Serikali walishabinafsisha hivyo viwanda, watu Binafsi ndio wanamiliki kama Vile Metl (MO Dewji), na uzalishaji ni mkubwa, Huu uzi wa Zamani ila una data wa Viwanda vya MO tu.
Mita milioni 120 za Fabric, na Revenue $100M kwenye viwanda vyake vya Textiles mwaka 2014
Mohammed Dewji, CEO MeTL Group. Mo Magic: A Week With Mohammed Dewji, Tanzanias Wealthiest ManBy Uzodinma Iweala Mohammed Dewji is the third generation of a family of successful Tanzanian entrepreneurs. Over the past decade, as CEO he has grown his familys business from a national trading...
www.jamiiforums.com
Na hizi data 21st century toka kwa Metl wenyewe
metl.net
Tanzania tuna zalisha tani 280,000 kwa mwaka za Pamba, 21st century cha Morogoro pekee kinatumia Tani 45,000 ambazo ni zaidi ya Asilimia 15 ya uzalishaji.
Bado kuna Kile cha Musoma, Kuna Cha Arusha wale wa mashuka, KUNA Nida hapa Dar etc
So tuna viwanda vingi mno vinavyotumia Pamba za ndani kuanzia Mabatiki, Shirt, Kanga, Vitenge, Mashuka, Mablanket etc ni made in Tanzania.