Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

Paul Kagame: Nashangaa Afrika mashariki tunalima pamba na kuuza Nje ila tunaagiza nguo za mitumba kutoka nje

Huyo mshamba wako alikuwa na maono gani, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Yule alikuwa mshamba katili, Na huyo lofa skeleton maono yake ni kuua wakongomani na kuwaibia madini yao? We kwl ni bwege
Punguza kisirani!!
 
Huyo mshamba wako alikuwa na maono gani, kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa Chato? Yule alikuwa mshamba katili, Na huyo lofa skeleton maono yake ni kuua wakongomani na kuwaibia madini yao? We kwl ni bwege
Umekula lakini?
 
Baada ya Kifo cha John Magufuli Africa ya mashariki kiongozi imara na mwenye maono aliyebaki ni Paul Kagame Rais wa Rwanda.

Akihojiwa na mwandishi wa habari Mario Nawfal hivi karibuni kagame amesikitishwa na kitendo cha Afrika mashariki kuendelea kuingiza nguo zilizotumika maarufu kama mitumba kutoka nchi za nje wakati nchi hizo zinalima pamba na kuuza Nje.

Anasema walikaa kikao kama viongozi wa Afrika mashariki na wakakubaliana kusitisha biashara ya kuagiza nguo chakavu kutoka nje na kuanzisha pamoja na kuendeleza viwanda vya nguo katika ukanda wa mashariki ya afrika. Anasema marekani ilipopata habari hizo walitoa taarifa kwa nchi za afrika mashariki ni marufuku kuzuia uagizaji wa nguo chakavu kutoka marekani. Viongozi wetu baada ya kuelezwa hayo walinywea na kukubaliana na masharti ya Marekani.

Viongozi wetu wakishindwa kufanya maamuzi magumu tutaendelea kutawaliwa na mataifa haya yenye nguvu hata kufikia kutwezwa utu wetu kwa mambo ambayo tunayaweza sisi wenyewe.
Pamba tuna viwanda kibao vinatengeneza Bidhaa humu humu, yeye ana viwanda vingapi?

Tanzania tunatumia Pamba yetu kwa kiasi kikubwa humu humu Ndani kuanzia Kanga, Vitenge, Uniform za Jeshi, Mashuka mbalimbali kuanzia ya shule hadi yanayotumika majumbani, mablanket etc.

Bidhaa za Cotton si za bei rahisi, ni ghali, either utumie Nyuzi chache kama vile Kanga ama ukubali kuuziwa bei kubwa.

Mfano kwenye Mashuka ya Cotton ya kulalia anatengeneza Hapa Tanzania na kiwanda kama Nida ila still bei sio competitive, Shuka la ndani la cotton 35,000 wakati Mchina ukubwa huo huo kwa material ya Polyester anauza 16,000.

So tatizo letu sio mtumba bali bidhaa za bei rahisi za Polyester ambazo watu wengi wanakimbilia.
 
Najaribu kufikiria, kama Marekani alipiga mkwara wa kuendelea kuingiza mitu.ba kwa nchi za Africa mashariki. Je ni kweli hakuna mbinu nyingine ya kufanya kukwepa hiki kikwazo. Mfano serikari za Africa mashariki wakiamua kuwapa watu binafsi mitaji na kuanzisha viwanda vya nguo, je still marekani atakuwa na nguvu ya kuzuia hizo projects the private sector ambao watakuwa ni wana Africa mashariki?
Sisi tuna mtengenezea Marekani Nguo, Levis na brand nyengine kama Wrangler za Marekani zinatengenezwa Tanzania hapo Ubungo, tatizo si Viwanda bali bei, Cotton ni Gharama, Upo Tayari kununua jeans Laki? Ama utatafuta mtumba ama low Quality mchina?


View: https://youtu.be/JBfRl5UCyRs?si=maIhk7Lco19qqls9

Video ikionesha kiwanda cha Levis.
 
Pamba tuna viwanda kibao vinatengeneza Bidhaa humu humu, yeye ana viwanda vingapi?

Tanzania tunatumia Pamba yetu kwa kiasi kikubwa humu humu Ndani kuanzia Kanga, Vitenge, Uniform za Jeshi, Mashuka mbalimbali kuanzia ya shule hadi yanayotumika majumbani, mablanket etc.

Bidhaa za Cotton si za bei rahisi, ni ghali, either utumie Nyuzi chache kama vile Kanga ama ukubali kuuziwa bei kubwa.

Mfano kwenye Mashuka ya Cotton ya kulalia anatengeneza Hapa Tanzania na kiwanda kama Nida ila still bei sio competitive, Shuka la ndani la cotton 35,000 wakati Mchina ukubwa huo huo kwa material ya Polyester anauza 16,000.

So tatizo letu sio mtumba bali bidhaa za bei rahisi za Polyester ambazo watu wengi wanakimbilia.
Serikali yetu haijaweka kipaumbele tu kwenye viwanda vya nguo.
 
Serikali yetu haijaweka kipaumbele tu kwenye viwanda vya nguo.
Serikali walishabinafsisha hivyo viwanda, watu Binafsi ndio wanamiliki kama Vile Metl (MO Dewji), na uzalishaji ni mkubwa, Huu uzi wa Zamani ila una data wa Viwanda vya MO tu.

Mita milioni 120 za Fabric, na Revenue $100M kwenye viwanda vyake vya Textiles mwaka 2014

Na hizi data 21st century toka kwa Metl wenyewe


Tanzania tuna zalisha tani 280,000 kwa mwaka za Pamba, 21st century cha Morogoro pekee kinatumia Tani 45,000 ambazo ni zaidi ya Asilimia 15 ya uzalishaji.

Bado kuna Kile cha Musoma, Kuna Cha Arusha wale wa mashuka, KUNA Nida hapa Dar etc

So tuna viwanda vingi mno vinavyotumia Pamba za ndani kuanzia Mabatiki, Shirt, Kanga, Vitenge, Mashuka, Mablanket etc ni made in Tanzania.
 
Serikali walishabinafsisha hivyo viwanda, watu Binafsi ndio wanamiliki kama Vile Metl (MO Dewji), na uzalishaji ni mkubwa, Huu uzi wa Zamani ila una data wa Viwanda vya MO tu.

Mita milioni 120 za Fabric, na Revenue $100M kwenye viwanda vyake vya Textiles mwaka 2014

Na hizi data 21st century toka kwa Metl wenyewe


Tanzania tuna zalisha tani 280,000 kwa mwaka za Pamba, 21st century cha Morogoro pekee kinatumia Tani 45,000 ambazo ni zaidi ya Asilimia 15 ya uzalishaji.

Bado kuna Kile cha Musoma, Kuna Cha Arusha wale wa mashuka, KUNA Nida hapa Dar etc

So tuna viwanda vingi mno vinavyotumia Pamba za ndani kuanzia Mabatiki, Shirt, Kanga, Vitenge, Mashuka, Mablanket etc ni made in Tanzania.
Shuka la pamba kufua utata
 
Shuka la pamba kufua utata
Siku hizi yapo wanatengeneza Background ya Cream na maua mengine mpaka bachelor anatumia
Screenshot_20250315_172650_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom