Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo kabla ya kuanza kutumikia kifungo, .....msamaha umeanza kuafikiriwa? Kwani wangapi wamehukumiwa leo, na bado hata hawafikiriwi huo msamaha. Sheria zifanye kazi kwa kila mtu!Mkuu ameandika makonda unalalamika
Mbona kibatala kasema anaenda kukata rufaa haujasema chochote
Au kisa makonda ni kundi Fulani
Na kibatala ni kundi lenu
Tujue kila mtu ananafasi ya kuzungumza anacho amini kitamsaidia yeye na si wengine
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Maana yake Bashite anasubiri mkulu arudi ili amshauri amuachie Lulu!
Alimanisha Nyalandu anamfuata jela LuluBaada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
unatumia hadubini au darubini au kiona mbali upo vizuriKwa mbali naiona connection ya Makonda->EFM->Majizzo->Lulu->Msamaha wa Mkuu/VIP Cell.
Sasa kaamua kufunguka, kumbe bashite ni mtoto wa mukulu.Dad is coming....