Kalamu Yangu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,107
- 1,056
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kati ya mashujaa au Uhuru watamtoaaaSikukuu gani ipo karibuni?
duh jamani wewe kama sio mara ya pili unaniambia basi ni mtu mwingine wa pili ananiambi a,acheni hizo bana,mi sio demu kwanza saa hii hapa mwanza kuna ka baridi nataka nikapige viroba vya empire nipate Yumani fesi nikapige papuchi ya kisukuma walau kibao kimojaAiseeee yani kila nikisoma Comment zako Namuona Mange Kimambi.. Why why..
Maana yake Bashite anasubiri mkulu arudi ili amshauri amuachie Lulu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]anadeka bwana, Daddy anamsikiliza yeye tu, Daddy is coming alienda kuzindua maendeleo huko mikoani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] aanze na mzee wetu sasa Seya9 December
Chief mm nasoma commentsAahh.. huyu mzee wa tamko la roma kupatikan j2, ndio karopoka hvyo. Basi 9 disemba lulu atakuwa huru, nauona msamaha wa rais juu yake.
Huyo ni mtoto 'msanii' mujuwe_"Mtoto aliyekiuka protection ya wazazi, Mtoto aliyekua anaitwa “mke wangu” na anaitikia, Mtoto aliyeamua kuutumia muda wa usiku wa manane kutoka na marafiki na kupita kwa boyfriend wake; Sidhani watunzi wa sheria ya mtoto walikua wanamuongelea mtoto huyu Kama huyu atapewa lindo na sheria ya mtoto Basi wale watu wazima wenye tabia za kitoto ipo siku watajaa kwenye mahakama hizi na kudai lindo la sheria hiyo. Staki kufungua mlango huo."_
*Hon. Rumanyika J*
Nimemsoma sana Judge[emoji17][emoji17][emoji17]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Daddy yake lulu si majizzo for shizzo ataenda nae ndani kwa kesi ya unga
Nimekusooooomaaaaaaaaahduh jamani wewe kama sio mara ya pili unaniambia basi ni mtu mwingine wa pili ananiambi a,acheni hizo bana,mi sio demu kwanza saa hii hapa mwanza kuna ka baridi nataka nikapige viroba vya empire nipate Yumani fesi nikapige papuchi ya kisukuma walau kibao kimoja
mkuu ulivyokuwa na hasira utadhani ulishawahi kubakwaKwani makonda hana baba mtoa uzi hujitambui ww!kanumba mbakajj popote alipo aongezewe moto