Paul Makonda amkabidhi Prof Jay millioni 20 ,Atoa ahadi nzitoo ya kumtafutia nyumba upanga ili kuwa karibu na hospitali.

Paul Makonda amkabidhi Prof Jay millioni 20 ,Atoa ahadi nzitoo ya kumtafutia nyumba upanga ili kuwa karibu na hospitali.

Peleka ujinga huko chawa mchafu wewe. Utakufa kifo kibaya sana kwa kuuza watanzania wenzio wakiwemo mama zako kwa shs elfu 20.

Mattttercore wewe qumer
 
Kuwa CHADEMA sio hati miliki ndo maana Prof Jay analiliwa na kuungwa mkono na kila mtu! Sema nyinyi kwenu siasa ni uadui hasa kwa Makonda! Maana kila mnapomuona Makonda mnawashwa washwa kama malaya!
Tuulieni hakuna anayetumia platform ya matatiozo ya Prof Jay kwa sababu taasisi yake ya kusaidia watu wenye matatioz ya figo aliamua yeye mwenyewe kuiunda hakushawishiwa na Makonda ili aje kujitwalia sifa yeye mwenyewe!
Nawaombeni sana CHADEMA msipo badilika na kuwa wauungwana msitegemee kuwa na matokeo ya tofauti kwa kuwa mnakoelekea sasa ni kuwa adui wa kila mu anayefaya jambo jema kwa manufaa ya uma hasa napokuwa sio mwanachama wenu!
Makonda ni uthibitisho wa serikali isiyozingatia sheria hivyo watu wenye akili wakimuona wanaona jinsi Samia anavyosigina sio sheria tu bali katiba! “No one is above the law “.
Tuhuma zote hizo juu yake ikiwemo mauaji/utekaji hakuna hata moja lililofanyiwa uchunguzi wa kina!! Mnachanganya mahusiano na shuhuri za wananchi!
Mbele ya jumuiya ya kimaTaifa Bashite ni muhalifu ambae akikanyaga nchini mwao anawekwa jela.
 
Wewe nawe ni wale wale hata ufanyiwe nini huwezi kulidhika! Wakiacha kutoa utasema, wakitoa utasema mnafiki ni mtu mbaya sana!
Na kwa sehemu kubwa ni nyinyi vijana wenye chuki kubwa na Makonda na mnaonesha chuki zenu wazi pasipo kificho! Na cha kushangaza zaidi mnajipa Umungu mtu wa kutoa hukumu kwa wenzenu huku mkijihesabia haki kana kwamba Mungu ni wa kweu tu!
Badala ya kutambua ya kuwa kila mtu kapungukiwa na utukufu wa Mungu ndo maana kila leo tunaomba Mungu atusamehe makosa yetu!
Makosa yanasameheka kwa kutubu na kuungama kosa.
Makosa hayaondolewi kwa zawadi wala michango kwa kigezo cha nia njema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DAB amejikunjua vizuri.
Very sorry wadau,nimeona picha Prof amekaa kwenye kochi na DAB amrkaa chini kana kwamba wanazungumza.
Hivi ni kweli Prof amefikia hatua ya kutokuweza kusimama mwenyewe au kutembea?

Mungu azidi kumsimamia PROF JAY.
Naskia alikua anatembea vizuri,ila kuna siku alienda ATM kutoa hela akadongoka palr mlangoni akavunjika mguu
 
Mleta mada keshokutwa 27/12/2023 ufike ofisi ndogo ya chama Lumumba.
Umuone sekretari wangu uje na kadi ya chama uchukue pesa ya kununua nguo zako za sikukuu,nilikuona juzi umechoka sana kiatu kimeisha upande.
Karibu sana kijana wetu.
 
Back
Top Bottom