Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Mbumbumbu wa sheria nitakufundisha leo ili siku nyingine usikurupuke kuandika pumba.Mkuu kumbe ushahidi unao kafungue kesi ssa siyo kuwa keyboard worrie hapa unatusumbua BINGO HIYO SSA KALAMBE MKUUU
Kwenye mashtaka ya jinai mwenye jukumu la kufungua mashtaka ni JAMHURI. Mimi nitaitwa kama shahidi