Mbumbumbu wa sheria nitakufundisha leo ili siku nyingine usikurupuke kuandika pumba.Mkuu kumbe ushahidi unao kafungue kesi ssa siyo kuwa keyboard worrie hapa unatusumbua BINGO HIYO SSA KALAMBE MKUUU
We mjahidina inaonekana lugha ya Malkia inakupiga chenga, si bure..Huu ndio ushahidi ? Uliona wapi mtu anayejamata mashoga wakina delicious akapendwa na marekani ?leta ushahidi sio huu wa kukamata machoko
Wewe ukikamata mashoga na machoko utaambiwa unadhurumu haki ya kuishi ni jambo la kawaida Kwa nchi zinazokubali uhayawani ,maana machoko yanatakiwa kuishi kuyakamata ni kukiuka haki ya kuishi Sasa hapo ambacho haukielewi ni nini,hiyo taarifa imesema Makonda kaua nani?We mjahidina inaonekana lugha ya Malkia inakupiga chenga, si bure..
Kwenye hiyo statement umeona neno "shoga" au "alikamata machoko?"
Very stupid argument from Lukub
unalipwa shilingi ngapi kwa kuandika upuuzi kama huu?Makonda ataipasua CHADEMA. Ujio wa Makonda umefanya Mbowe na wahuni wenzake wafute mikutano yao ya unafiki. Mabeberu waliokuwa wanawapa pesa kupinga mkataba wa bandari wameacha baada ya mkataba kusainiwa. Mbowe na genge lake wamebaki kuhaya haya tu
Ni shoga gani alikamatwa na Makonda? Akapelekwa wapi?Wewe ukikamata mashoga na machoko utaambiwa unadhurumu haki ya kuishi ni jambo la kawaida Kwa nchi zinazokubali uhayawani ,maana machoko yanatakiwa kuishi kuyakamata ni kukiuka haki ya kuishi Sasa hapo ambacho haukielewi ni nini,hiyo taarifa imesema Makonda kaua nani?
Acha ujinga ssaMbumbumbu wa sheria nitakufundisha leo ili siku nyingine usikurupuke kuandika pumba.
Kwenye mashtaka ya jinai mwenye jukumu la kufungua mashtaka ni JAMHURI. Mimi nitaitwa kama shahidi
Huo ushahidi ulishindwa nini kumpatia kubenea akaupeleka mahakamani?Daud Bashite kuna kesi kama 10 ambazo ushahidi wa kumfungulia mashtaka uunatosheleza kama:
1. Kumteka na kumtesa Roma Mkatoliki
2. Kuvamia studio za Clouds
3. Kumuwezesha Afisa Usalama aliyemtishia bunduki Nape Nnauye
4. Kumteka Modewji
5. Kupora magari ya matajiri kama NAS, GBP na GSM
6. Kumuua Ben Saanane
Hiyo sheria ulisomea wapi? Mbona kubenea alimshitaki na kesi ikasikilizwa, msitake kudhalilisha taaluma za watuMbumbumbu wa sheria nitakufundisha leo ili siku nyingine usikurupuke kuandika pumba.
Kwenye mashtaka ya jinai mwenye jukumu la kufungua mashtaka ni JAMHURI. Mimi nitaitwa kama shahidi
Fikra zako zinakudaganyaMakonda ataipasua CHADEMA. Ujio wa Makonda umefanya Mbowe na wahuni wenzake wafute mikutano yao ya unafiki. Mabeberu waliokuwa wanawapa pesa kupinga mkataba wa bandari wameacha baada ya mkataba kusainiwa. Mbowe na genge lake wamebaki kuhaya haya tu
Matusi na uchawi ndio nguzo ya masikiniHaha Kimada wa Mbowe bana
Kwahiyo CCM inatishwa na Kigogo mmoja ?
Ruzuku zinakupa jeuri na kujitia tajiriMatusi na uchawi ndio nguzo ya masikini
Ndiyo shida ya mijitu ya Facebook inapokuja FB. Yaani mimi nakupa madini unaniambia acha ujinga?Acha ujinga ssa
Chukua wewe peleka!! Kenge unadhani mashataka ya jinai hufunguliwa na raia?!!Huo ushahidi ulishindwa nini kumpatia kubenea akaupeleka mahakamani?
Makonda anauogopesha Upinzani Mandazi hatari SanaRais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"
Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania
Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
Nenda vizuri kasome kesi ya Kubenea ujue alikuwa anamshtaki nani!! Kubenea alikuwa anamshtaki DPP kwa kutochukua hatua stahiki za kumshtaki Makonda kwa uvamizi wa Clouds Media. Kushindwa kwake ni kwa sababu Serikali iliyopo imemkingia kifua. Subiri zije serikali nyingine baada ya Samia. Atanyea debe huyo pimbi wenuHiyo sheria ulisomea wapi? Mbona kubenea alimshitaki na kesi ikasikilizwa, msitake kudhalilisha taaluma za watu
Dadeki kete zinasukumwa mdogo mdogo alafu inakuja kufunguka na zote 2025 hatoboi mtuHii ndio Taarifa ya Gazeti la MwanaHalisi kama ilivyowekwa ukurasa wa mbele .
View attachment 2793283
Wewe bado mjinga sana, halafu hutambui kuwa ni mjinga. Ni aheri ungeelewe kwanza kuwa wewe ni mjinga, maana ungefanya jitihada za kuondokana nao.Hiyo sheria ulisomea wapi? Mbona kubenea alimshitaki na kesi ikasikilizwa, msitake kudhalilisha taaluma za watu
Kutumia madaraka vibaya ni kesi ya madai? Haya tuambie vifungu gani vya sheria vitumike dhidi ya makonda?Wewe bado mjinga sana, halafu hutambui kuwa ni mjinga. Ni aheri ungeelewe kwanza kuwa wewe ni mjinga, maana ungefanya jitihada za kuondokana nao.
Kubenea hakuwahi kufungua kesi ya jinai dhidi ya Makonda. Na hata angetaka asingiweza kwa sababu sheria inamzuia. Kubenea alifungua kesi ya kutumia madarka vibaya.
Kesi za jinai ni DPP pekee ndiye mwenye uwezo wa kufungua kesi.