ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,012
anadeka bwana, Daddy anamsikiliza yeye tu, Daddy is coming alienda kuzindua maendeleo huko mikoanibashite aache kujifanya yeye ndo kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anadeka bwana, Daddy anamsikiliza yeye tu, Daddy is coming alienda kuzindua maendeleo huko mikoanibashite aache kujifanya yeye ndo kila kitu.
Sikukuu gani ipo karibuni?
Amemshawishi rais wapiAcha tu mkuu! Kiongozi mzima anakuwa mjinga hivyo? Mahakama imetoa hukumu kisha mkuu wa mkoa kwa kuendekeza tamaa zake za kimwili anaona kuwa haki haijatendeka kisha anashawishi rais atumie mamlaka yake kutengua hukumu. Huu ni ujinga na kutokujua miiko ya uongozi.
Kibaya kabisa nikwamba huyu jamaakwa sasa anaonekana hajaliwatu watasema nini, ukiangaliaanavyofanya kutoka anavyovaa mpakahizi posts zake nikama vile kashajiona untouchable fulani hivi.Acha tu mkuu! Kiongozi mzima anakuwa mjinga hivyo? Mahakama imetoa hukumu kisha mkuu wa mkoa kwa kuendekeza tamaa zake za kimwili anaona kuwa haki haijatendeka kisha anashawishi rais atumie mamlaka yake kutengua hukumu. Huu ni ujinga na kutokujua miiko ya uongozi.
Ni hivi, dady yuko safarini akirudi tu Lulu anatoka, kwani hujui kuwa dady yuko ziarani???
hii kitu niliiona kule kwenye account yake (bashite) ya instagram,nikataka ni-comment ki-jf,haraka sana roho yangu ikasita.
nahisi kabla mwaka huu haujaisha kuna mchezo utachezwa ili mtu fulani ajizolee point za bure kwa kupitia hii hukumu.
pia nahisi kuna mkubwa fulani yupo katika harakati za "kumtafuna" lulu kwa masharti fulani....mda utaongea.yetu macho.
Mitihani haijaishaNgoja mwenye nafasi yake aje
Uwezo wa kupambanua mambo ni zero. Ukiwa na mtoto akifeli mtihani wa darasa la nne halafu awe mwana mfalme unategemea nini?? Ila ategemee Dr Louis Shika atahusika kwenye maghorofa yake pia 2025.Aiseee jamaa kaharibu mbaya. Sijapendaina maana wasio na "dady" ndo wanaozea jela. Basi wawasaidie na babu seya
Umewaza sana mkuuSasa, Lulu ataionaje hiyo message ya Makonda na kujiandaa?