Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

Makonda my foot,yeye nae polisi ,kachero au nani?Alivyomdhalilisha warioba aliripot kwa nani?Ni kwel Gwajima alitumia lugha kali ila alikuwa na meseji ya muhimu kutoa.Tusubir polis watuambie kinachoendelea.
 
Kama mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama ya wilaya ana wajibu wa kumwita.
 
Mkuu wa Wilaya Ni MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI sasa kama anaona hilo jambo linahatarisha amani ya eneo lake anaweza kuitisha kikao cha kamati kwa ajili ya kumshauri kuhusu jambo fulani na hatimaye kulifanyia maamuzi. Wajumbe wa kama ti ya ulinzi ni pamoja na Mkuu wa kituo cha polisi, Mkuu wa Magereza, Viongozi wa Dini na wengineo
 
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.

HIVYO KUMWITA NI SAWA
sasa kama ameshaitwa Polisi Makonda anamwita kwake ili iweje.Makonda atueleze kwanza kwanini lile agizo lake la kuwa na Dawati la Polisi kila hospitali kwa ajili ya kutoa PF 3 halijatekelezwa kabla hajarukia hili.
 
Anahitaji semina elekezi huyu dogo,
Hatua iliyofikia si ya ngazi ya kamati ya Ulinzi na usalama wa wilaya, Makonda ajue ukomo wa majukumu yake kama DC.
 
Mkuu wa Wilaya Ni MWENYEKITI WA KAMATI YA ULINZI sasa kama anaona hilo jambo linahatarisha amani ya eneo lake anaweza kuitisha kikao cha kamati kwa ajili ya kumshauri kuhusu jambo fulani na hatimaye kulifanyia maamuzi. Wajumbe wa kama ti ya ulinzi ni pamoja na Mkuu wa kituo cha polisi, Mkuu wa Magereza, Viongozi wa Dini na wengineo

Na wewe acha uzezeta,
Sasa kama ameshaitwa polisi na amehojiwa nini tena makonda atamhoji?
huko ilitakiwa makonda amwite kabla ya kuwa ameitwa Polisi!
 
Gwajima ni Firauni mkubwa....mzinifu, ma.laya sana...kampiga miti sana Flora...leo hii anatoa maneno hata ktk uchungaji wa uchawi na nguvu za giza hayapo...maneno ya ushenzi na uhayawani...amini mchungaji huyo anatumia ushetani ktk kuendesha ktk lake...na ni mfanya biashara tu...wala sio mcha Mungu...!!!
 
Akimaliza na Makonda ataitwa na Mkuu wa Mkoa,halafu Waziri wa Mambo ya Ndani,halafu Waziri anayeshughulikia usalama wa taifa.Tunakuza mambo bila sababu.
 
Wakuu lile agizo la Makonda kwa jeshi la Polisi kuwa na dawati la kutoa PF kila hospitali ya kinondoni limeshatekelezwa? Huyo dogo amezidi kwa maagizo yasiyotekelezeka.
 
sasa kama anahitaji maelezo ya gwajima si akayachukue kule kituo cha polisi maana tayari gwajima kashatoa!
 
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.

HIVYO KUMWITA NI SAWA
Hiyo siyo kazi yake na yeye siyo polisi, kama anahitaji maelezo zaidi aende kwa Kova yameshatolewa.
 
Huyu anahitajika magereza kusafisha nyoyo za wafungwa.kwa kila namna
 
Tanzania eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee !!!!!!!!!!!!!!!!!!! ???????????
 
hivi huyu makonda ni nani mpaka gwajima akiripoti ofisi kwake?
na asipo enda atamfanya nini? Kama gwajima amesha ripoti polisi sasa yeye anataka nini,na Kama nani?
kumbe ma DC nao siku hizi wana mamlaka ya kumuita MTU kuja kutoka maekezo,kazi ya polisi ni nini,poor makonda mbona anakurupuka huyu dogo.
gwajima ebu MPE za uso makonda akujui eeehh!
 
Mkuu wa wilaya ni mlinzi wa amani kwenye wilaya yake.Matamshi ya Gwajima yaweza letelea vurugu katika wilaya yake ya kinondoni kati ya wakatoliki wanaomheshimu Pengo na wafuasi wa Gwajima waliokuwa wakishangilia wakati Pengo akiporomoshewa matusi ya nguoni.

HIVYO KUMWITA NI SAWA

Eti na yeye aliitwa na nani alipomzaba vibao Warioba au alipomtukana Lowassa?
 
Hizi ndizo kazi za Mkuu wa Wilaya??
Yeah, Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani kwake. Maneno ya Gwajima yalikuwa yanahatarisha hali ya usalama ndani ya wilaya ya Kinondoni. Makonda yupo sahihi kumuita Gwajima, ingawa vita ya Membe na Lowasa inaweza ikawa inahusika pia!
 
Yeye ni nani afike ofisini kwake

Mkuu wa Wilaya ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Afisa Usalama wa Wilaya ni Katibu wake. Hivyo DC Makonda yuko sahihi na anatimiza wajibu wake.

Msipende Kuwa mnakurupuka hovyo hovyo bila kuishughulisha akili yenu japo kidogo.
 
Back
Top Bottom