Ni sawa na mlevi anayetupia lawama zote pombe! Ukifanya ujinga dawa ni kujuta na kujirekebisha.Hivi kwanini Kila failure zetu lazima tusingizie "mabeberu"?. Yaani mkataba tusign wenyewe alafu alaumiwe kagame? Let's be serious.
Dadako hatufai, hana maana kabisa, anakalia kiti kikuu akiwa hana msimamo, akiona sura ya mwanaume tu analegea kabisa..Unaonesha u hodari sana kwenye mambo ya kutongozana ni kuwadi nini?
Kikwete na Samia wote kimya.Kama Kikwete anapinga aseme hadharani
Kagame ni mdau wa biashara mwenye dry port kimkakati kule Kigali mwaka 2015 na Hayati JPM alikwenda kule siku hizo hizo kuchangamkia biashara ambayo ni hii ya DPW.Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Punguza hasira and by the way huunifahamu,jikite kwenye hoja!!Akili ya kijinga ndio hii. Huyo mwanamke anafanya kazi kazungukwa na wanaume tena wenye shule za maana kuliko hiyo ya kwako.
Mheshimu Rais wa nchi jinsia yake ni siri ya nyumbani kwake anapokuwa na mumewe.Punguza hasira and by the way huunifahamu,jikite kwenye hoja!!
Pia nikukumbushe kitu kimojo kusoma sana sio kuwa na akili ..kusoma ni fani kama fani zingine mfano kuchora n.k..ondoa hiyo ukurutu iliyopo kwenye akili yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tutaskia mengi sana kipindi hiki. Hata mimi nimeskia mama ni mtusi tena ni binamu yake Kagame kabisaaa
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Story za vijiweni hizi,Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dadako hatufai, hana maana kabisa, anakalia kiti kikuu akiwa hana msimamo, akiona sura ya mwanaume tu analegea kabisa..
Mi niliwahi andika sehem,urafiki wa huyu na yule hauwezi furahisha genge pa yule mstaaf na yeye mwenyewe !!sasa kinachofuata ni nini!?Wajumbe,
Hili dude la mkataba wa DP World na Serikali ya Tanzania ina makando-kando mengi. Katika kufukunyua nimekutana na wavaa miwani mieusi tena ni PSU.
Huyu Bwana amenidokeza kwamba katika uwekezaji huu Rwanda ya Paul Kagame anayo hisa 17% katika kampuni ya DP World na ndiye amekuwa na ushawishi mkubwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Katika ziara ya Kagame siku za karibuni ilikuwa ni kukamilisha dili lenyewe. Ikumbukwe Kagame amekuwa na hamu ya kumiliki Bandari ya Dar es salaam kwa miaka mingi akiamini kwamba "tumeshindwa kutumia Bandari ya Dar es salaam kutuletea faida".
Hata hivyo, mtoa habari huyo amedai hatua hiyo haijamfurahisha Jakaya Kikwete na ndiye yuko nyuma ya wapinzani wa mkataba huu wa kifedhuli.
Siku hizi jinsia ni siri??Mheshimu Rais wa nchi jinsia yake ni siri ya nyumbani kwake anapokuwa na mumewe.
Huyo huyo dada na hao wazungu !humo humo yaani UNAWEZA kia mkataba ndani ya mkataba,kwa nje unamuonea mzungu au dada lakini kwa ndani unamuona mwingine ka chill!!!Story za vijiweni hizi,
Kwenye website ya Dpworld,executive directors wote ni Arabs,na wazungu,mwafrika,ni dada mmoja kutoka South afrika,
Sasa hata kama kagame Ana hisa 17,anashawishi vp DP World,kuzidi share holders wengine?
Shule za maana zipi?Akili ya kijinga ndio hii. Huyo mwanamke anafanya kazi kazungukwa na wanaume tena wenye shule za maana kuliko hiyo ya kwako.
Akili ya kijinga ndio hii. Huyo mwanamke anafanya kazi kazungukwa na wanaume tena wenye shule za maana kuliko hiyo ya kwako.
NotedKagame alipo muendesha mtu na gari pekee yake mlitegrmea nini,nawasihi watumishi wa Mungu mumuombea huyu mama inawezekana sio akili yake maskini....mwanamke ni mdhaifu mbele ya wanaume hiyo ni nature,wamemshawishi kwa mazingira na kwa hoja za kilaghai.
Matatizo ndio haya yanafafanuliwa hadharani. Wakati mwingine tatizo linaweza kuwa ni uelewa wetu tunadhani ni la wote.Shule za maana zipi?
Mikataba yote mbona ina matatizo na wameingia hao hao na shule zao za "Ivy League Schools"!!??
Kwa katiba iliyopo mwenyekiti akiwa top ya kila kitu,akirubuniwa TAIFA zima linarubuniwa HATA kama akishauriwa atashupaza shingo coz anakua nguvu aliyonayo!!Asante chief kwa kuweka hii sawa.
Mimi sioni kama hapa kuna haja ya kulaumu huyo PK.
Basi tumekuwa Taifa duni kiasi hicho!! Tanzania inapelekeshwa hivo!!
Yani vyombo vyetu kumbe ni dhaifu sana mbele ya Dola za Rw..!
Maskini nchi yangu!!