zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Anahusikaje Sasa? Kwani ametushikia bunduki tusign? Tuache kutafuta mchawi kwa matatizo tuliosababisha wenyewe.Wewe unamuamini kagame? Kama kuna uhusika wake kwa nini watu wasiseme?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anahusikaje Sasa? Kwani ametushikia bunduki tusign? Tuache kutafuta mchawi kwa matatizo tuliosababisha wenyewe.Wewe unamuamini kagame? Kama kuna uhusika wake kwa nini watu wasiseme?
Hahahaha overrating the enemy. Though ni better kuliko ku undermine opponent wako alafu "akushangaze"Halafu huyu Kagame, Watanzania humpaisha sana kwa kumsifia kuliko hata wanyarwanda wenyewe anaowaongoza.
mtu chake
yeye mvaa miwani na wenzie wamefurahia huu mkataba?Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Aah kwahiyo kwakuwa alikuja basi ni lazima tusign au kutosign? Kwamba nchi imeshikwa akili na nchi isiyo na bandari kufanya maamuzi?Ile ziara yake ilihusu nini! Alikuja kusalima tu!!? Tulikua tunasubiri nini kina jiri baada ya ujio wake hivyo tulikua tumesha jiandaa ki psychology kitaaambo
Ramli chonganishi😆Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Mwache apumzike, ni Juzi tu kapoteza mtu muhimu.JK vs Kagame ila mzee wa msoga katulia Tuli anakuja kufunga goli dakika za lala salama
Mtu gani muhimu kuliko Bandari?Mwache apumzike, ni Juzi tu kapoteza mtu muhimu.
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.[emoji848][emoji3064][emoji3064]Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Yule ndugu ana athari kubwa sana kwenye hili, maana yeye kesha tutangulia na hao dpw, sasa bandari yake kubwa itafanya vipi kazi kwa kupokea mizigo hafifu!!? Na ni karibia mara zote ndugu yetu huyo anapo tutembelea lazima kuna mabadiliko flani hua yanatokea baada ya muda!Aah kwahiyo kwakuwa alikuja basi ni lazima tusign au kutosign? Kwamba nchi imeshikwa akili na nchi isiyo na bandari kufanya maamuzi?
Acheni utani basi
Ndicho kilicho baki! PK ni wa kumfagia tu, ila sijui kwa mbinu gani maana ana complex formationJK vs Kagame ila mzee wa msoga katulia Tuli anakuja kufunga goli dakika za lala salama
Unataka aongee Ili iweje,Mtu gani muhimu kuliko Bandari?
Navihurumia sana vyombo vyetu vya ULINZI NA USALAMA kwa maana vinapitia wakati mgumu sana. Ni fedheha kubwa sana kwa haya yanayoendelea.Asante chief kwa kuweka hii sawa.
Mimi sioni kama hapa kuna haja ya kulaumu huyo PK.
Basi tumekuwa Taifa duni kiasi hicho!! Tanzania inapelekeshwa hivo!!
Yani vyombo vyetu kumbe ni dhaifu sana mbele ya Dola za Rw..!
Maskini nchi yangu!!
Sawa tukubali hali ya udhaifu wake unatokana na jinsi yake. Je, wanaomzunguka nao ni wanawake ama wanafikira za kike?Kagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
Sawa tukubali hali ya udhaifu wake unatokana na jinsi yake. Je, wanaomzunguka nao ni wanawake ama wanafikira za kike?Kagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
Nyie si wababaikaji wa kila mtuHalafu huyu Kagame, Watanzania humpaisha sana kwa kumsifia kuliko hata wanyarwanda wenyewe anaowaongoza.
mtu chake
Kifupi PK kawazidi ujanja?Si mtoa mada kwamba kwa kuwa Kagame sijui ana hisa Dp World and blah blah Sasa najiuliza inahusikaje na sisi kusign wenyewe mkataba?
Punguza ukali wa maneno ndugu.Naona kama kuna connection kwenye hili jambo kati ya ziara ya Kagame kukutana na Samia, na Kikwete akipinga kama mtu aliyekuwa hapatani na Kagame toka enzi za mauaji ya Prof. Mvungi.
Inawezekana Samia alitongozwa na waarabu, pia akatongozwa na Kagame, na wote akawakubalia, huyu mwanamke hii tabia yake inamuonesha ni mtu asiyejitambua kabisa, wala hana msimamo, kuwakubalia wanaume wawili kwa wakati mmoja..
Mmh!Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.