Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nimeshaelewa sasa.Timu ni ya Mnyeti 'kwa sasa' kwa sababu maalumu, ngoja niishie hapa.
RC MAKONDA ACHUKUWA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 15 amechukuwa Fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM.
View attachment 1507556
Ndiyo,mwingine Nani,jasakamwi watu wanasema ukweliMbona mnamsakama sana huyu jamaa? Kwani ndie mkuu wa mkoa pekee aliyekazini kuchukua fomu?
Hajaandika, bila shaka yeye ni special case.
yani mpaka muda huu haujamjua Mkuu wa mkoa mwingine aliyechukua fomu? Ina maana hta michango ya wenzako humu hausomi? Haya soma kuanzia post number moja lazima utamjua huyo mwingineNdiyo,mwingine Nani,jasakamwi watu wanasema ukweli
Tunasubiri wawe wengi tukiwatumbua tusisumbuke kuandika barua moja moja itamaliza wino wa wananchi
usishangae dogo . . ndiyo nchi yetu ilivyoBila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Njoo PMMnyeti ni msukuma na ni mtoto wa ndugu yake Janeth Magufuli. Kwao ni Misungwi. Na kama ulikuwa hujui ile team ya mpira inayoitwa Gwambina ni ya Mnyeti.
Kazi gani anaweza?!Ila Makonda anaweza kazi wakuu...tuseme ukweli...labda makandokando mengine
Apana atepelekwa pahali ambapo kazi yake ya ukuwadi itanogeaHamna bhana, waziri wa mambo ya ndani huyo
Hatuwezi kuwa na Pm alie iba vyetiWaziri Mkuu ajaye [emoji16]
Hii ndio bongo mkuu.😛Eeeehh, Mh. Rais si alisema wazi wazi kwa kurudia, ikiwa unataka kugombea ubunge kama ww ni RC, DC, DED, DAS au mtumishi wa umma, unaomba ruhusa, unaachia hivyo vyeo na anachagua mtu mwingine haraka, tena alisisitiza sana, ngoja tuone, duuh.. Polepole pia kasema hivyo sana, uRC ndio basi tena au? duh