Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Labda WasojulikanaHao MABONGE kwenye picha na Bashite ni akina nani Mkuu? Tujadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda WasojulikanaHao MABONGE kwenye picha na Bashite ni akina nani Mkuu? Tujadili.
Labda tusiwe na haraka ndo anatafutwa kureplace lakini lazimamchakato ufanyike vizuri tumpate mwingine mchapakazi.tusubiriTunamsubiri Rais wetu mpendwa asiyekuwa na upendeleo kuteua mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam na kumwapisha chap chap.
Pengine ndiyo au muda badoKwa hio kwa Makonda hajaona umuhimu wa kutengua sio?
Mnyeti ni mjukuu wa baba mkwe wa Magufuli.Makonda na Mnyeti hawa ni special case
Nilikua nawaambia hapa Mnyeti ni mtoto mpendwa wa baba na wa ndani zaidi kuliko hata Makonda.Mnyeti ni mjukuu wa baba mkwe wa Magufuli.
Huyu inawezakana fomu ya ubunge ikachanwa aendele na ukuu wa mkoaDah hapa ndo jiwe hua anajichanganya. Mbona wengine wote walilazimika kujiuzulu nyadhifa nyingine ili wagombee ubunge huyu imekuaje? Naanza kushawishika kuna jambo la ziada nyuma ya uswahiba wa hawa watu wawili
Hamna bhana, waziri wa mambo ya ndani huyoWaziri Mkuu ajaye 😁
Ila nadhani hana jinsi. Lazima awareplace. Asipofanya hivyo atakuwa siyo mtu wa misimamo kwa baadhi ya watu.Nilikua nawaambia hapa Mnyeti ni mtoto mpendwa wa baba na wa ndani zaidi kuliko hata Makonda.
Kwani Mnyeti ni Msukuma .............!!?Kwahiyo wasukuma wana exception sio?? Katambi, Makonda, Mnyeti
Nilishawaambia kuwa kuna kitu kati ya jiwe na huyu hamnisikii. Magu is a total skimmer!! for sure ukimkamata makonda utampata magufuli. Huu utajiri wa ghafla wa makonda ni wa Magufuli am sure! wait-----Bila kujiuzulu Ukuu wa Mkoa?
Kwa hiyo ni Mkuu wa Mkoa pekee nchi nzima aliechukua fomu akiwa na madaraka yake yote ya Ukuu wa mkoa.
Mnaweza kuhisi amekuja kwenye kampeni kumbe yupo kwenye ziara ya kikazi, halafu mkaonyesa vidole vyenu vya Peopleeeeesss.
Na atapiga kampeni huku akiwa na Cheo Chake Cha Ukuu wa Mkoa kama Kawaida.
Halafu Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi yupo chini ya Mkuu wa Mkoa.
Kuna hatari Makonda akawa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Waziri kwa wati mmoja.
Chalamila, Ole Sabaya mnajisikiaje huko mliko.??
Naona ya Ramadhan Kihiyo yakijurudiDaudi Bashite Niko tiyari kufa ila ubunge atumpi kilaza mpaka atuonyeshe vyeti
Napigia mstari.Ila Makonda anaweza kazi wakuu...tuseme ukweli...labda makandokando mengine
wa misungwi na anataka kumpiga kitwanga anahonga wazi wazi. Kuna simu 500 za mnyeti na walevi wanamtaja waziKwani Mnyeti ni Msukuma .............!!?