Pre GE2025 Paul Makonda ameagiza Waziri wa TAMISEMI kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Pangani Haraka Sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akili za kitoto hizi nani aliyewahi kushiba na kuchoka pesa??
Donald Trump bado anatafuta pesa sembuse DAB??
Tumia akili kijana..
 
Akili za kitoto hizi nani aliyewahi kushiba na kuchoka pesa??
Donald Trump bado anatafuta pesa sembuse DAB??
Tumia akili kijana..
 
CCM haikupora uchaguzi bali ilipita kihalali kwa kura halali kabisa za wananchi.
Kupora uchaguzi sio kwamba nakuuliza bali naweka record sawa. Na sababu ya upuuzi ule, hakuna mtua anayejitambua tena atajitokeza kushiriki kwenye hizo chaguzi za tume zinazowajibika kwa mwenyekiti wa ccm.

Narudia tena, viongozi wote ni majizi ya kura ya ccm, iweje washindwe kutatua matatizo ya wananchi wa sehemu husika, hadi wamsubiri huyo muhalifu ndio ajifanye anatatua matatizo ya wananchi? Bado kunakuwaga na wajinga wa hivyo?
 
Unachanganya mambo,vikao na maamuzi ya Chama hupelekwa serikalini na si kiongozi 2a Chama kumkoromea mtumishi.Mtapigwa makofi hadharani
 
Sasa wewe jidanganye ufanye uzembe halafu ukutwe na kubainika .kwa hakika utakiona cha mtema kuni na kujuta kuzaliwa.

Hakuna lolote litafanyika, ni wangapi amewataja halafu hakuna kilichofanyika?
Wengine hadi kwenye report ya CAG wametajwa, nini kimefanyika?

Hakuna lolote , ni matamko ya kisiasa tu
 
hizo ni drama za ccm kama zile za kinana za kugawa tshirt za umoja ni ushindi
watumishi wa umma hawafukuzwi kazi na watu wenye akili ndogo kama makonda
kumfuatilia huyu bwana inahitaji uwe na tatizo la afya ya akili
 
hizo ni drama za ccm kama zile za kinana za kugawa tshirt za umoja ni ushindi
watumishi wa umma hawafukuzwi kazi na watu wenye akili ndogo kama makonda
kumfuatilia huyu bwana inahitaji uwe na tatizo la afya ya akili
Mheshimiwa Makonda ni akili kubwa na ndio maana amekuwa mbunifu sana na kiongozi mwenye kuleta matokeo makubwa na Chanya kila atakapopewa nafasi ya uongozi na kuongoza
 
Hii namba y simu ni ya nn? Au teuzi wakufikie kiwepesi.
 
Hakuna mvivu na mzembe kazini atakaye bakia salama wakati huu. Maana chama hakipo tayari kuchonganishwa na wananchi kwasababu ya uzembe wa watu wachache walioamua kufanya kazi kwa mazoea na kushindwa kubadilika.

Wanaona uchaguzi umekaribia wanaanza kuwalaghai wananchi
 
Wanaona uchaguzi umekaribia wanaanza kuwalaghai wananchi
CCM huwa haisubili uchaguzi kwenda kwa wananchi.CCM muda wote inakwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapatia majibu ya utatuzi wa kero zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…