkuu jinsi og inaanzia 180k masikini gani angenunua
 
Huyo mshamba wako alikuwa na maono gani, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Yule alikuwa mshamba katili, Na huyo lofa skeleton maono yake ni kuua wakongomani na kuwaibia madini yao? We kwl ni bwege
Makasiriko ya nini wewe kibaka ID yenyewe umejiunga Jumatatu unakuja kuleta mapovu hapa ? Unamfahamu Swaga Ng'ombe wa Ng'walugesha ya 1982 ?
 
Nadhani wao ndio walio kosea hawatakiwi kupiga marufuku. Walitakiwa kujikita kwenye uzalishaji wa nguo mpya zenye ubora unaoweza kushindana na nguo za mitumba. Waziuze kwa bei rahisi watu wataacha kununua hiyo mitumba watanunua nguo walizo zalisha wao.
Kupiga marufuku ni kupingana na sera za biashara na soko huria.
Ni kweli unachosema lkn huwezi kuwa na soko huria alafu competitor wako ni developed country, anakuzidi kila kitu; technology, capital, skills, utashindwa tu.
 
Baada ya Kifo cha John Magufuli Africa ya mashariki kiongozi imara na mwenye maono aliyebaki ni Paul Kagame Rais wa Rwanda.

Akihojiwa na mwandishi wa habari Mario Nawfal hivi karibuni kagame amesikitishwa na kitendo cha Afrika mashariki kuendelea kuingiza nguo zilizotumika maarufu kama mitumba kutoka nchi za nje wakati nchi hizo zinalima pamba na kuuza Nje.

Anasema walikaa kikao kama viongozi wa Afrika mashariki na wakakubaliana kusitisha biashara ya kuagiza nguo chakavu kutoka nje na kuanzisha pamoja na kuendeleza viwanda vya nguo katika ukanda wa mashariki ya afrika. Anasema marekani ilipopata habari hizo walitoa taarifa kwa nchi za afrika mashariki ni marufuku kuzuia uagizaji wa nguo chakavu kutoka marekani. Viongozi wetu baada ya kuelezwa hayo walinywea na kukubaliana na masharti ya Marekani.

Viongozi wetu wakishindwa kufanya maamuzi magumu tutaendelea kutawaliwa na mataifa haya yenye nguvu hata kufikia kutwezwa utu wetu kwa mambo ambayo tunayaweza sisi wenyewe.
Rwanda muda mrefu sana walisitisha kuagiza nguo chakavu (mitumba) na ni marufuku kuagiza hizo takataka.
 
Back
Top Bottom