Yeye alisema hapo nilipokuweka ndio nataka kukutumia au msaada wako ??Dah hapa ndo jiwe hua anajichanganya. Mbona wengine wote walilazimika kujiuzulu nyadhifa nyingine ili wagombee ubunge huyu imekuaje? Naanza kushawishika kuna jambo la ziada nyuma ya uswahiba wa hawa watu wawili
Mwisho wa kunukuu, sasa kama RC kaenda kuchukua fomu labda Raisi ajaye ndiko anakotaka awe