Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Pre GE2025 Paul Makonda: Arusha hawakupata barabara kwa muda mrefu kwa sababu waliendekeza majungu, ushirikina na siasa uchwara!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Geita na Shinyanya hawana majungu wala hawajaendekeza siasa ila barabara zao mbovu sijui na wenyewe kosa Lao lipi
Rome haikujengwa siku moja Mangi,jiji la Arusha limeanza kupiga hatua siku nyingi na hawa wenzetu pia watafika huko.Si umeona Iringa na Songea wako wapi ukilinganisha na miaka kumi iliyopita?
 
Aombe kwa Chadema kwani wao ndo wanatengeneza bajeti za Wizara!
Kama mliyajua hayo hawatengenezi Bajeti mliwachagua wa nini? ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Mliwachagua Huwa wanatekeleza ilani ya chama gani?
 
Acha fujo huyo si alikua anaombea wenye mamlaka wafe ?hivi hata kama ungekuwa ni wewe ukafanya nini ?

Una tweet au video yoyote inayoosupport accusations zako mkuu?

And what does that have to do with what we are talking about?
 
Huyu mjinga hajui kuwa barabara bora ni haki ya kila mwananchi.

Si zawadi kwa anayejipendekeza kwa viongozi.

Mwaka 2015 Mahakama Kuu ya Bombay India ilitoa hukumu kwamba barabara nzuri zisizo na mashimo ni haki ya uraia kwa kila mtu.

Mwanzoni mwa karne ya 20 Marekani kulikuwa na "The Good Roads Initiative" iliyitaka kuunganusha sehemu zote za vijijini kwa barabara nzuri.

Yani Makonda bado hajafika wenzetu walipokuwa miaka 100 iliyopita.

Hizi kauli za Makonda ni za mtu ambaye hajaelimika, analimbuka bado.
CHama kina watu wajinga asee ukitaka kuamini waweke njevya system
 
Huyu mjinga hajui kuwa barabara bora ni haki ya kila mwananchi.

Si zawadi kwa anayejipendekeza kwa viongozi.

Mwaka 2015 Mahakama Kuu ya Bombay India ilitoa hukumu kwamba barabara nzuri zisizo na mashimo ni haki ya uraia kwa kila mtu.

Mwanzoni mwa karne ya 20 Marekani kulikuwa na "The Good Roads Initiative" iliyitaka kuunganusha sehemu zote za vijijini kwa barabara nzuri.

Yani Makonda bado hajafika wenzetu walipokuwa miaka 100 iliyopita.

Hizi kauli za Makonda ni za mtu ambaye hajaelimika, analimbuka bado.
Huyu mpumbavu bado anaendekeza zile siasa uchwara za Magufuli za kupeleka huduma kwa upendeleo kana kwamba hao anaowanyima hizo huduma siyo walipa kodi.
 
Hilo Jimbo Sugu amekuwa Mbunge Toka uhuru? Kwamba Barbara zianze kutengeneza Sasa?. Acheni unafiki.
Zimeanza Sasa wakati Tulia NJ Mbunge.

Miaka 10 ya Sugu ziliota mbawa ,miaka mingine ya CCM zilijengwa.
 
Sio kweli hata kidogo ,yeye aliendekeza siasa za uwanaharakati bungeni na kwenye mitandao hakupata muda wa kufuatialia mambo ya msingi aisee.Jitu zima linakesha mitanadona kulaani wakubwa zake mara watakufa na ujinga mwingine kama huo.SAD

Kwa hivyo TANROADS, Waziri, Rais hawawezi kujenga barabara mpaka Mbunge awafuatilie?. Tuache siasa za kijinga kana kwamba wengine ni watanzania na wengine sio. Kondoa ninapoishi ni CCM tangu uhuru ila barabara za hovyo.
 
Sisi tunachagua wabunge, hatuchagui mawaziri.

Lini uliona kuna ballots za kuchagua mawaziri?

Mkuu, hiyo ni Civics darasa la tatu!
Wabunge mbaochagua Ili wakatekeleze ilani za chama gani?

Wakapeleke shida zenu Kwa Mawaziri wa Chama gani?
 
Una tweet au video yoyote inayoosupport accusations zako mkuu?

And what does that have to do with what we are talking about?
Hivi hujui kuwa huyu chizi hadi alipewe jina la nabiii ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ
 
Acha fujo huyo si alikua anaombea wenye mamlaka wafe ?hivi hata kama ungekuwa ni wewe ukafanya nini ?

Sio kwamba aliombea, aliota Magufuli atakufa. Na kweli ndoto yake ikaja ikawa kweli. Kosa lake lipo wapi?. Halafu mambo personal usipeleke kwenye maendeleo ya umma.
 
Kwa hivyo TANROADS, Waziri, Rais hawawezi kujenga barabara mpaka Mbunge awafuatilie?. Tuache siasa za kijinga kana kwamba wengine ni watanzania na wengine sio. Kondoa ninapoishi ni CCM tangu uhuru ila barabara za hovyo.
Acha uchizi Mangi ,alipokuwa anaomba kura za ubunge aliahidi wanchi kitu gani ?kama sio kazi ya mmbunge kuwakilisha wanachi bungeni kwa niaba unadhani kazi ya ubunge ninkwenda kunywa chai ehe?
 
Back
Top Bottom