Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

KAMA JELA KUZURI MPELEKE MWANAO. [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Tabia za hawa watani zangu wasukuma kupenda kizembe, ndizo zilimsababishia Kanu kujilegeeza aliposukumwa na Lulu hadi akaanguka kifwafwa!!
 
Kwa aliyewai kusoma tamthiliya ya THE GOD FATHER ya muandishi Mario Puzo atakuwa amemuelewa vizuri muheshimiwa,tafsiri avumilie kidogo anaingilia kati na mambo yatakuwa mazuri.
Ni story about the MAFIA ambapo God father alikuwa ashindwi kitu
Mkuu kwa heshima na taadhima usimfananishe bashite na don't carleon kabisa huyu choko sio mafya wala hafikii level ya mafya
 
Maana yake hamalizi hicho kifungo atatoka c muda mrefu
 
Mliosoma kutushinda / kutuzidi na mnaojua vizuri Kiingereza kuzidi sisi tunaojua sana Kiswahili naomba ufafanuzi wa hii Sentensi tu ili nami nione kama kuna haja ya kumtafuta Ras Simba au haraka au hapana. Sentensi yenyewe ni kama ilivyoandikwa hapo juu na nainukuu..." There is a room in every situation " tuachane na hiyo ya sijui Dady is coming ambayo nayo pia tutaitafutia mjadala wake baadae usiku kuanzia Saa 4 ' Kichwa ' changu kikishachangamka.
sentence nzito sana hii
 
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"

Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.

Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!

View attachment 630076
Dah wakuu BASHITE haachaji VITUKO..dah huyu jamaa.
 
Lulu lazma atetewe kwa nguvu zote na wenye akili, no mattter aliua au la alikuwa anajitetea asibakwe.....

Naungana na Makonda kumtetea Lulu, mtu asiye na hatia anafungwa miaka miwili... Shubamitty
 
Daddy is coming....
IMG-20171113-WA0048.jpg
 
Hahahaha 4sure Dady is coming....

Look at how Dady is so powerful!!!!

Katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
45-,(1)Bila ya kuathiri masharti mengineyo yaliyomo katika ibara hii,Rais anaweza kutenda lolote kati ya mambo yafuatayo:-

(a) Kutoa msamaha kwa mtu yeyote aliyepatikana na hatia mbele ya mahakama kwa kosa lolote,na anaweza kutoa msamaha huo ama bila ya masharti au kwa masharti, kwa mujibu wa Sheria;

(b)Kumwachilia kabisa au kwa muda maalum mtu yeyote aliyehukumiwa kuadhibiwa kwaajili ya kosa lolote ili mtu huyo asitimize kabisa adhabu hiyo au asitimize adhabu hiyo wakati wa muda huo maalum;

(c)Kubadilisha adhabu yoyote aliyopewa mtu yeyote kwa kosa lolote iwe adhabu tahafifu;
~~~~~~~~~~~
~~~~~~~~~~~~~~~#Bashites Dady
 
mhhhh kila mwisho wa mwaka hususani 9-12-2017 uhuru day kuna msamaha wa rais yawezekana kamaanisha hvo
 
Back
Top Bottom