Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Mliosoma kutushinda / kutuzidi na mnaojua vizuri Kiingereza kuzidi sisi tunaojua sana Kiswahili naomba ufafanuzi wa hii Sentensi tu ili nami nione kama kuna haja ya kumtafuta Ras Simba au haraka au hapana. Sentensi yenyewe ni kama ilivyoandikwa hapo juu na nainukuu..." There is a room in every situation " tuachane na hiyo ya sijui Dady is coming ambayo nayo pia tutaitafutia mjadala wake baadae usiku kuanzia Saa 4 ' Kichwa ' changu kikishachangamka.
Yani

"Hakuna linaloshindikana chini ya jua"
 
Mkuu ameandika makonda unalalamika

Mbona kibatala kasema anaenda kukata rufaa haujasema chochote

Au kisa makonda ni kundi Fulani
Na kibatala ni kundi lenu

Tujue kila mtu ananafasi ya kuzungumza anacho amini kitamsaidia yeye na si wengine
Imasemekana mama Kanumba KAFURAHI LEO mtoto wa mwanamke mwenzie kwenda jela, hili watu hawalioni.
Yaani KAFURAHI lulu ambaye alikuwa mtoto tukio likifanyika, tena kuna UWEZEKANO mwanae alibaka mtoto, NO OFFENSE, asingekufa miaka 30 ilikuwa inamuhusu.
 
kama nimeelewa maana yake JpMpiana anaweza kumuachia huru tarehe 9 Disemba kwa masamaha
 
Maana yake Bashite anasubiri mkulu arudi ili amshauri amuachie Lulu!
AU WAKAMUIBE WAKAMFICHE MAHALI MPAKA MIAKA MIWILI IPITE

KUNA YULE JAFARI MWENYE JJ COMMUNICATION ALIUA MOSHI KWA KUMTIA DEREVA FULANI SIKUMBUKI NI WA NANI .....
AKAHUKUMIWA MAISHA LAKINI MPAKA SASA YUPO UGHAIBUNI ALIHANISHIWA MAWENI TANGA KISHA PAAAAAAAAAAAAP AKAONEKANA UARABUNI HUKO NA MPAKA SASA YUPO HUKO................ SO DADY ANAJUA ANAMAANISHA NINI VIVA
 
Imasemekana mama Kanumba KAFURAHI LEO mtoto wa mwanamke mwenzie kwenda jela, hili watu hawalioni.
Yaani KAFURAHI lulu ambaye alikuwa mtoto tukio likifanyika, tena kuna UWEZEKANO mwanae alibaka mtoto, NO OFFENSE, asingekufa miaka 30 ilikuwa inamuhusu.
Mkuu kuna wakati binadamu huwa hatujipi nafasi ya kutafakari kwanza tunakimbia kuhukumu au kufurahi

Lakini ukikaa ukajifikiria na kufanya tathimini utagundua kuwa hili jambo ni zito na linahitaji uliangalie kwa jicho la tatu
 
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"

Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.

Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!

View attachment 630076
Of course Daddy is coming,just buy the time n stay strong.
 
Japo namwonea huruma lulu lakini haitoleta picha nzuri makonda kuingilia hii kitu maana itashusha hadhi ya mahakama.
Bureaucracy siku hizi haieleweki yani mtu anaweza fanya lolote pasipo kujua mipaka yake
Kwani kasema anamtoa ?

Wapi kaingilia mahakama
 
Umenipa madaraka ya kuleevya [emoji442][emoji442][emoji443][emoji443][emoji443][emoji443] zikidinda nazi.......[emoji443][emoji443][emoji443][emoji443]

Naimba tu kawimbo ka weusi wenzangu
 
Ngoja tusibiri kabla ya Jumapili lolote linaweza kutokea
 
Nawaza kwa sauti ya chini. Hii kesi isijekuwa wameifufua na kuiendesha fasta fasta kisa kabinti ka watu kalimkataa mtu fulani mwenye mamlaka hivyo kaamua kukaonyesha alivyo na nguvu, lengo kalainike na kagawe utamu kirahisi bila kukasumbukia tena.
 
Kwani kasema anamtoa ?

Wapi kaingilia mahakama
Nani kasema kuwa makonda atamtoa?
Mimi nimeongelea kuingilia hii kitu kwa reference ya kauli yake kama kiongozi wa serikali inaleta tafsiri tata.
Dady is coming... nini maana yake? Hapo ndipo habari inakuwa na utata
 
Mnamwogopa makonda sana,ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom