Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Kama ana akili sasa udikteta wa nini?Kagame ni dictator mwenye akili tofauti na yule mwehu mpenda sifa hayawani aliyewahadaa wananchi wake mpaka wakamwita mungu wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana akili sasa udikteta wa nini?Kagame ni dictator mwenye akili tofauti na yule mwehu mpenda sifa hayawani aliyewahadaa wananchi wake mpaka wakamwita mungu wao.
Akili anazo na ndio maana ameweza kuliona hilo tatizo na kuthubutu kulisema, na sio yeye tu mkuu watu wengi wa nchi zengine huwa wanatushangaa sana watanzania.Yeye ana akili au ni mbwa kama wewe tuu?
Rasilimali watuNitajie rasilimali alizo nazo Rwanda.
Chanzo Cha Matatizo CCMKwani tunaposema chanzo namba moja cha umasikini wa nchi hii ni CCM mpaka sasa bado hujaelewa mkuu?
Huu ni ukweli wala hauniumi ila jambo linaloniuma ni kuwa huyu mtu anayomambo yetu mengi sana ambayo hatujui lini atayatumia kutudhuru. Kauli yake inamaanisha anajua kila kitu chetu hata jinsi tunavyotembeza bakuli huko nje. PK ana watu,tena wako ndani kabisa ya mifumo yetu.Sioni kama ni chuki, naona ni ukweli tu umekuuma. Hii nchi rasilimali tulizonazo ni nyingi mno- madini kila aina, vivutio vya utalii, ardhi nzuri, misitu, hali ya hewa nzuri, bandari kwny maziwa na bahati, etc. Vyote hivyo vinafisadiwa na wanaccm yangu tupate uhuru mpaka Leo.
Huyu anajua hadi mikataba ya kimangungo tunayoingia ambayo inahamisha rasilimali zetu bila sisi kunufaika ndiyo maana anatucheka ujingaKaongea Kweli tupu,
Ingawa amesahau kuwa Natural resources zilizo ardhini haziliwi kama chakula, yanahitajika Maarifa, pesa nk nk kugeuza natural resources kuwa pesa na utajiri unaoshikika.
Mfano mdogo tu, Rwanda, ilihitaji kushirikiana na mabepari wenye pesa na silaha na utaalamu, kuiba Mali za congo Ili kuwa hapo waliopo.
If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds” - President Paul Kagame
My Take
Mdomo Kila mtu anao,swali Je yeye amefanya kipi Cha maana hapo Rwanda wakati Nchi yake ni LDC?
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1751687168903246141?t=NxJF88fOVWuRygoaV1uIoQ&s=19
Zimbabwe na Kenya wameenda Italy kuomba 😆😆
View: https://twitter.com/ali_naka/status/1751742802591981687?t=nyIy2JtjceUcDTKN3AKIKw&s=19
Watu na ardhi.Nitajie rasilimali alizo nazo Rwanda.
Kwa akili hizi ngoja Kagame awatukane tuTunaposema huyu mtu anachuki na nchi yetu muwe mnaelewa na ana mapandikizi yake kibao kwenye mifumo yetu. Ni wakati Rais aifanyie kazi kikamilifu taarifa aliyopewa na CDF . Hilo dongo ni letu kabisa
Kashindwa kuweka lami nchi nzima yenye ukubwa wa nusu ya mkoa wa tabora!?Japo simkubaligi huyu jamaa ila hapa kaongea ukweli kabisa.
Kuhusu anaifanyia nini Rwanda ,Rwanda haina rasimali zozote.
Matonya amekalia Stuli ya Dhahabu imeniacha hoi 😆😆😆🤣Ukweli unauma wewe
Rasilimali watuNitajie rasilimali alizo nazo Rwanda.
Mabasha zake si wanatumia vibaraka akiwemo yeye kuvuruga Congo!!?Kaongea ukweli.
Jwtz wametua goma,asubiri muzikiMatonya amekalia Stuli ya Dhahabu imeniacha hoi 😆😆😆🤣
Kuna maendeleo Rwanda!?Kagame ana akili kwa kidogo Alichonacho ameonyesha nini maana ya kuwezekana kuleta maendeleo afrika .
Kwa hiyo wameenda na Magitaa?Jwtz wametua goma,asubiri muziki
Eeh,aina ya AK 47Kwa hiyo wameenda na Magitaa?