yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Wapumbavu hawaachi upumbavu wao,wewe umewahi kusema magufuli akiondoka makonda atanyea ndoo.leo tena imekuwa samia akitoka?!.Wewe nani ukatae ushahidi? Kwani wewe ndiyo Makonda? Utakataaje watu wanasema wana ushahidi Subiri atakapotoka Samia madarakani, huyu Nyamitako lazima atapanda kizimbani tu. Labda afe mapema
Ahsante kipara kipya kwa kunikumbusha,japo umekosea kidogo na wewe,alikuwa akiitwa ndimala ntegambagwe.Ndemara ndemabangwe
Ndugu maisha ya binadam ni mafupi , usijitoe ufaham, hutoishi au hakuna wa kuishi milele, ni mtu pekee mjinga anaeshindwa elewa hili kisa upo kwenye mfumo ,pumbavuLeo mmejipanga kwa hilo,hebu jitokezeni mkaandamane.toka lini watu wezi wakampenda makonda?
Sawa wewe pia umekosea ndimara huko mbele juu kwa juuAhsante kipara kipya kwa kunikumbusha,japo umekosea kidogo na wewe,alikuwa akiitwa ndimala ntegambagwe.
Jembe siyo jembe hadi mpini uingie, elewa neno "mpini"Jembe halijaanza kutifua majoka tashaanza kutoka mashimoni
Ni laana kudharau wakwabwa🤣🤣🤣🤣🤣💺Kumpiga Warioba ndio ubabe ?
Bila kumtaja Mbowe huwezi lala.
Jitahidi umzalie Katoto kamoja tu uwe naye karibu zaidi nafsi yako itulie tulii.
Kipepeo wa ile nchi yenye nyota nyingi kwenye bendera.! Fulls topMtow post ni mpinzani?
Hakuna anayeweza kumzuia mwenyekiti, Makonda mtoto mdogo. Hawezi kupambana na hiyo gang unayosema mkuuMimi nadhani hii imefanywa kwa makusudi ili kuwaumiza gang fulani linaloonekana kutaka kumzuwia Mwenyekiti kwenye kinyang’anyiro cha 2025 ! Hii ni calculated move sio bahati mbaya !!
Mpini chongolo, jembeshoka makonda, fyekeo jokate,Jembe siyo jembe hadi mpini uingie, elewa neno "mpini"
Kwakweli hana ubavu ila inaweza kuwa ni namna moja ya kurusha dongo gizani na kuwaambia wengine kwamba mimi sipangiwi 😅😅🙏Hakuna anayeweza kumzuia mwenyekiti, Makonda mtoto mdogo. Hawezi kupambana na hiyo gang unayosema mkuu
Wewe nani ukatae ushahidi? Kwani wewe ndiyo Makonda? Utakataaje watu wanasema wana ushahidi Subiri atakapotoka Samia madarakani, huyu Nyamitako lazima atapanda kizimbani tu. Labda afe mapema
Wewe bwege elewa kuwa ushahidi unatolewa Mahakamani. Wacha kupiteza muda hapa kutaka ushahidi wakati elimu ya sheria hunaUmeongea kwa hisia kali sana za kulipiza kisasi. Lakini ukweli ni kuwa, hujaloa ushahidi.
Shauri yakoMpini chongolo, jembeshoka makonda, fyekeo jokate,
Wewe bwege elewa kuwa ushahidi unatolewa Mahakamani. Wacha kupiteza muda hapa kutaka ushahidi wakati elimu ya sheria huna
Umeshaambiwa huko nyuma kuwa mashataka ya jinai hufunguliwa na Jamhuri. Subiri tu akitoka Samia ndiyo utajuwa kuwa jinai haiozi wala kuzeekaSasa mbona hamfungui mashitaka ili mpeleke ushahidi?
Kweli ujinga wa mjinga unaweza kuwa baraka. Yaani kwa akili yako unafikiri ukileta tu maneno matupu tayari ni ushahi.
Umeshaambiwa huko nyuma kuwa mashataka ya jinai hufunguliwa na Jamhuri. Subiri tu akitoka Samia ndiyo utajuwa kuwa jinai haiozi wala kuzeeka
Makonda kawasaidia watu wengi sana kuliko wale wachache wenye chuki naye. Ubabe anaweza, mananeo anaweza, nafasi alipata hajapeleaKumpiga Warioba ndio ubabe ?
Kwani Sophia Mjema hakuwepo sana ?Hivi huyo aliyetishia kujiuzulu bado hajajiuzulu tu? Maana naona Makonda bado yupo sana tu. Anasubiri nini huyo?