ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Tunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisaIf the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds” - President Paul Kagame
My Take
Mdomo Kila mtu anao,swali Je yeye amefanya kipi Cha maana hapo Rwanda?
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1751687168903246141?t=NxJF88fOVWuRygoaV1uIoQ&s=19
Haina rasimali zozote na ni nchi masikiniJapo simkubaligi huyu jamaa ila hapa kaongea ukweli kabisa.
Kuhusu anaifanyia nini Rwanda ,Rwanda haina rasimali zozote.
Atulie mtu mwenye anatawala kamnchi kama wilaya moja tu hapa bongo na anatumia kila njia kulazimisha aonekane kichwa... ila siku sio nyingi ataaibika huyu.If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds” - President Paul Kagame
My Take
Mdomo Kila mtu anao,swali Je yeye amefanya kipi Cha maana hapo Rwanda?
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1751687168903246141?t=NxJF88fOVWuRygoaV1uIoQ&s=19
Yeye ana akili au ni mbwa kama wewe tuu?Kaongea maneno yanayo wachoma🤡
Hamna akili mbwa nyie matahira na mazezeta watupu.
Kuna Nchi Haina Rasilimali hapa Africa? Rasilimali kwako ni nini?Japo simkubaligi huyu jamaa ila hapa kaongea ukweli kabisa.
Kuhusu anaifanyia nini Rwanda ,Rwanda haina rasimali zozote.
Mmejaa malaya hukoYeye ana akili au ni mbwa kama wewe tuu?
Anajichotea mali toka DRC nchi iliyolaaniwa.Haina rasimali zozote na ni nchi masikini
Huko kwenye mbona mko makahaba hamsemi?Mmejaa malaya huko
Makahaba kama wewe wamejaa kila sehemu hapa TzHuko kwenye mbona mko makahaba hamsemi?
Nitajie rasilimali alizo nazo Rwanda.Kuna Nchi Haina Rasilimali hapa Africa? Rasilimali kwako ni nini?
Amefanya kipi Cha maana wakati Nchi yake ni LDC?Kagame ni dictator mwenye akili tofauti na yule mwehu mpenda sifa hayawani aliyewahadaa wananchi wake mpaka wakamwita mungu wao.
halafu President kagame saa zingine ana utani wa kujisema yeye mwenyewe bila kujijua, halafu huyu jamaa ni muoga anaogopa hadi wanawake 🤣If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds” - President Paul Kagame
My Take
Mdomo Kila mtu anao,swali Je yeye amefanya kipi Cha maana hapo Rwanda wakati Nchi yake ni LDC?
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1751687168903246141?t=NxJF88fOVWuRygoaV1uIoQ&s=19
Zimbabwe na Kenya wameenda Italy kuomba 😆😆
View: https://twitter.com/ali_naka/status/1751742802591981687?t=nyIy2JtjceUcDTKN3AKIKw&s=19