Paul Makonda amefanikiwa kuiweka CCM katika mioyo na midomo ya Watanzania

Paul Makonda amefanikiwa kuiweka CCM katika mioyo na midomo ya Watanzania

I think huyu ndo architect wa usanii wa mwendazake. Nahisi huyu alimshauri awe wa maigizo, na kweli ikamlipa kisiasa
 
Nani kasema anaiumbua serikali? Kwa hiyo furaha yako unataka watu wafe na shida zao majumbani mwao? Unataka watu waendelee kuteseka na shida zao? Unataka waliopokwa haki zao na watu huko mitaani wasitafute msaada kwa chama? Ziara za Mheshimiwa Makonda zinasaidia sana wananchi na kuonyesha nini kifanyike huko mikoani.ndio maana kwa sasa viongozi kama ma RC na Ma DC wameanza kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapatia majibu ya kero zao
Ma DC na Wakuu wa mikoa wameanza kwenda kwa wanchi baada ya ziara za Makonda!! Una maana gani? Kwamba bila Makonda Serikali ilikuwa haifanyi kazi? Basi serikali ya Samia ni ya hovyo kuwahi kutokea.
 
Ukisema tangia uhuru unakuwa Unakosea .maana kumbuka miaka inavyokwenda ndivyo hata mahitaji yanavyoongezeka kutoka na ongezeko la idadi ya watu.tulipokuwa tunapata uhuru tulikuwa milioni 12 lakini leo tupo zaidi ya million 61.sasa kama tumeongezeka ni lazima hata mahitaji nayo yaongezeke kwa kula huduma
Vipi Mauritius watu hawaongezeki? Morocco raia hawana nguvu za kiume? Egypt, Algeria? Kwanza huko ni mbali, hapo Uganda ina maana watu hawaongezeki? Acha kuongea upuuzi na kuleta uchawa wa kijinga
 
Mimi sisomi
Swa Nashukuruuu sana kwa jibu lako zuri na la unyenyekevu sana.wewe nakukubali sana kuliko mwingine yeyote yule humu jukwaani. Nitaendelea kukukubali hivyo hivyo maana mimi nikimkubali mtu namkubali wote wote kama alivyo.
 
Vipi Mauritius watu hawaongezeki? Morocco raia hawana nguvu za kiume? Egypt, Algeria? Kwanza huko ni mbali, hapo Uganda ina maana watu hawaongezeki? Acha kuongea upuuzi na kuleta uchawa wa kijinga
Angali tumetoka wapi na tupo wapi.kumbuka ya kuwa kuna mikoa ilikuwa haijaunganishwa katika grid ya Taifa lakini kwa sasa imeunganishwa na hivyo kuongeza mahitaji na matumizi ya umeme. Hata hivyo usijari maana kero hii ipo ukingoni kumalizika.uwe na subira na punguza hasira maana utafutaji mwenyewe.utawasha na kutumia umeme mpaka uchoke mwenyewe.
 
Ulipotoa taarifa ya kulazwa kwake jana ulikuwa msemaji wa familia ya Mwinyi? Kuna siku kiherehere kitakuponza.
Nilikuwa nimenukuu taarifa ambayo ilikuwa imetolewa na msemaji wa familia na siyo kwamba mimi ndiye nilitoa taarifa kwa niaba ya familia.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na Rais Samia. imeonyesha uhodari wa Rais Samia kuusoma mchezo wa kisiasa na kujuwa nani aingie wakati gani kuipatia timu na chama ushindi na kuwapa matumaini watanzania kwa chama.

Kiukweli Mheshimiwa Paul Makonda amekirejesha na kukiamsha chama mitaani ,ameleta hamasa iliyokuwa imelala,imeinua matumaini ya watanzania kwa CCM,amefanya chama kuwa kimbilio la wanyonge,kwa kuwa Watanzania siku zote walikuwa wanahitaji kuona CCM yenye kuwajali,kuwasikiliza,kuwafuata waliko ili kujuwa maisha wanayoishi na changamoto zinazowakabili na wanazopitia na kuzipatia majibu stahiki.

Watanzania walihitaji sauti ya chama cha mapinduzi katika kuwasemea, kuwatetea,kuwa nyuma yao,kuwapigania dhidi ya dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji,uporwaji wa haki,ukandamizwaji,uonevu pamoja na kuwafuta machozi,kuwapa matumaini,faraja na kuwashika mkono pale wanapokuwa wameishiwa nguvu.

Haya yote kwa sasa yanatekelezwa na CCM kwa mkono na kinywa cha Mheshimiwa Makonda ambaye amejitoa na kujitolea kukibeba chama mabegani mwake kukipeleka kwa wananchi ambao ndio wamekuwa dhamana kuu ya CCM kuwepo na kusalia madarakani kwa karibu nusu karne sasa. Mheshimiwa Makonda anazungumza lugha za watu,kero za watu,.anamsikiliza kila mtu kwa unyenyekevu.anakisemea chama na serikali kwa nguvu zake zote.ameiacha na kuwa mbali na familia yake ili kwenda kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao.

Ameiacha familia yake mke na watoto wake kwa ziara ndefu ili kwenda kuwafuta machozi Watanzania walioelemewa na mizigo ya kero na tabu katika mioyo na vifua vyao.ndio maana kwa sasa mitaani habari iliyoteka na kutawala katika vinywa vya watu ni kuhusu Mheshimiwa Makonda ,CCM na Rais Samia. hiyo ndio habari kuu iliyoteka hisia za watu wote. Ndio habari inayofuatiliwa kwa karibu hata na wapinzani wa nchi hii kama CHADEMA.ndio maana unaona walivyo karibu katika kufuatilia kila kinachoendelea katika ziara zake.

Sasa kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Makonda akitoa maelekezo ya chama kwenda kwa wakuu wote wa mikoa na wilaya nimeshuhudia wakuu wa mikoa wakitekeleza agizo la wao kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapa majibu.hivi hapa nilipo ilikuwa ni jana ambapo viongozi wote wa mkoa walikuwepo mtaani kwangu kuja kusikiliza kero za wananchi na kutoa majibu,jambo ambalo liliwapa matumaini makubwa sana wananchi, ambao walihudhuria na kutoa kero zao.

Unaweza kuona namna Mheshimiwa Makonda alivyoleta mapinduzi mapya ya kiutendaji kwa viongozi.kwa sasa wananchi wanaona kuwa ukinyimwa au kudhulumiwa haki yako basi ni CCM Pekee unapoweza kupata ufumbuzi na tumaini la shida yako.kwa kuwa ni CCM Pekee inayoweza kutoa msukumo na kuweka nguvu ya wewe kupata haki yako.ndio maana tunaona na kushuhudia mikutano ya Mheshimiwa Makonda ikifurika na kumiminika watu kusikiliza na wengine wakipigana vikumbo kwa jasho na machozi kutafuta kupata nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mheshimiwa Makonda.

Hii ndio maana ya kuwa chama cha siasa kinachotawala na kuongoza serikali kuhakikisha kuwa kinakuwa karibu ya watu na kuwa kimbilio namba moja la watu, ndio maana sasa watu wanaona ni bora uende kwa Mh Makonda utapata haki yako haraka kuliko kwenda huko kwingine ukaishia kuzungushwa tu kama mpira.

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu ambao Mheshimiwa Makonda ameupandikiza na kuja nao kwa kuhakikisha kuwa mnatoka maofisini katika baadhi ya siku na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza wananchi.kwa kuwa ninyi ndio mpo na wananchi kila siku na mkilipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuhudumia watu.hakikisheni mnakuwa karibu ya mwananchi,hakikisheni mkiletewa jambo mhakikishe kuwa linapatiwa ufumbuzi na mwenye haki anapatiwa haki yake.

Maana katika ziara za Mheshimiwa Makonda nimesikia wengine wakisema kuwa jambo hili nimefikisha hadi kwa mkuu wa wilaya,mkoa n.k.hii maana yake ni kuwa wengine huwa hamfuatilii kuhakikisha kuwa maelekezo yenu na maagizo yanafanyiwa kazi na watu wanapata haki zao.ndio maana inapotokea ziara za viongozi wakuu wananchi wanajitokeza na mabango wakilia na kububujikwa machozi kwa kuwa ninyi mnakuwa mlishindwa kuwapatia majibu na kuwasaidia kupata haki zao.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2892767
Labda watanzania wapumbavu wa mwisho kabisa na wajinga kama wewe.
 
Angali tumetoka wapi na tupo wapi.kumbuka ya kuwa kuna mikoa ilikuwa haijaunganishwa katika grid ya Taifa lakini kwa sasa imeunganishwa na hivyo kuongeza mahitaji na matumizi ya umeme. Hata hivyo usijari maana kero hii ipo ukingoni kumalizika.uwe na subira na punguza hasira maana utafutaji mwenyewe.utawasha na kutumia umeme mpaka uchoke mwenyewe.
Hizi porojo na siasa zako za kijinga wapelekee chawa wa uvccm wenyewe, usinieleze mimi mwerevu. Unajua Morroco wametoka wapi na wako wapi? Egypt hawana mikoa? Unahangaika miaka mingi kupiga hatua moja ukishtuka wenzio wako hatua kumi mbele! Watu wa aina yako mlipaswa kunyongwa! Mnahujumu taifa!
 
Maisha magumu hao wanaokwenda kuisema ccm au chadema vizuri hakuna watu wanasema kirahisi midomo yao ni serikali imepandisha kila kitu hadi sukari na bila hela huyo mtu hawezi kuishi hata wahali ya chini wanalia Lucas mwashambwa so acha kujinadi na kula tu yenyewe ni ngumu kwa asilimja ya watu wengi.

Jaribuni kutafuta njia mmbadala yawatu kupata chakula
 
Maisha magumu hao wanaokwenda kuisema ccm au chadema vizuri hakuna watu wanasema kirahisi midomo yao ni serikali imepandisha kila kitu hadi sukari na bila hela huyo mtu hawezi kuishi hata wahali ya chini wanalia Lucas mwashambwa so acha kujinadi na kula tu yenyewe ni ngumu kwa asilimja ya watu wengi.

Jaribuni kutafuta njia mmbadala yawatu kupata chakula
Ndugu yangu suala la sukari kupanda bei lilishaelezwa na kutolewa ufafanuzi na serikali na tayari sukari imeshaingia nchini na muda siyo mrefu itaanza kusambazwa nchini na hivyo bei kupungua.

Suala la maisha ndugu yangu ni kuwa lipo katika juhudi za mikono yako. Umaskini katika familia zetu Watt zitaondolewa na sisi wenyewe watanzania kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma kwa hali ya juu.kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kutusaidia Watanzania kujikwamua kiuchumi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na Rais Samia. imeonyesha uhodari wa Rais Samia kuusoma mchezo wa kisiasa na kujuwa nani aingie wakati gani kuipatia timu na chama ushindi na kuwapa matumaini watanzania kwa chama.

Kiukweli Mheshimiwa Paul Makonda amekirejesha na kukiamsha chama mitaani ,ameleta hamasa iliyokuwa imelala,imeinua matumaini ya watanzania kwa CCM,amefanya chama kuwa kimbilio la wanyonge,kwa kuwa Watanzania siku zote walikuwa wanahitaji kuona CCM yenye kuwajali,kuwasikiliza,kuwafuata waliko ili kujuwa maisha wanayoishi na changamoto zinazowakabili na wanazopitia na kuzipatia majibu stahiki.

Watanzania walihitaji sauti ya chama cha mapinduzi katika kuwasemea, kuwatetea,kuwa nyuma yao,kuwapigania dhidi ya dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji,uporwaji wa haki,ukandamizwaji,uonevu pamoja na kuwafuta machozi,kuwapa matumaini,faraja na kuwashika mkono pale wanapokuwa wameishiwa nguvu.

Haya yote kwa sasa yanatekelezwa na CCM kwa mkono na kinywa cha Mheshimiwa Makonda ambaye amejitoa na kujitolea kukibeba chama mabegani mwake kukipeleka kwa wananchi ambao ndio wamekuwa dhamana kuu ya CCM kuwepo na kusalia madarakani kwa karibu nusu karne sasa. Mheshimiwa Makonda anazungumza lugha za watu,kero za watu,.anamsikiliza kila mtu kwa unyenyekevu.anakisemea chama na serikali kwa nguvu zake zote.ameiacha na kuwa mbali na familia yake ili kwenda kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao.

Ameiacha familia yake mke na watoto wake kwa ziara ndefu ili kwenda kuwafuta machozi Watanzania walioelemewa na mizigo ya kero na tabu katika mioyo na vifua vyao.ndio maana kwa sasa mitaani habari iliyoteka na kutawala katika vinywa vya watu ni kuhusu Mheshimiwa Makonda ,CCM na Rais Samia. hiyo ndio habari kuu iliyoteka hisia za watu wote. Ndio habari inayofuatiliwa kwa karibu hata na wapinzani wa nchi hii kama CHADEMA.ndio maana unaona walivyo karibu katika kufuatilia kila kinachoendelea katika ziara zake.

Sasa kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Makonda akitoa maelekezo ya chama kwenda kwa wakuu wote wa mikoa na wilaya nimeshuhudia wakuu wa mikoa wakitekeleza agizo la wao kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapa majibu.hivi hapa nilipo ilikuwa ni jana ambapo viongozi wote wa mkoa walikuwepo mtaani kwangu kuja kusikiliza kero za wananchi na kutoa majibu,jambo ambalo liliwapa matumaini makubwa sana wananchi, ambao walihudhuria na kutoa kero zao.

Unaweza kuona namna Mheshimiwa Makonda alivyoleta mapinduzi mapya ya kiutendaji kwa viongozi.kwa sasa wananchi wanaona kuwa ukinyimwa au kudhulumiwa haki yako basi ni CCM Pekee unapoweza kupata ufumbuzi na tumaini la shida yako.kwa kuwa ni CCM Pekee inayoweza kutoa msukumo na kuweka nguvu ya wewe kupata haki yako.ndio maana tunaona na kushuhudia mikutano ya Mheshimiwa Makonda ikifurika na kumiminika watu kusikiliza na wengine wakipigana vikumbo kwa jasho na machozi kutafuta kupata nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mheshimiwa Makonda.

Hii ndio maana ya kuwa chama cha siasa kinachotawala na kuongoza serikali kuhakikisha kuwa kinakuwa karibu ya watu na kuwa kimbilio namba moja la watu, ndio maana sasa watu wanaona ni bora uende kwa Mh Makonda utapata haki yako haraka kuliko kwenda huko kwingine ukaishia kuzungushwa tu kama mpira.

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu ambao Mheshimiwa Makonda ameupandikiza na kuja nao kwa kuhakikisha kuwa mnatoka maofisini katika baadhi ya siku na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza wananchi.kwa kuwa ninyi ndio mpo na wananchi kila siku na mkilipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuhudumia watu.hakikisheni mnakuwa karibu ya mwananchi,hakikisheni mkiletewa jambo mhakikishe kuwa linapatiwa ufumbuzi na mwenye haki anapatiwa haki yake.

Maana katika ziara za Mheshimiwa Makonda nimesikia wengine wakisema kuwa jambo hili nimefikisha hadi kwa mkuu wa wilaya,mkoa n.k.hii maana yake ni kuwa wengine huwa hamfuatilii kuhakikisha kuwa maelekezo yenu na maagizo yanafanyiwa kazi na watu wanapata haki zao.ndio maana inapotokea ziara za viongozi wakuu wananchi wanajitokeza na mabango wakilia na kububujikwa machozi kwa kuwa ninyi mnakuwa mlishindwa kuwapatia majibu na kuwasaidia kupata haki zao.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2892767
Jamani huko CCM mkumbukeni huyu mjane au ina maana hamuoni hizo namba za simu hapo wacheni hizi.
 
Ndugu yangu suala la sukari kupanda bei lilishaelezwa na kutolewa ufafanuzi na serikali na tayari sukari imeshaingia nchini na muda siyo mrefu itaanza kusambazwa nchini na hivyo bei kupungua.

Suala la maisha ndugu yangu ni kuwa lipo katika juhudi za mikono yako. Umaskini katika familia zetu Watt zitaondolewa na sisi wenyewe watanzania kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma kwa hali ya juu.kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi kutusaidia Watanzania kujikwamua kiuchumi
Kichwa chako ni cha ccm so sisi tujenge shule,na tuweke madirisha ,vifaa vya laboratory eh acha ushamba serikali haijitumi kwa lolote wananch8 asilimia kubwa serikali ya tanzania wao hujipenda wenyewe sana kuhudumia sii mnasaidiana watu wanakufa nyie dhibidi kucha za bandia na kope na huku watu wanakufa na mafururiko
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika uteuzi uliofanywa na chama cha Mapinduzi chini ya uongozi shupavu, imara na madhubuti wa Rais na mwenyekiti wa CCM Taifa Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hasssan , kumteua Mheshimiwa Paul Christian Makonda kuwa katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa umekuwa ni uteuzi wa kihistoria na karata ya ushindi iliyochezwa na Rais Samia. imeonyesha uhodari wa Rais Samia kuusoma mchezo wa kisiasa na kujuwa nani aingie wakati gani kuipatia timu na chama ushindi na kuwapa matumaini watanzania kwa chama.

Kiukweli Mheshimiwa Paul Makonda amekirejesha na kukiamsha chama mitaani ,ameleta hamasa iliyokuwa imelala,imeinua matumaini ya watanzania kwa CCM,amefanya chama kuwa kimbilio la wanyonge,kwa kuwa Watanzania siku zote walikuwa wanahitaji kuona CCM yenye kuwajali,kuwasikiliza,kuwafuata waliko ili kujuwa maisha wanayoishi na changamoto zinazowakabili na wanazopitia na kuzipatia majibu stahiki.

Watanzania walihitaji sauti ya chama cha mapinduzi katika kuwasemea, kuwatetea,kuwa nyuma yao,kuwapigania dhidi ya dhuluma, unyonyaji, unyanyasaji,uporwaji wa haki,ukandamizwaji,uonevu pamoja na kuwafuta machozi,kuwapa matumaini,faraja na kuwashika mkono pale wanapokuwa wameishiwa nguvu.

Haya yote kwa sasa yanatekelezwa na CCM kwa mkono na kinywa cha Mheshimiwa Makonda ambaye amejitoa na kujitolea kukibeba chama mabegani mwake kukipeleka kwa wananchi ambao ndio wamekuwa dhamana kuu ya CCM kuwepo na kusalia madarakani kwa karibu nusu karne sasa. Mheshimiwa Makonda anazungumza lugha za watu,kero za watu,.anamsikiliza kila mtu kwa unyenyekevu.anakisemea chama na serikali kwa nguvu zake zote.ameiacha na kuwa mbali na familia yake ili kwenda kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao.

Ameiacha familia yake mke na watoto wake kwa ziara ndefu ili kwenda kuwafuta machozi Watanzania walioelemewa na mizigo ya kero na tabu katika mioyo na vifua vyao.ndio maana kwa sasa mitaani habari iliyoteka na kutawala katika vinywa vya watu ni kuhusu Mheshimiwa Makonda ,CCM na Rais Samia. hiyo ndio habari kuu iliyoteka hisia za watu wote. Ndio habari inayofuatiliwa kwa karibu hata na wapinzani wa nchi hii kama CHADEMA.ndio maana unaona walivyo karibu katika kufuatilia kila kinachoendelea katika ziara zake.

Sasa kupitia maelekezo ya Mheshimiwa Makonda akitoa maelekezo ya chama kwenda kwa wakuu wote wa mikoa na wilaya nimeshuhudia wakuu wa mikoa wakitekeleza agizo la wao kwenda kwa wananchi kuwasikiliza kero zao na kuwapa majibu.hivi hapa nilipo ilikuwa ni jana ambapo viongozi wote wa mkoa walikuwepo mtaani kwangu kuja kusikiliza kero za wananchi na kutoa majibu,jambo ambalo liliwapa matumaini makubwa sana wananchi, ambao walihudhuria na kutoa kero zao.

Unaweza kuona namna Mheshimiwa Makonda alivyoleta mapinduzi mapya ya kiutendaji kwa viongozi.kwa sasa wananchi wanaona kuwa ukinyimwa au kudhulumiwa haki yako basi ni CCM Pekee unapoweza kupata ufumbuzi na tumaini la shida yako.kwa kuwa ni CCM Pekee inayoweza kutoa msukumo na kuweka nguvu ya wewe kupata haki yako.ndio maana tunaona na kushuhudia mikutano ya Mheshimiwa Makonda ikifurika na kumiminika watu kusikiliza na wengine wakipigana vikumbo kwa jasho na machozi kutafuta kupata nafasi ya kuwasilisha kero zao kwa Mheshimiwa Makonda.

Hii ndio maana ya kuwa chama cha siasa kinachotawala na kuongoza serikali kuhakikisha kuwa kinakuwa karibu ya watu na kuwa kimbilio namba moja la watu, ndio maana sasa watu wanaona ni bora uende kwa Mh Makonda utapata haki yako haraka kuliko kwenda huko kwingine ukaishia kuzungushwa tu kama mpira.

Rai yangu ni kwa wakuu wa mikoa,wilaya,wakurugenzi na viongozi mbalimbali huko mikoani kuendeleza utamaduni huu ambao Mheshimiwa Makonda ameupandikiza na kuja nao kwa kuhakikisha kuwa mnatoka maofisini katika baadhi ya siku na kwenda kwa wananchi kuwasikiliza wananchi.kwa kuwa ninyi ndio mpo na wananchi kila siku na mkilipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuhudumia watu.hakikisheni mnakuwa karibu ya mwananchi,hakikisheni mkiletewa jambo mhakikishe kuwa linapatiwa ufumbuzi na mwenye haki anapatiwa haki yake.

Maana katika ziara za Mheshimiwa Makonda nimesikia wengine wakisema kuwa jambo hili nimefikisha hadi kwa mkuu wa wilaya,mkoa n.k.hii maana yake ni kuwa wengine huwa hamfuatilii kuhakikisha kuwa maelekezo yenu na maagizo yanafanyiwa kazi na watu wanapata haki zao.ndio maana inapotokea ziara za viongozi wakuu wananchi wanajitokeza na mabango wakilia na kububujikwa machozi kwa kuwa ninyi mnakuwa mlishindwa kuwapatia majibu na kuwasaidia kupata haki zao.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.View attachment 2892767

Muhalifu akae kwenye mioyo ya wananchi?! Chawa mnakwama wapi!
 
Jamani huko CCM mkumbukeni huyu mjane au ina maana hamuoni hizo namba za simu hapo wacheni hizi.
Acha maneno ya udhalilishaji.wewe hata kama una chuki na mimi bado unaweza kujenga hoja na kunipinga kwa hoja na siyo kutoa lugha za matusi.
 
Kichwa chako ni cha ccm so sisi tujenge shule,na tuweke madirisha ,vifaa vya laboratory eh acha ushamba serikali haijitumi kwa lolote wananch8 asilimia kubwa serikali ya tanzania wao hujipenda wenyewe sana kuhudumia sii mnasaidiana watu wanakufa nyie dhibidi kucha za bandia na kope na huku watu wanakufa na mafururiko
Wapi nilipoandika kuwa mjenge shule ,kuweka madirisha pamoja na vifaa vya labalatory.
 
Back
Top Bottom