Tetesi: Paul Kagame nyuma ya DP world

Tetesi: Paul Kagame nyuma ya DP world

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Wajumbe,

Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.

Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".

Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
 
Kagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
 
Hapa ni kama panya kazaa paka kisha panya akamla mama yake! Na kumfanya paka kubaki mkiwa sasa kila ajitahidi kuwa karibu na ndugu zake wa kuzaliwa waliozaliwa na mama yake au akitaka kwenda kwa mama yake mdogo wao wanamkimbia!

Tabu inakuja anapowakumbatia wao hawamwelewi mwisho wa siku anaamua kuwaweka moyoni kupitia mdomo!

Sasa kama ilivyo ngumu kwa panya waliobaki kumwelewa paka ndivyo ilivyongumu kwa jakaya kikwete kuaminika kwa uaminifu uleule katika hili. Vinginevyo tutasema kwa sababu hakuwemo kwenye mgao au wanatuzuga.

Ili aonyesha ujasiri asimame na aseme kuwa huu mkataba tumepigwa!
 
Hivi kwanini Kila failure zetu lazima tusingizie "mabeberu"?. Yaani mkataba tusign wenyewe alafu alaumiwe kagame? Let's be serious.
Asante chief kwa kuweka hii sawa.

Mimi sioni kama hapa kuna haja ya kulaumu huyo PK.

Basi tumekuwa Taifa duni kiasi hicho!! Tanzania inapelekeshwa hivo!!

Yani vyombo vyetu kumbe ni dhaifu sana mbele ya Dola za Rw..!

Maskini nchi yangu!!
 
Naona kama kuna connection kwenye hili jambo kati ya ziara ya Kagame kukutana na Samia, na Kikwete akipinga kama mtu aliyekuwa hapatani na Kagame toka enzi za mauaji ya Prof. Mvungi.

Inawezekana Samia alitongozwa na waarabu, pia akatongozwa na Kagame, na wote akawakubalia, huyu mwanamke hii tabia yake inamuonesha ni mtu asiyejitambua kabisa, wala hana msimamo, kuwakubalia wanaume wawili kwa wakati mmoja..
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji817]
Naona kama kuna connection kwenye hili jambo kati ya ziara ya Kagame kukutana na Samia, na Kikwete akipinga kama mtu aliyekuwa hapatani na Kagame toka enzi za mauaji ya Prof. Mvungi.

Inawezekana Samia alitongozwa na warabu, pia akatongozwa na Kagame, na wote akawakubalia, huyu mwanamke hii tabia yake inamuonesha ni mtu asiyejitambua kabisa, wala hana msimamo, kuwakubalia wanaume wawili kwa wakati mmoja..
 
Na pia R. A yupo humu, ndio maana aliwashauri kesi zipelekwe walipopahitaji wao na kudharau kisutu..
 
Wajumbe,

Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU...
Kwa hili Niko nyuma ya JK atusaidie hili kwanza mengine tutamalizana mbele ya safari
 
Wazungu Wana msemo wao kwamba "kaya ya kisimbe ni ya kishimbe"... kiswahili tunasema 'singo maza' wengi miyeyuyusho.
Wala hakuna uhusiano wa uzazi na uchapa kazi mbona tuliambiwa Mkapa hakuwa na "mtoto" ila mbona alikua serious kwenye uongozi?!

Kuingiza jinsia sijui uzazi kwenye uongozi havina uhusiano kabisa.
 
Na pia R. A yupo humu, ndio maana aliwashauri kesi zipelekwe walipopahitaji wao na kudharau kisutu..
Dunia nzima hakuna kesi itasikilizwa nchini mwako si obvious utapendelea? Na hata JPM alisema kesi za usuluhishi zisikilizwe humu ila baada ya mwezi tu akafuta kile kifungu.
 
Back
Top Bottom