Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #101
Kwa hiyo unataka kinapokaa kikuletea taarifa? Hufahamu kuwa chama mikoani kuna kamati za siasa mkoa? Haufahamu ya kuwa chama kinauwezo wa kuwasiliana hata na Rais wakati wowote ule? Kwani pia ulikuwa unatakaje. Unataka watu waendelee kufanya kazi kwa mazoea? Unataka miradi ishindwe kukamilika kwa kuwalea na kuwafumbia macho wababaishaji?Maagizo katoa makonda baada ya watu kulalamika, chama kilikaa lini na kumtuma makonda kumpa maagizo mkwe wa mama?