Paul Makonda aipasua CCM, kigogo ndani ya chama atishia kujiuzulu

Baada ya kikao cha NEC tunaarifiwa Kinana na JK na kundi la vjana wao wanaojiita wamekulia kwenye chama walikubaliana kukutana Dar Es Salaam nyumbani kwa Kinana na kikao kilifanyanyika na moja ya mambo waliyoazimia ni kuwa MAKONDA PAUL hafai kuwa Mwenezi wa CCM na watahakikisha kazi yake inakuwa ngumu sana na wameshaanza chini kwa chini kupeleka sumu mikoani na wilayani kuwashawishi wana CCM kutompa ushirikiano atakapoanza kuzunguka mikoani na mawilayani kwa ajili ya kukitangaza chama
 
Kinana hajawahi kuua mtu. Hakuna uchafu unaoweza kupita ule wa kutoa roho ya binadamu mwenzio

Makonda ameua akina Ben Sanane, Azory na kumshambulia Lissu
Zote hizo ni hadithi za kutunga. Unalo hata tone la ushahidi la kuthibitisha makonda kumuua mtu yeyote? Acha maneno ya vijiwe vya kahawa
 
Hili gazeti lilitumika kumpasua lowassa mwisho wa siku likatumika kumsafisha lilipelekea hata muhariri wake kucharangwa mapanga halina jipya!
Kubenea alimwagiwa tindikali,ila mwenzie alichalangwa mapanga sijui yule mhaya alikuwa anaitwa nani bhana?!, Nimrmsahau.
 
Kweli tupu mkuu,👍,Samia is out of her senses.Kwa hili wenye akili na wasio wachumia tumbo,CCM bye bye,"kwanza si mama yangu," Mwalimu Nyerere alisema,
 
Kweli tupu mkuu,👍,Samia is out of her senses.Kwa hili wenye akili na wasio wachumia tumbo,CCM bye bye,"kwanza si mama yangu," Mwalimu Nyerere alisema,
Jumba bovu ndiyo limeanza kupata nyufa, 2025 linadondoka na waliokuwamo wanakufa nalo
 
Kwa zama na nyakati kama hizi Makonda anahitajika,mtu asietabirika asieogooa yeyote ndio anaweza okoa chama!

Hao unaowaona wanafaa huku wakifumbia hjinga macho kwa neno haki hawafai kwa sasa !tunataka haki na wajibu.ndani ya chama na serikali!
 
Makonda ukipewa mic tena usiache kutupa ya kukujadili wiki mbili mfululizo au iwe kwa mwezi mzima kabisa.. Hii ya juzi ilikuwa safi sana. Tunajadili nyuzi zaidi ya kumi, kisa mtu mmoja wewe tu.
 
Kwa zama na nyakati kama hizi Makonda anahitajika,mtu asietabirika asieogooa yeyote ndio anaweza okoa chama!

Hao unaowaona wanafaa huku wakifumbia hjinga macho kwa neno haki hawafai kwa sasa !tunataka haki na wajibu.ndani ya chama na serikali!
Kwa majibu haya,CCM kweli ni chama cha mazuzu.
 
Zote hizo ni hadithi za kutunga. Unalo hata tone la ushahidi la kuthibitisha makonda kumuua mtu yeyote? Acha maneno ya vijiwe vya kahawa
Ushahidi upo sana. Ni suala la muda tu. Subiri Rais Samia atakapotoka madarakani. Huyo shoga lazima akaliwe msambwanda wake mkubwa jela
 
Hisia dhidi ya uhalisia.
Wengi wenu mnahisi vitu ambavyo si halisi.
Maana hamna siku ambayo umeletwa ushahidi zaidi ya nadharia.
Wewe nani ukatae ushahidi? Kwani wewe ndiyo Makonda? Utakataaje watu wanasema wana ushahidi Subiri atakapotoka Samia madarakani, huyu Nyamitako lazima atapanda kizimbani tu. Labda afe mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…