Tetesi: Paul Kagame nyuma ya DP world

Tetesi: Paul Kagame nyuma ya DP world

Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
yeye mvaa miwani na wenzie wamefurahia huu mkataba?
 
Ile ziara yake ilihusu nini! Alikuja kusalima tu!!? Tulikua tunasubiri nini kina jiri baada ya ujio wake hivyo tulikua tumesha jiandaa ki psychology kitaaambo
Aah kwahiyo kwakuwa alikuja basi ni lazima tusign au kutosign? Kwamba nchi imeshikwa akili na nchi isiyo na bandari kufanya maamuzi?

Acheni utani basi
 
Wajumbe,

Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.

Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".

Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Ramli chonganishi😆
 
Wajumbe,

Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.

Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".

Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.[emoji848][emoji3064][emoji3064]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aah kwahiyo kwakuwa alikuja basi ni lazima tusign au kutosign? Kwamba nchi imeshikwa akili na nchi isiyo na bandari kufanya maamuzi?

Acheni utani basi
Yule ndugu ana athari kubwa sana kwenye hili, maana yeye kesha tutangulia na hao dpw, sasa bandari yake kubwa itafanya vipi kazi kwa kupokea mizigo hafifu!!? Na ni karibia mara zote ndugu yetu huyo anapo tutembelea lazima kuna mabadiliko flani hua yanatokea baada ya muda!

Alipima upepo kwa jk wakapishana lugha akaja mlaghai mwendazake na kumpa formation ya security anayo dhani ni imara ( ambayo watu wamepita nayo hivyo hivyo ) bila kujua ndio alikua kakumbatia nyuki ila pia walikuja tofautiana pia, this tym were doomed

Huyo kila anapogusa lazima patibuke, wanaomjua hawacheck nae na wala hawataki hata urafiki nae
 
Asante chief kwa kuweka hii sawa.

Mimi sioni kama hapa kuna haja ya kulaumu huyo PK.

Basi tumekuwa Taifa duni kiasi hicho!! Tanzania inapelekeshwa hivo!!

Yani vyombo vyetu kumbe ni dhaifu sana mbele ya Dola za Rw..!

Maskini nchi yangu!!
Navihurumia sana vyombo vyetu vya ULINZI NA USALAMA kwa maana vinapitia wakati mgumu sana. Ni fedheha kubwa sana kwa haya yanayoendelea.
 
Kagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
Sawa tukubali hali ya udhaifu wake unatokana na jinsi yake. Je, wanaomzunguka nao ni wanawake ama wanafikira za kike?
Jibu ni hapana bali kuna harufu ya mlungula mkubwa kwa wote wanaohusika kwa namna moja ama nyingine na ni wanufaika wakubwa wa upigaji huu wa karne na wakati wote tangu kuundwa kwa nchi hii.
 
Kagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
Sawa tukubali hali ya udhaifu wake unatokana na jinsi yake. Je, wanaomzunguka nao ni wanawake ama wanafikira za kike?
Jibu ni hapana bali kuna harufu ya mlungula mkubwa kwa wote wanaohusika kwa namna moja ama nyingine na ni wanufaika wakubwa wa upigaji huu wa karne na wakati wote tangu kuundwa kwa nchi hii.
 
Naona kama kuna connection kwenye hili jambo kati ya ziara ya Kagame kukutana na Samia, na Kikwete akipinga kama mtu aliyekuwa hapatani na Kagame toka enzi za mauaji ya Prof. Mvungi.

Inawezekana Samia alitongozwa na waarabu, pia akatongozwa na Kagame, na wote akawakubalia, huyu mwanamke hii tabia yake inamuonesha ni mtu asiyejitambua kabisa, wala hana msimamo, kuwakubalia wanaume wawili kwa wakati mmoja..
Punguza ukali wa maneno ndugu.
 
Wajumbe,

Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.

Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".

Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Mmh!
 
Back
Top Bottom