Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kaandikaje?ni dady au sugar daddy ??
nauliza tu
Ghafla hana simu janja [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Sasa, Lulu ataionaje hiyo message ya Makonda na kujiandaa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Daddy is coming....
View attachment 630106
Ni hivi, dady yuko safarini akirudi tu Lulu anatoka, kwani hujui kuwa dady yuko ziarani???Mmh makonda hapa kazidi khaa kila kona anaweka pua yake. Dady means mchepuko,bae or? Tangu lini ana ubaba na Lulu au ndo kanumba part two?
haha kuna mtu nimemtukana huko nikadhani nipo jf sasa naona kasimkangu kanasuasua nahizi makirikiri wapo kazinihahaha nafwaaaaaaaaaaaa mkisikia nimetekwa munitafurie buji anapafahamu kwangu hahaha cc bujibujiMnakonda aaache ujingaa... Ataingiza mahakama kwenye bifu lake then itamcost Lulu
Sasa "hakuna atakaye jua" wakati ushatuambia tumeshajuaSugar Daddy is coming. Huyo mtoto haendi kukaa jela. Anaenda kufichwa kwenye five star moja tuli anakula maisha miaka miwili hakuna atakaye jua
Acha tu mkuu! Kiongozi mzima anakuwa mjinga hivyo? Mahakama imetoa hukumu kisha mkuu wa mkoa kwa kuendekeza tamaa zake za kimwili anaona kuwa haki haijatendeka kisha anashawishi rais atumie mamlaka yake kutengua hukumu. Huu ni ujinga na kutokujua miiko ya uongozi.Hii nchi hakuna maadili ya uongozi kabisa, vitu vingine mtu ukifikirini fake news siwezi kukushangaa.