Rwanda Wana Rais, usijilinganishe nao.Atulie mtu mwenye anatawala kamnchi kama wilaya moja tu hapa bongo na anatumia kila njia kulazimisha aonekane kichwa... ila siku sio nyingi ataaibika huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rwanda Wana Rais, usijilinganishe nao.Atulie mtu mwenye anatawala kamnchi kama wilaya moja tu hapa bongo na anatumia kila njia kulazimisha aonekane kichwa... ila siku sio nyingi ataaibika huyu.
Tunafanya vizuri kuliko huyo mwenye mdomo anatafuta kichaka Cha kufichia ujinga wake na nyie wajinga wengine mnampamba Kwa vigelegele.Mjinga ni wewe unayetaka watu waamini kuwa tunafanya vizuri wakati mijamaa inanunua mahekalu Uarabuni.
Halafu kwa nini nyie maCCM hii statement imewagusa na kuwauma.... Jiwe limerushwa gizani😁😁😁😁
Hizi ni fikra zilizoathirika na ufisadi wa kudumu.Atulie mtu mwenye anatawala kamnchi kama wilaya moja tu hapa bongo na anatumia kila njia kulazimisha aonekane kichwa... ila siku sio nyingi ataaibika huyu.
Hata ardhi na watu Haina au unauelewa gani kuhusu rasilimali?Haina rasimali zozote na ni nchi masikini
Punguza hasira! Je anachosema kinaukweli ama la! tuanzie hapo kwanza.Tunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
Tanzania sio Congo dr kachezeeni mlikozoea.Subiri mda ufike mtalia kilio cha mbwa mwizi
Tunafanya vizuri kuliko huyo mwenye mdomo anatafuta kichaka Cha kufichia ujinga wake na nyie wajinga wengine mnampamba Kwa vigelegele.
Ulitaka tunye jikoni kwako?Mjinga ni wewe unaeona tunafanya vizuri wakati unakunya kwenye vyoo vya matundu .... Nchi kila mwaka kipindupindu. Pumb34vu kabisa.
Na hilo makalitazame pia!Tunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
Chuk ganiTunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
Simpendi kagame lakini kwa maneno haya namkubaliTunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa