Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

Paul Makonda anakwenda kulifanya Jiji la Arusha kuwa maarufu kuipita Washington DC Marekani au Dubai

Acha unaa Arusha hatupendi Shobo.
20240129_230621.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mlivyosikia ya kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya mabadiliko mbalimbali ndani ya serikali yake imara na shupavu kwa kuwahamisha viongozi mbalimbali pamoja na kufanya uteuzi mpya.

Ambapo ni katika mabadiliko hayo yaliyoshuhudia Dunia ikitetemeka kama sumaku iliyokaribu na chuma au mtu aliyemwagiwa maji ya baridi sana wakati ni mgonjwa. Hii ni baada ya jina la Mwamba Mwenyewe,kijana jasiri kutoka kusini mwa jangwa la sahara na jabala la Siasa Mheshimiwa Paul Christian Makonda akipangiwa na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kwenda kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

kwa hakika wana Arusha wamepata jembe,wamepata kiongozi mchapa kazi,wamepata kiongozi jasiri ,shupavu,imara, madhubuti,hodari na asiye yumba wala kuyumbishwa.kiongozi mwenye misimamo thabiti na mwenye maono.wana Arusha wamependelewa na kupewa upendeleo wa kipekee sana.Ni bahati kwao kubwa sana kupelekewa Mheshimiwa Makonda mkoani kwao.

Kwa sababu ni mwisho wa watumishi wazembe,wavivu,wanaofanya kazi kwa mazoea,ni mwisho wa watumishi wadokozi kutoka halmashauri za jiji la Arusha,ni mwisho wa watumishi goigoi katika kuwahudumia wananchi,ni mwisho wa ubadhirifu wa pesa za umma,ni mwisho wa vilio vya wananchi wasiosikilizwa,ni mwisho kwa watumishi waliokuwa wamejisahau,ni mwisho kwa watumishi wa umma wanaofanya ofisi za umma kama mali zao binafsi na miungu watu,ni mwisho wa watumishi wenye viburi ,jeuri na majivuno .kwasababu anakuja Mwamba Mwenyewe ,jabali la majabali ,jeuri wa majeuri ,jasiri asiye na mfano .ni lazima MOTO wa maendeleo uwake Arusha kama nyota ya asubuhi.

Lakini ni mwanzo wa Arusha kupaa kimaendeleo kama ndege vita,ni mwanzo wa Arusha kushuhudia mafuriko na kumiminika kwa watalii katika jiji la Arusha,ni mwanzo wa kuona Arusha ikiongoza kwa mapato ya ndani,ni mwanzo wa kuona halmashauri za jiji la Arusha zikifanya vizuri kwa mambo mengi, ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likigonga vichwa vya habari katika Tv na magazeti kutoka ndani ya CNN marekani ,BBC uingereza,aljazira na vyombo vyote vikubwa Duniani.Ni mwanzo wakuona waandishi wote na vyombo vyote vya habari vya kimataifa vikiweka kambi mkoani Arusha ili kujifunza uongozi wa kusimamia maendeleo kutoka kwa Mwamba Paul Makonda.

Ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likiwa maarufu kupita hata majiji kama Washington DC Marekani au Paris Ufaransa au DUBAI au London uingereza au Vatican Italy au Amsterdam Uholanzi au Tokyo Japan au Jerusalem islael au Berlin ujeruman. Arusha inakwenda kuwa katika uso wa ulimwengu ,Arusha inakwenda kuwa katika vinywa na chaguo nambali moja la watalii, wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa kutoka kila kona ya Dunia.

Hii ni kwa kuwa Arusha inakwenda kuwa katika mikono salama ya Mheshimiwa Paul Makonda, kiongozi mchapa kazi na kiongozi Mbunifu sana na anayehitaji kuona matokeo yanapatikana kwa wakati.hapa kama nawaona vile watumishi mbalimbali katika jiji la Arusha wanavyotetemeka kama wagonjwa wa homa kali ,hasa wale wazembe ,hapa ni kama nawaona wanawanchi wa Arusha walivyolipuka kwa furaha baada ya kusikia uteuzi wa Mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Mheshimiwa Makonda ulipewa imani na heshima ya kipekee kutoka kwa Rais wetu mpendwa ya wewe kuwa mwenezi wa chama na kwa hakika uliitendea haki nafasi hiyo japo ni kwa muda mfupi ,lakini umeacha historia na alama ya kipekee kabisa.umeacha na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania,umekiacha chama kikiwa imara na mtetezi wa watanzania wanyonge na wasio na sauti,umekiacha chama kikiendelea kuwa tumaini na kimbilio la watanzania ,umekiacha chama salama na kwa hakika Watanzania watakukumbuka sana katika uongozi wako ndani ya chama.kwa hakika wanaccm tunasema asante Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya na namna ulivyojitolea kwa jasho kukipigania chama chetu.

Huna deni katika chama kwasababu ulitimiza wajibu wako kama kiongozi wetu ,umetufundisha mengi sisi wanachama wa CCM Nchi nzima, umetufundisha ujasiri na kutuonyesha nafasi ya chama katika kuisimamia serikali yake na kuwasemea watanzania,uliwaamsha viongozi waliokuwa wamelala maofisini na wakaanza kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.umekaa muda mfupi lakini matendo na kazi yako imekuwa ni kama umekaa karne nzima ndani ya CCM. Haijalishi umekaa muda gani lakini alama zako zitadumu daima na kubaki kama mfano wa kuigwa wa utumishi uliotukuka ndani ya chama chetu.

Nenda kamsaidie mama yetu na Rais wetu mpendwa Mama Samia Katika mkoa wa Arusha.usimuangushe katika imani hii kubwa ambayo ameendelea kukupatia.nenda kashirikiane na wote utakao wakuta,waheshimu wote,wapende wote,wathamini wote na watendee haki wote bila kujali hali zao za kiuchumi na hata itikadi za kisiasa kwa kuwa wote wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu sote watanzania.nenda kawe mvumilivu,mwenye hekima, busara,upendo,staha,subira na mnyenyekevu.uongozi ni kujifunza,huwezi ukajuwa kila kitu na huwezi ukamaliza kila kitu kwa akili yako mwenyewe.hivyo panapohitaji msaada wa kimawazo usisite kuwashirikisha wenzako. Lakini kubwa kuliko yote nakuomba umtangulize Mungu kwa kila jambo na kuomba hekima zake kama alivyofanya mfalme Sulemani na hatimaye kuzidishiwa mengi.wewe ni hazina yetu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
View attachment 2949860View attachment 2949861View attachment 2949862
hahaha nakubali 😂😂
sasa rudisha utaratibu wa namba bahati yako isije kulaliwa mlango wazi
 
Huyu Mtu hakutakiwa kupelekwa Arusha, na matukio yakianza kutokea Arusha ya kukuta Wapinzani wamepingwa na miili yao imetupwa Migombani basi Samia atakuwa anahusika moja kwa moja, ndio maana hataki kumfungulia Jalada huyu pamoja na kulalamikiwa na Tundu Antipas Lissu.
Ondoa hapa mibangi yako nyumbu mkubwa wewe.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mlivyosikia ya kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya mabadiliko mbalimbali ndani ya serikali yake imara na shupavu kwa kuwahamisha viongozi mbalimbali pamoja na kufanya uteuzi mpya.

Ambapo ni katika mabadiliko hayo yaliyoshuhudia Dunia ikitetemeka kama sumaku iliyokaribu na chuma au mtu aliyemwagiwa maji ya baridi sana wakati ni mgonjwa. Hii ni baada ya jina la Mwamba Mwenyewe,kijana jasiri kutoka kusini mwa jangwa la sahara na jabala la Siasa Mheshimiwa Paul Christian Makonda akipangiwa na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kwenda kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

kwa hakika wana Arusha wamepata jembe,wamepata kiongozi mchapa kazi,wamepata kiongozi jasiri ,shupavu,imara, madhubuti,hodari na asiye yumba wala kuyumbishwa.kiongozi mwenye misimamo thabiti na mwenye maono.wana Arusha wamependelewa na kupewa upendeleo wa kipekee sana.Ni bahati kwao kubwa sana kupelekewa Mheshimiwa Makonda mkoani kwao.

Kwa sababu ni mwisho wa watumishi wazembe,wavivu,wanaofanya kazi kwa mazoea,ni mwisho wa watumishi wadokozi kutoka halmashauri za jiji la Arusha,ni mwisho wa watumishi goigoi katika kuwahudumia wananchi,ni mwisho wa ubadhirifu wa pesa za umma,ni mwisho wa vilio vya wananchi wasiosikilizwa,ni mwisho kwa watumishi waliokuwa wamejisahau,ni mwisho kwa watumishi wa umma wanaofanya ofisi za umma kama mali zao binafsi na miungu watu,ni mwisho wa watumishi wenye viburi ,jeuri na majivuno .kwasababu anakuja Mwamba Mwenyewe ,jabali la majabali ,jeuri wa majeuri ,jasiri asiye na mfano .ni lazima MOTO wa maendeleo uwake Arusha kama nyota ya asubuhi.

Lakini ni mwanzo wa Arusha kupaa kimaendeleo kama ndege vita,ni mwanzo wa Arusha kushuhudia mafuriko na kumiminika kwa watalii katika jiji la Arusha,ni mwanzo wa kuona Arusha ikiongoza kwa mapato ya ndani,ni mwanzo wa kuona halmashauri za jiji la Arusha zikifanya vizuri kwa mambo mengi, ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likigonga vichwa vya habari katika Tv na magazeti kutoka ndani ya CNN marekani ,BBC uingereza,aljazira na vyombo vyote vikubwa Duniani.Ni mwanzo wakuona waandishi wote na vyombo vyote vya habari vya kimataifa vikiweka kambi mkoani Arusha ili kujifunza uongozi wa kusimamia maendeleo kutoka kwa Mwamba Paul Makonda.

Ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likiwa maarufu kupita hata majiji kama Washington DC Marekani au Paris Ufaransa au DUBAI au London uingereza au Vatican Italy au Amsterdam Uholanzi au Tokyo Japan au Jerusalem islael au Berlin ujeruman. Arusha inakwenda kuwa katika uso wa ulimwengu ,Arusha inakwenda kuwa katika vinywa na chaguo nambali moja la watalii, wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa kutoka kila kona ya Dunia.

Hii ni kwa kuwa Arusha inakwenda kuwa katika mikono salama ya Mheshimiwa Paul Makonda, kiongozi mchapa kazi na kiongozi Mbunifu sana na anayehitaji kuona matokeo yanapatikana kwa wakati.hapa kama nawaona vile watumishi mbalimbali katika jiji la Arusha wanavyotetemeka kama wagonjwa wa homa kali ,hasa wale wazembe ,hapa ni kama nawaona wanawanchi wa Arusha walivyolipuka kwa furaha baada ya kusikia uteuzi wa Mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Mheshimiwa Makonda ulipewa imani na heshima ya kipekee kutoka kwa Rais wetu mpendwa ya wewe kuwa mwenezi wa chama na kwa hakika uliitendea haki nafasi hiyo japo ni kwa muda mfupi ,lakini umeacha historia na alama ya kipekee kabisa.umeacha na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania,umekiacha chama kikiwa imara na mtetezi wa watanzania wanyonge na wasio na sauti,umekiacha chama kikiendelea kuwa tumaini na kimbilio la watanzania ,umekiacha chama salama na kwa hakika Watanzania watakukumbuka sana katika uongozi wako ndani ya chama.kwa hakika wanaccm tunasema asante Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya na namna ulivyojitolea kwa jasho kukipigania chama chetu.

Huna deni katika chama kwasababu ulitimiza wajibu wako kama kiongozi wetu ,umetufundisha mengi sisi wanachama wa CCM Nchi nzima, umetufundisha ujasiri na kutuonyesha nafasi ya chama katika kuisimamia serikali yake na kuwasemea watanzania,uliwaamsha viongozi waliokuwa wamelala maofisini na wakaanza kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.umekaa muda mfupi lakini matendo na kazi yako imekuwa ni kama umekaa karne nzima ndani ya CCM. Haijalishi umekaa muda gani lakini alama zako zitadumu daima na kubaki kama mfano wa kuigwa wa utumishi uliotukuka ndani ya chama chetu.

Nenda kamsaidie mama yetu na Rais wetu mpendwa Mama Samia Katika mkoa wa Arusha.usimuangushe katika imani hii kubwa ambayo ameendelea kukupatia.nenda kashirikiane na wote utakao wakuta,waheshimu wote,wapende wote,wathamini wote na watendee haki wote bila kujali hali zao za kiuchumi na hata itikadi za kisiasa kwa kuwa wote wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu sote watanzania.nenda kawe mvumilivu,mwenye hekima, busara,upendo,staha,subira na mnyenyekevu.uongozi ni kujifunza,huwezi ukajuwa kila kitu na huwezi ukamaliza kila kitu kwa akili yako mwenyewe.hivyo panapohitaji msaada wa kimawazo usisite kuwashirikisha wenzako. Lakini kubwa kuliko yote nakuomba umtangulize Mungu kwa kila jambo na kuomba hekima zake kama alivyofanya mfalme Sulemani na hatimaye kuzidishiwa mengi.wewe ni hazina yetu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
View attachment 2949860View attachment 2949861View attachment 2949862
Katika WAJINGA wa kiwango cha juu kwa sasa NCHINI ni pamoja na wewe
Makonda amekuwa Mkuu wa wilaya Kinondoni na Mkuu wa Mkoa Dsm kwa miaka zaidi ya 10 vipi hakuweza kulifanya JIJI la DSM likaizidi WASHINGTONE DC?
PUNGUZA UJINGA UNAKERA SANA
 
Katika WAJINGA wa kiwango cha juu kwa sasa NCHINI ni pamoja na wewe
Makonda amekuwa Mkuu wa wilaya Kinondoni na Mkuu wa Mkoa Dsm kwa miaka zaidi ya 10 vipi hakuweza kulifanya JIJI la DSM likaizidi WASHINGTONE DC?
PUNGUZA UJINGA UNAKERA SANA
Huwezi ukaelewa maana umejifukia akili yako huko namanyere.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kama mlivyosikia ya kuwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania mama Samia Suluhu Hasssan mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya mabadiliko mbalimbali ndani ya serikali yake imara na shupavu kwa kuwahamisha viongozi mbalimbali pamoja na kufanya uteuzi mpya.

Ambapo ni katika mabadiliko hayo yaliyoshuhudia Dunia ikitetemeka kama sumaku iliyokaribu na chuma au mtu aliyemwagiwa maji ya baridi sana wakati ni mgonjwa. Hii ni baada ya jina la Mwamba Mwenyewe,kijana jasiri kutoka kusini mwa jangwa la sahara na jabala la Siasa Mheshimiwa Paul Christian Makonda akipangiwa na kuaminiwa na Mheshimiwa Rais kwenda kuwa Mkuu wa mkoa wa Arusha.

kwa hakika wana Arusha wamepata jembe,wamepata kiongozi mchapa kazi,wamepata kiongozi jasiri ,shupavu,imara, madhubuti,hodari na asiye yumba wala kuyumbishwa.kiongozi mwenye misimamo thabiti na mwenye maono.wana Arusha wamependelewa na kupewa upendeleo wa kipekee sana.Ni bahati kwao kubwa sana kupelekewa Mheshimiwa Makonda mkoani kwao.

Kwa sababu ni mwisho wa watumishi wazembe,wavivu,wanaofanya kazi kwa mazoea,ni mwisho wa watumishi wadokozi kutoka halmashauri za jiji la Arusha,ni mwisho wa watumishi goigoi katika kuwahudumia wananchi,ni mwisho wa ubadhirifu wa pesa za umma,ni mwisho wa vilio vya wananchi wasiosikilizwa,ni mwisho kwa watumishi waliokuwa wamejisahau,ni mwisho kwa watumishi wa umma wanaofanya ofisi za umma kama mali zao binafsi na miungu watu,ni mwisho wa watumishi wenye viburi ,jeuri na majivuno .kwasababu anakuja Mwamba Mwenyewe ,jabali la majabali ,jeuri wa majeuri ,jasiri asiye na mfano .ni lazima MOTO wa maendeleo uwake Arusha kama nyota ya asubuhi.

Lakini ni mwanzo wa Arusha kupaa kimaendeleo kama ndege vita,ni mwanzo wa Arusha kushuhudia mafuriko na kumiminika kwa watalii katika jiji la Arusha,ni mwanzo wa kuona Arusha ikiongoza kwa mapato ya ndani,ni mwanzo wa kuona halmashauri za jiji la Arusha zikifanya vizuri kwa mambo mengi, ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likigonga vichwa vya habari katika Tv na magazeti kutoka ndani ya CNN marekani ,BBC uingereza,aljazira na vyombo vyote vikubwa Duniani.Ni mwanzo wakuona waandishi wote na vyombo vyote vya habari vya kimataifa vikiweka kambi mkoani Arusha ili kujifunza uongozi wa kusimamia maendeleo kutoka kwa Mwamba Paul Makonda.

Ni mwanzo wa kuona jiji la Arusha likiwa maarufu kupita hata majiji kama Washington DC Marekani au Paris Ufaransa au DUBAI au London uingereza au Vatican Italy au Amsterdam Uholanzi au Tokyo Japan au Jerusalem islael au Berlin ujeruman. Arusha inakwenda kuwa katika uso wa ulimwengu ,Arusha inakwenda kuwa katika vinywa na chaguo nambali moja la watalii, wawekezaji, wafanyabiashara wakubwa kutoka kila kona ya Dunia.

Hii ni kwa kuwa Arusha inakwenda kuwa katika mikono salama ya Mheshimiwa Paul Makonda, kiongozi mchapa kazi na kiongozi Mbunifu sana na anayehitaji kuona matokeo yanapatikana kwa wakati.hapa kama nawaona vile watumishi mbalimbali katika jiji la Arusha wanavyotetemeka kama wagonjwa wa homa kali ,hasa wale wazembe ,hapa ni kama nawaona wanawanchi wa Arusha walivyolipuka kwa furaha baada ya kusikia uteuzi wa Mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Mheshimiwa Makonda ulipewa imani na heshima ya kipekee kutoka kwa Rais wetu mpendwa ya wewe kuwa mwenezi wa chama na kwa hakika uliitendea haki nafasi hiyo japo ni kwa muda mfupi ,lakini umeacha historia na alama ya kipekee kabisa.umeacha na kukiweka chama midomoni mwao Watanzania,umekiacha chama kikiwa imara na mtetezi wa watanzania wanyonge na wasio na sauti,umekiacha chama kikiendelea kuwa tumaini na kimbilio la watanzania ,umekiacha chama salama na kwa hakika Watanzania watakukumbuka sana katika uongozi wako ndani ya chama.kwa hakika wanaccm tunasema asante Mheshimiwa Makonda kwa kazi kubwa uliyoifanya na namna ulivyojitolea kwa jasho kukipigania chama chetu.

Huna deni katika chama kwasababu ulitimiza wajibu wako kama kiongozi wetu ,umetufundisha mengi sisi wanachama wa CCM Nchi nzima, umetufundisha ujasiri na kutuonyesha nafasi ya chama katika kuisimamia serikali yake na kuwasemea watanzania,uliwaamsha viongozi waliokuwa wamelala maofisini na wakaanza kutoka kwenda kuwasikiliza wananchi.umekaa muda mfupi lakini matendo na kazi yako imekuwa ni kama umekaa karne nzima ndani ya CCM. Haijalishi umekaa muda gani lakini alama zako zitadumu daima na kubaki kama mfano wa kuigwa wa utumishi uliotukuka ndani ya chama chetu.

Nenda kamsaidie mama yetu na Rais wetu mpendwa Mama Samia Katika mkoa wa Arusha.usimuangushe katika imani hii kubwa ambayo ameendelea kukupatia.nenda kashirikiane na wote utakao wakuta,waheshimu wote,wapende wote,wathamini wote na watendee haki wote bila kujali hali zao za kiuchumi na hata itikadi za kisiasa kwa kuwa wote wanalipa kodi kwa ajili ya maendeleo yetu sote watanzania.nenda kawe mvumilivu,mwenye hekima, busara,upendo,staha,subira na mnyenyekevu.uongozi ni kujifunza,huwezi ukajuwa kila kitu na huwezi ukamaliza kila kitu kwa akili yako mwenyewe.hivyo panapohitaji msaada wa kimawazo usisite kuwashirikisha wenzako. Lakini kubwa kuliko yote nakuomba umtangulize Mungu kwa kila jambo na kuomba hekima zake kama alivyofanya mfalme Sulemani na hatimaye kuzidishiwa mengi.wewe ni hazina yetu.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
View attachment 2949860View attachment 2949861View attachment 2949862
Screenshot_2024-02-17-14-44-30-1.png
 
Najuwa ukweli wangu unawaumiza sana wenye chuki binafsi na Mheshimiwa Makonda kiongozi kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
Ujasiri wa kudhuru wasio waupande wako kisa una kinga ya dola?hata maana ya ujasiri hujui!
 
Najuwa ukweli wangu unawaumiza sana wenye chuki binafsi na Mheshimiwa Makonda kiongozi kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.
We ni mtu mjinga, samahani kwa kukuambia ukweli.
Ulimsifia sana alipopewa jukumu la kitaifa kwa chama Tawala hadi akafikia hatua ya kuwaita na kuwapigia simu mawaziri na maRC leo kaondolewa hadhi hiyo bado una sifia tena? Upunguani mtupu.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Machawa mna upimbi sana kipindi huyo mharifu yuko benchi mli mute na hata kumponda huyo bashite.Uchawa ni laana.
 
Nuksi Sana Tanzania
Uchawa Unalipa Sana Tanzania
 
Mwanangu sasa unazingua. Hata kama ni kusifu unapitiliza. Hata uliyemsifu atashangaa sana akisoma hapa. Kwa mwenye akili ataona huu uzi umejaa unafiki uliotukuka. Taratibu bro. Pia fuatilia siasa za CCM kwa undani ili ujue wakati wa kuongea na kunyamaza. Pia wewe sio wa Arusha acha kutusemea tuliozaliwa na kukulia Arusha. Mkoa na nchi kwa ujumla inaendeshwa kwa mujibu wa sheria na sio matamko ya mtu mmoja. Mwisho kabisa kama una ndoto yoyote ya kufika mbali kisiasa badilisha mbinu... hii ya kusifu namna hii haipendwi na watoa maamuzi. Kila siku wanalaumiwa mno na wananchi kwahiyo hawawezi teua mtu anayesifu tu bila kujenga hoja madhubuti.
 
Back
Top Bottom