Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

We mjahidina inaonekana lugha ya Malkia inakupiga chenga, si bure..

Kwenye hiyo statement umeona neno "shoga" au "alikamata machoko?"

Very stupid argument from Lukub
Wewe ukikamata mashoga na machoko utaambiwa unadhurumu haki ya kuishi ni jambo la kawaida Kwa nchi zinazokubali uhayawani ,maana machoko yanatakiwa kuishi kuyakamata ni kukiuka haki ya kuishi Sasa hapo ambacho haukielewi ni nini,hiyo taarifa imesema Makonda kaua nani?
 
Wewe ukikamata mashoga na machoko utaambiwa unadhurumu haki ya kuishi ni jambo la kawaida Kwa nchi zinazokubali uhayawani ,maana machoko yanatakiwa kuishi kuyakamata ni kukiuka haki ya kuishi Sasa hapo ambacho haukielewi ni nini,hiyo taarifa imesema Makonda kaua nani?
Ni shoga gani alikamatwa na Makonda? Akapelekwa wapi?

Unaandika vitu unavyofikiri tu kichwani mwako!

By the way umeisoma na kuilewa statement ya US Secretary of State Michael R. Pompeo?

Au Kiingereza kinakupiga chenga bibie?

Unajua anatuhumiwa kufanya uhalifu gani?

1. Kuvunja na kukiuka haki za binadamu Kwa ujumla wake

2. Kufanya au kusimamia mauji ya watu (flagrant denial to the right to life).

Huu kwako ni ushoga siyo?

Unadhani wamarekani ambao ndiyo wafadhili wakubwa wa bajeti ya Tanzania wamekosea? Wanamsingizia?

Lakini cha ajabu ktk yoooote hayo wewe umeona "ushoga" kuonesha kuwa pengine wewe ndiye shoga kwa sababu imesemwa mahali kuwa;

Yamtokayo mtu mdomoni mwake, ndiyo hayo yamejaa moyoni mwake na ndiyo hayo huzaa matendo yake ktk maisha yake!!

Je, wewe nawe ni shoga siyo?
 
Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
Huo ushahidi ulishindwa nini kumpatia kubenea akaupeleka mahakamani?
 
Mbumbumbu wa sheria nitakufundisha leo ili siku nyingine usikurupuke kuandika pumba.

Kwenye mashtaka ya jinai mwenye jukumu la kufungua mashtaka ni JAMHURI. Mimi nitaitwa kama shahidi
Hiyo sheria ulisomea wapi? Mbona kubenea alimshitaki na kesi ikasikilizwa, msitake kudhalilisha taaluma za watu
 
Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"

Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania

Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Makonda anauogopesha Upinzani Mandazi hatari Sana
 
Hiyo sheria ulisomea wapi? Mbona kubenea alimshitaki na kesi ikasikilizwa, msitake kudhalilisha taaluma za watu
Nenda vizuri kasome kesi ya Kubenea ujue alikuwa anamshtaki nani!! Kubenea alikuwa anamshtaki DPP kwa kutochukua hatua stahiki za kumshtaki Makonda kwa uvamizi wa Clouds Media. Kushindwa kwake ni kwa sababu Serikali iliyopo imemkingia kifua. Subiri zije serikali nyingine baada ya Samia. Atanyea debe huyo pimbi wenu
 
Hiyo sheria ulisomea wapi? Mbona kubenea alimshitaki na kesi ikasikilizwa, msitake kudhalilisha taaluma za watu
Wewe bado mjinga sana, halafu hutambui kuwa ni mjinga. Ni aheri ungeelewe kwanza kuwa wewe ni mjinga, maana ungefanya jitihada za kuondokana nao.

Kubenea hakuwahi kufungua kesi ya jinai dhidi ya Makonda. Na hata angetaka asingiweza kwa sababu sheria inamzuia. Kubenea alifungua kesi ya kutumia madarka vibaya.

Kesi za jinai ni DPP pekee ndiye mwenye uwezo wa kufungua kesi.
 
Wewe bado mjinga sana, halafu hutambui kuwa ni mjinga. Ni aheri ungeelewe kwanza kuwa wewe ni mjinga, maana ungefanya jitihada za kuondokana nao.

Kubenea hakuwahi kufungua kesi ya jinai dhidi ya Makonda. Na hata angetaka asingiweza kwa sababu sheria inamzuia. Kubenea alifungua kesi ya kutumia madarka vibaya.

Kesi za jinai ni DPP pekee ndiye mwenye uwezo wa kufungua kesi.
Kutumia madaraka vibaya ni kesi ya madai? Haya tuambie vifungu gani vya sheria vitumike dhidi ya makonda?
 
Back
Top Bottom